ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,950
- 6,981
slikiwa ni mwaka wa pili sasa baada ya slaa kushindwa kuingia ikulu katika uchaguzi mkuu uliopita, mbinu mpya aliyokuja nayo ni kutoa matamko yanayowatia hofu wananchi juu ya hali ya usalama wa maisha yao na mali zao...hawezi kutoa tamko kuwambia watanzania jinsi walivyojipanga kutengeneza ajira kwa vijana na kuonyesha njia jinsi watakavyojenga uchumi bora.
slaa hkushindwa, bali alifanya kile alichotumwa na ccm. Ukweli kuwa slaa hakushindwa uchaguzi upo kwa tume ya uchaguzi, ambao hadi sasa hawatangaza matokeo kwenye web yao.
Nasema slaa alitumwa na ccm kufanya shughuli hiyo, kwani ni moja kati ya usalama wa taifa ambao si usalama wa taifa, bali ni usalama wa ccm. Slaa alisema hataki kupinga matokeo eti kuepuka kumwaga damu. Kwani mpaka kieleweke maana yake nini?
Slaa ni kati ya wanaohakikisha ccm kutawala, japokuwa kila siku amekuwa ni mtu wa matamuko.