Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,347
- 11,447
Itamsaidia nini mwananchi kuwa na Uhuru wa kumchora Rais na Kumtukana atakavyo na huku hakuna Huduma za muhimu kama Elimu, Hospitali, Miundo Mbinu, Umeme na Maji?
Yaani kuwa mwanasiasa wa Chama cha Upinzani atakuwa huru kufanya na kusema atakayo then mwananchi anakosa huduma muhimu ndo iwe issue ya kitaifa?
Ni Bora sana kwa Nchi kama Tanzania apatikane Rais Dikteta mwenye maono ya Kimaendeleo nchi iende mchaka mchaka kuliko kuwa na Rais mwanademokrasia na kuruhusu uhuni ufanyike.
Libya walitaka Demokrasia. Leo wanasemaje? Mimi nadhani nchi zetu za kiafrika hazihitaji Demokrasia. Zinahitaji maendeleo ya nguvu na nguvu ya maendeleo kwa pamoja.
Ili mradi Rais awe Mzalendo na mwenye malengo.ambaye atasema tunaelekea mbele na wote wakatakiwa kufuata kwenda mbele. Akisema kulia geuka wote tunageuka katika harakati za maendeleo.
Nchi zetu hizi ukichEka na Nyani Utavuna Mabua.
Yaani kuwa mwanasiasa wa Chama cha Upinzani atakuwa huru kufanya na kusema atakayo then mwananchi anakosa huduma muhimu ndo iwe issue ya kitaifa?
Ni Bora sana kwa Nchi kama Tanzania apatikane Rais Dikteta mwenye maono ya Kimaendeleo nchi iende mchaka mchaka kuliko kuwa na Rais mwanademokrasia na kuruhusu uhuni ufanyike.
Libya walitaka Demokrasia. Leo wanasemaje? Mimi nadhani nchi zetu za kiafrika hazihitaji Demokrasia. Zinahitaji maendeleo ya nguvu na nguvu ya maendeleo kwa pamoja.
Ili mradi Rais awe Mzalendo na mwenye malengo.ambaye atasema tunaelekea mbele na wote wakatakiwa kufuata kwenda mbele. Akisema kulia geuka wote tunageuka katika harakati za maendeleo.
Nchi zetu hizi ukichEka na Nyani Utavuna Mabua.