Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Mkuu samahani,ukiona una maada ambayo unataka kuileta hapa lakini wewe mwenyewe huna uhakika hakika kama imekaa vema, nashauri jaribu kumwomba hata rafiki yako aliyejirani akusaidie kuiweka vizuri ionekane imetoka kwa mtu anayefikiri, kuliko kama hivi ulivyofanya. Ni wazi hii mada umeiweka hapa kwa kukurupuka tu. Please do not expose your bottom.
 
wewe tuntemeke shida yako nini chadema unachotaka kufanya kuwa muwazi sio kama mwanamke mmbeya hueleweki zaidi ya chuki na matoleo mbali mbali yasio na tija.....acha cdm ilivyo
 
Demokrasia sio vurugumasia. Kijana Chadema kinakuwa kwa kasi acha uchuro miaka mitano iliyopita mlikuwa mnakimbia kuitwa CDM leo mnataka kuivuraga kwa kasi. Kuna sehemu bado hatuna viongozi hata wapiga kura bado tunawatafuta. kwa sasa tunajenga chama. Kama unataka uongozi wakati ukifika njoo uchuke form usiwe mwoga na kuanza kupiga mayowe mitaani shiriki zoezi zima. ukumbuke kila chama duniani kina demokrasia yake inayokubalika na wanachama wake. Soma katiba ya vyama na ukubali muundo na mwenendo na ujiunge hiyo ndio maana kamili ya demokrasia.

Nchi kama marekani raisi aliyeko madarakani ndiye humchagua mwenyekiti wa chama chake na chama kinapiga kura za marhuni, na hizi ndizo nchi tunaamini demokrasia yake imekuwa. Huwezi kuwa na mfumo holela kumridhisha Tumtemeke. Kajipange tena na usome demokrasia na uielewe sio kila kitu kitakuwa sawa ndio maana huko ni uganda na hapa ni bongoland
 
Unataka uniambie hujaona weaknes hapo kwenye uchaguzi kweli kweli???au kwa sabbau ni wanapenzi sana wa chadema??jaribu kuficha kwanza,kosa chama kiimarike

tatizo lako unajenga hoja kwa kumkosoa mtu mmoja, inaonekana una chuki naye. Slaa ndo aliyeanzisha chama? Ina maana walioweka huo mfumo walipendekezewa na yeye akiwa ccm?
 
Umefanya jambo jema kufanya uchambuzi wa Chaguzi ndani ya Chadema, maaana kama haki haitatendeka ndani ya Chaguzi za Chama bimaana kwamba haki haitatendeka pindi Chama kitapokuwa na mamlaka ya Nchi so ni vema Chadema wakaangalia hili upya, kubadilisha mfumo w Chaguzi zake. Ahsante Ndugu usiumie kwa wengne wataoponda kuna watu wamezaliwa- kila siku
 
Hakuna demokrasia humu CDM ni sera za kujuana tuu wanachama wamechokaa we ona walivyopeana ubunge viti maalum eti wamefuta uchaguzi then wakateua wagombea na zaidi wakagawana kila familia ya mbowe,slaa,zitto,Tobo,Mtei nk ss hiki chama kingeliitwa tu Chama cha ndugu na Ulaji(CCNU) hakuna DEMOKRASIA kabisa na hata slaa alipitishwa kibabe kugombea urais hakukuwa na uchaguzi eti wamekaa zao baa huko kurasini wakalewaa na kumteua slaa kugombea non sense kiko wapi na aliangukia pua kwny uchaguzi hata mpendazoe alipewa kibabe kugombea wakati hakushinda kura za maoni ni full dili wanacheza na mahesabu yao ya rusuku kila yakikaguliwa querries kibao sijui mtu kampa mkewe tenda ya kulog in and out computer za ofisi kila siku na kumlipa,mtu anadaiwa benki anachukua hela ofcn anaenda kulipa lhaaaaaa!!
 
Mimi nafikiri ungekuwa fair enough kama ungemsema Lipumba/Hamad, Cheyo, Mrema etc ambao wamekuwa viongozi wa vyama vya since its inception. CDM wameshabadilisha viongozi wa juu mara nyingi alianza Mtei, Bob Makani, Mbowe au ulitaka kila mwaka CDM wabadilishe viongozi ndiyo ujue kuna demokrasia?

Ushauri wa bure next time uki copy maandishi ya mtu acknowledge source vinginevuo wewe ni bonge la PLAGIARIST.
 
Hata mkilia bakora bado!we dont argue with fools.Ficha upunguani wako unapokuwa kati ya werevu
 
Mkuu umetoa maoni mazuri lakini niseme tu labda kama hujui kilichoko nyuma ya TUNTEMEKE, prejudice being out of spite he has a mission which was once known only to him but now he is as naked as nothing, busara unazomshauri anazo sana ila zinakinzana na malengo yake

okay mkuu,i never thought of that kumbe he is just pushing forward a conspirancy against CHADEMA
 
Last edited by a moderator:
Hili genge la wakina Mchange, Mtela na Juliana Shonza ipo siku litapukutika kama manyoya ya mwewe na si tupo tunasubiria mwisho wao kwani baada ya kushindwa chaguzi ndani ya chama wameamua kuja na style yao hii ya kutumia fake ID jF but wajue sisi tunawajua ila wao hawajijui and why viongozi wa chama kuwafumbia macho hawa wavuta bangi.

Waganja njaa hawa wanaishi mjini kwa kuitukana Chadema kwenye mitandao.

Thankyou God tunawajua.Mnataka kuua chama kwa uendawazimu na uroho wa madaraka tena wa kununuliwa.

Sasa ni hivi.....Mbowe atakuwa Mkiti wa Chadema na Dr Slaa atakuwa Katibu Mkuu wa Chadema mpaka pale Ukombozi utakapopatikana.

Kwa vile nyie ni vibaraka waambieni wale waliowatuma Kiberiti cha Chadema kimejaa njiti.
 
Last edited by a moderator:
Nyakati za mwisho mtakosa pa kushika poleni sana anzeni kuficha mali, kukimbia kuhamisha familia kwa ufisadi mliofanya toka uhuru mambo yote yatakuwa uchi soon. Hakuna atakaye pona.
 
Nonsense, same rubbish from same stupid person.
UNGESEMA HIVI AN OLD WINE IN A NEW BOTTLE!!!!!
LAKINI ni umasikini wa fikra kuacha kujadili kama kinachozungumzwa kina mantiki kwa chadema au La???wewe umejaa matusi tu,Pole mimi ni jiwe sitoki damu
 
Again Mtela Mwampamba,Juliana Shonza and Habib Mchange.
Hakika hili ni kundi haramu ndani ya Chadema.
 
Waganja njaa hawa wanaishi mjini kwa kuitukana Chadema kwenye mitandao.

Thankyou God tunawajua.Mnataka kuua chama kwa uendawazimu na uroho wa madaraka tena wa kununuliwa.

Sasa ni hivi.....Mbowe atakuwa Mkiti wa Chadema na Dr Slaa atakuwa Katibu Mkuu wa Chadema mpaka pale Ukombozi utakapopatikana.

Kwa vile nyie ni vibaraka waambieni wale waliowatuma Kiberiti cha Chadema kimejaa njiti.

Kwenye red hapo,ndipo ulipotumwa mkuu.lakini jitahidi kujadili hoja kwanza.Yaani utasema weeee,utatukana weee kila aina ya tusi lakini ni kama unategemea jiwe litoke damu.
SWALI MFUMO WA UCHAGUZI NDANI YA CHADEMA NIWAKIDEMOKRASIA???
 
Again Mtela Mwampamba,Juliana Shonza and Habib Mchange.
Hakika hili ni kundi haramu ndani ya Chadema.

Hayo majina unayoyataja mkuu yanauhusiano gani na mfumo wa uchaguzi ndani ya chadema??Tafadhali usijifedheheshe kwa kujadili mambo kama hayo ili hali akili yako inaweza kujisugua mbali zaidi.
MFUMO W ACHAGUZI WA CHADEMA unaona upo sawa kamanda??
 
Hata mkilia bakora bado!we dont argue with fools.Ficha upunguani wako unapokuwa kati ya werevu
Wewe ndio punguani mkuu yaani unakubali kusifia mfumo wa uchaguzi ndani ya chadema ili hali unaoana wazi unakiuka demokrasia halisi???
KATIBU MKUU NDIYE MSIMAMIZI MKUU WA UCHAGUZI,JE AKIAMUA NA YEYE KUGOMBEA INAKUWAJE>>>>???
ATASIMAMIA UCHAGUZI NA ATAOMBEA YEYE MWENYEWE,ATAJIHESABIA KURA?ATAJITANGAZIA MATOKEO???
HAYA NDIO MAMBO YA KUJADILI SIO KUKIMBILIA KWENYE MATUSI
 
Kwenye red hapo,ndipo ulipotumwa mkuu.lakini jitahidi kujadili hoja kwanza.Yaani utasema weeee,utatukana weee kila aina ya tusi lakini ni kama unategemea jiwe litoke damu.
SWALI MFUMO WA UCHAGUZI NDANI YA CHADEMA NIWAKIDEMOKRASIA???
Ni wa kidemokrasia sana, maana fomu za uenyekiti na makamu wote hazitolewi na wanagombea na vimvuri, Secretariat nzima inachaguliwa na mwenyekiti. wewe unataka Demokrasia ipi zaidi ya hiyo?
 
Hayo majina unayoyataja mkuu yanauhusiano gani na mfumo wa uchaguzi ndani ya chadema??Tafadhali usijifedheheshe kwa kujadili mambo kama hayo ili hali akili yako inaweza kujisugua mbali zaidi.
MFUMO W ACHAGUZI WA CHADEMA unaona upo sawa kamanda??

Sikiliza wewe kibaraka,utabaki kukesha hapa mtandaoni lakini utashtukia CDM inaingia Ikulu.
 
Back
Top Bottom