Mtagingwembe
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 377
- 91
Mkuu samahani,ukiona una maada ambayo unataka kuileta hapa lakini wewe mwenyewe huna uhakika hakika kama imekaa vema, nashauri jaribu kumwomba hata rafiki yako aliyejirani akusaidie kuiweka vizuri ionekane imetoka kwa mtu anayefikiri, kuliko kama hivi ulivyofanya. Ni wazi hii mada umeiweka hapa kwa kukurupuka tu. Please do not expose your bottom.