MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,046
- 1,105
Dawa ya mjinga ni kum-ignore tu! upo ndani ya box ndio maana una fikra duni kama za mzoga wa bundi!Ficha Upumbavu wako Usifiche Hekima yako.
Dawa ya mjinga ni kum-ignore tu! upo ndani ya box ndio maana una fikra duni kama za mzoga wa bundi!Ficha Upumbavu wako Usifiche Hekima yako.
Hata kama akili hazifanyi kazi... masikio na macho navyo havifanyi kazi????Wanabodi.
Pamoja na CHADEMA kufanya ziara katika baadhi ya mikoa ya Tanzania na kutangaza kauli mbiu ya M4C Watanzania wanahoji kwa nini CHADEMA hawasemi wana mipango gani yenye tija kwa taifa letu na watawakomboa vipi kama wanavyojinadi kuwa wao ni wakombozi?
Moja ya kauli ya viongozi wa CHADEMA ni ile hakuna kulala mpaka kieleweke pamoja na ile tunataka kuwakomboa Watanzania, hawaelezi mambo yanayohusu maendeleo ya taifa lao.
Watanzania wanataka CHADEMA wangekuwa wanawaeleza Watanzania ni kipi watafanya wao ambacho CCM kimeshidwa kuwafanyia, waseme ni barabara zipi ambazo watazijenga na waeleze vyanzo Vya fedha watakazotumia kujenga barabara hizo.
Kwenye mikutano ya CHADEMA huwezi kusikia wanaelezea Watanzania kuwa watawajengea hospital au watafanyaje katika kuboresha elimu hiki ndio kipindi cha kuwafafanulia Watanzania juu ya utekelezaji wa sera yao waliyosema wakati wa kampeni 2010 kuwa CHADEMA watatoa elimu bure chekechea hadi chuo kikuu kwa fedha kutoka wapi na kwa uchumi upi wa nchi.
Wananchi wanasema wanaofika kwenye mikutano ya CHADEMA wanachokisikia kutoka kwa viongozi wa CHADEMAa kauli mbiu zao 'Mpaka kielekewe hakuna kulala' 'Ukombozi unakaribia' Wao wana pesa siye tu Mungu'
Nchi haiwezi kuongozwa mithiri ya kampuni ya biashara au familia ya watu wa damu moja.
Dawa ya mjinga ni kum-ignore tu! upo ndani ya box ndio maana una fikra duni kama za mzoga wa bundi!
Naive, dry as dust!Siku zote mtu akiwa mtupu anaweza kununuliwa au kununua nguo, lakini mtu anapokuwa uchi kiakili hakuna cha kumsaidia zaidi ya kumuombea kwa mungu.
Ritz amewashika pabaya, huu ukweli ulio wazi kabisa na ndio maana mnabaki kurusha matusi. Tanzania sio gari la kufanya test drive. Jamaa wanataka wapewe nchi wakati hata mkoa wameshidwa kuuendesha.
Naive, dry as dust!
mbunge mmoja wa chadema = watanzania 1 000 000. tumia akili zako, usitumie akili za m_kwere.
Jasusi.
Mpango wa Nyerere wa kipindi kile tofauti na sera za Chadema mkuu, unachotaka kufanya wewe ni kumsemea Slaa, ebu tuambie mbinu gani watatumia Chadema mpaka mfuko wa Saruji Wananchi tununue Sh5000.
Wanabodi.
Pamoja na CHADEMA kufanya ziara katika baadhi ya mikoa ya Tanzania na kutangaza kauli mbiu ya M4C Watanzania wanahoji kwa nini CHADEMA hawasemi wana mipango gani yenye tija kwa taifa letu na watawakomboa vipi kama wanavyojinadi kuwa wao ni wakombozi?
Moja ya kauli ya viongozi wa CHADEMA ni ile hakuna kulala mpaka kieleweke pamoja na ile tunataka kuwakomboa Watanzania, hawaelezi mambo yanayohusu maendeleo ya taifa lao.
Watanzania wanataka CHADEMA wangekuwa wanawaeleza Watanzania ni kipi watafanya wao ambacho CCM kimeshidwa kuwafanyia, waseme ni barabara zipi ambazo watazijenga na waeleze vyanzo Vya fedha watakazotumia kujenga barabara hizo.
Kwenye mikutano ya CHADEMA huwezi kusikia wanaelezea Watanzania kuwa watawajengea hospital au watafanyaje katika kuboresha elimu hiki ndio kipindi cha kuwafafanulia Watanzania juu ya utekelezaji wa sera yao waliyosema wakati wa kampeni 2010 kuwa CHADEMA watatoa elimu bure chekechea hadi chuo kikuu kwa fedha kutoka wapi na kwa uchumi upi wa nchi.
Wananchi wanasema wanaofika kwenye mikutano ya CHADEMA wanachokisikia kutoka kwa viongozi wa CHADEMAa kauli mbiu zao 'Mpaka kielekewe hakuna kulala' 'Ukombozi unakaribia' Wao wana pesa siye tu Mungu'
Nchi haiwezi kuongozwa mithiri ya kampuni ya biashara au familia ya watu wa damu moja.
Jamani mimi sioni tatizo. kweli hawa CDM kwa upande wanafanya vizuri lakini si mara zote.
Hili la kueleza mipango mikakati nikweli lazima kwenye mikutano yao waeleze.
Mimi ningeshauri kama kweli ni wakombozi wachukue japo kijiji kimoja tu hapa tanzania kiwe cha mfano.
Watoe maendeleo tuone. Kunawabinge wapo wa chadema je wamefanya nn kwenye majimbo yao?
Mimi sipendi kuongea ongea tu nataka vitendo kama unasema wewe una MUNGU nani hapa Duniani asie na MUNGU. acheni bwana kutetea ubovu hawa chadema hata ukiwapa nchi wataboronga sana tena zaidi ya CCM. Tambua kua CCM nichama kilichokomaa. Chadema bado wachanga.
Nchi haiwezi kuongozwa mithiri ya kampuni ya biashara au familia ya watu wa damu moja.
Tuwaambie mbinu tutakayotumia ili muibadilishe iwe sera ya CCM? Mlipolalia ndipo sisi tulipoamkia.
Hii nchi ya CCM na itabaki kuwa ya CCM, nyie mko kuturahisishia kupata hela za wazungu tu.
Matokeo ya uchaguzi wa 2015 yanajulikana,sasa wala usisumbuke kupanga mstari kupiga kura
Ahsante mkuu kwa kumweleza huyu mchumia tumbo wa magamba ukweli. Si unaona nape anavyojitapa sasa hivi, eti katiba mpya ilikuwa sera ya magamba wakati 2010 hawakuwahi hata kulitamka hilo neno kabla ya uchaguzi na kwenye mikutano yao ya kampeni.
Tatizo kubwa la Pro-Chadema pamoja na viongozi wao wanakuwa wakosoaji kwa CCM lakini wao kama Chadema hawasemi watawasaidiaje Watanzania zaidi ya kusema wanataka kuwakomboa Watanzania.
Blockhead comment! Go to hell now...Better to stumble with toe than toungue...