Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

YAANI HUKO KOTE UNAPRO=LONG MAMBO KIJANA SOMA HAPARaia Mwema - Somo murua kwa Mbowe, Lipumba, Mrema kutoka kwa Kizza Besigye! UTAPATA MAANA YA HIKI KINACHOSEMWA

Mimi nasoma katiba ya FDC , wewe unasoma makala au lugha ni tatizo kwako? Sema utapatiwa msaada wa jinsi ya kuielewa.......kwa taarifa yako namfahamu Kiiza in person ........naijua FDC vizuri na muundo wake na operation zake ,ninakupa tuu taarifa ili siku nyingine uwe unatafiti kabla ya kushadidia jambo usilolijua ili uweze kujenga hoja na sio kama unavyotapatapa mara ukabila , mara makala, na unavunja sheria za jf kutaja majina unayohisia kuwa ni watu unaowafahamu, angalia nimejiunga lini hapa mimi ni miongoni mwa wakongwe kijana. Leo nimeamua nikupatie elimu kidogo
 
Makala hiyo niliisoma Alhamis iliyopita , mimi naangalia katiba ya fdc na sio makala ya gazeti.....kumbe msingi wako wa hoja ni makala ya gazeti? Niliwahi kusoma makala nyingine iliyokuwa inamjibu Habib Mchange kuwa hawezi kuwa mtetezi wa Zitto nayo niiamini?
Habibu Machange ndiye TUNTEMEKE?
 
Mtoa mada ni maharage ya mbeya, mshahara wa mwezi huu tena umetokana na biashara haramu ya vipusa unaanza kuchungulia mtu alievaa suruali wakati mwenyewe unamsuli tu, ni ajabu kwani ccm ndio mabingwa wa kuikanyaga katiba kama si kuisigida, unaandika upuuzi unatoa mfano wa kipuuzi, una hoja kweli wewe
 
kamanda Ben we ni kiboko yao, umewatoa povu jingi sana hawa wasaliti kwa kujibu kwa hoja yani mapaka hawana hamu tena na wewe na nadhan kuanzia leo aibu kwao. Lol.. !

Chezea Ben weye............! Utalala nje..............!
ha ha ha!
Pamoja sana kamanda
 
Tuntemeke ana hoja, na haigusi Chadema pekee bali NCCR, CUF, na CCM; Vinginevyo tafiti nyingi sana (hata uki google) zinaonyesha kwamba, moja ya changamoto kubwa sana ya vyama vya siasa barani afrika ni weaknesses kwenye internal democracy; Hili lipo Chadema, CUF, CCM, NCCR, na orodha inaendelea...;

what is internal democracy?? Swala sidhani kama ni hilo nafikiri swala labda liwe katiba za vyama. Na kama sababu ni hiyo leteni vyama vya siasa duniani na katiba zake zenye demokrasia amabayo wewe na Tuntemeke mnataka CDM iwe nayo ndio muipende.

Swala la mtu kuacha kazi au kukimbia cheo lisiwe kigezo hapa. Tuanze na katiba inayopigiwa mayowe na huyu Tuntemeke mgombea wa kibaha. ni wapi katiba ya CDM inatakiwa irekebishwe ili nyote muipende. Kwa vyama vya siasa nchini ambavyo vimefanikiwa kuifuata katiba yake bila matatizo na kuwa na chaguzi na kubadili viongozi bila mikwaruzo kwa kipindi cha miaka zaidi ya ishirini ni CDM.

Ila changamoto zinakaribishwa na katiba inaweza badilika kama kuna sababu za msingi. Na kila mara katiba inafanyiwa marekebisho.

Mchambuzi, usije jikuta unaingia kwenye train lisilo na dereva, Ukumbuke CDM inakuwa mpaka hapo unapoandika kuna sehemu ya nchi tunahitaji watu wa kugombea vyeo mbali mbali ndani ya chama. Tukikamilisha kukisambaza chama kwa kila raia na kila kona ya nchi utaona CDM yenye furaha kubwa. Kwa sasa tunajua wapo watu wanaolipwa na Nape wakiongozwa na CCM ili kuimaliza CDM. Ila wajue CDM sio mtu mmoja mmoja ni taasisi na wananchi wenye maisha magumu na maonevu ya watawala wa seriali ya CCM.

Tuntemeke alikamatwa akitoa rushwa kwenye chaguzi za ndani za chama, sasa wewe mchambuzi ulitaka katiba ya chadema isemeje ili imfae mtoa rushwa?? Ni wazi huyu anafaa CCM sana ndiko kimbilio la watoa rushwa, wezi, wahujumu, wazembe, walafi, mafisadi, wauaji, na wote wanaoitakia kifo Tanzania ya leo.

Hatuwezi kubadili katiba kwa ajili ya kundi hilo bali kwa ajili ya nia njema na maisha bora ya demokrasia ya watanzania wote.

Demokrasia ni makubaliano ya jinsi ya kuendesha mambo yanayokubaliwa na wengi kwenye jumuiya husika. Kama tukiona wengi hawapendi demokrasia tuliyonayo na lazima wale wanaoiishi yaani wanachama wa chadema na wote wenye mapenzi mema itafanyiwa kazi.

Mamluki hawawezi kuwa ndio wanaolilia vyeo kwa manufaa yao.Rushwa haikubaliki ndani ya CDM. Hata mtumie njia gani 2015 hakuna huruma wananchi tumechoka magamba jipangeni kwa miaka mingine. this is our time, and that time is today.
 
Habibu Machange ndiye TUNTEMEKE?

tuntemeke sio mtu mmoja kama molemo na genge lake wanavyodhani.
tuntemeke ni kampuni kubwa yenye matawi yake mikoa yote ya tanzania.
na ina uongozi uliokamilika.
imefungua agency yake iitwayo lekadutigite 2015.
kwa leo niishie hapo utaelewa vizuri 2015 kuhusu madhumuni ya lekadutigite na tuntemeke co.
 
@TUNTEMEKE,

1. Upo Tanzania, je umelinganisha demokrasia ya Chadema na vyama vingine vya upinzania Tanzania?

2. Ikiwa umelinganisha, nini tafsiri na ushauri wako? Kwa mfano, kama CCM inaonesha kuwa na

Demokrasia kuliko Chadema, nini ushauri wako?

3. Wewe upo Chadema, umefanya nini ndani ya chama chako kushughulikia haya?

4. Kama Chadema bado demokrasia hapo, kwanini usiende pale ambako wewe unaona pana

demokrasia?
 
m4c ni mradi wa lema kirefu chake ni movenent for chaggas
chadema means chagga development manifesto!
hakika tanzania tunahitaji chama cha upinzani kitakachokuwa cha kitaifa zaidi maana mpaka sasa hamna.
vingine vya udini,ukabila na ukanda.
labda tusubili mpaka 2015 jibu litakuwa limepatikana.
 
Demokrasia ya tz inaathiriwa sana na dola kwa makusudi kabisa kwa maelekezo toka kwenye chama tawala,hivyo kwa tz yetu hii lazima kiongozi wa chama chochote makini cha siasa (na hapa namaanisha chama cha upinzani) ni lazima wawe waangalifu namna wanavyoruhusu michakato ya kidemokrasia ndani ya vyama vyao na lazima nafasi zote nyeti zishikiliwe na watu waadilifu wanaojua nini malengo ya chama na si malengo ya matumbo yao kama mfano; john shibuda.Vinginevyo sioni tatizo lolote ndani ya chadema,mimi ni mwanachadema na nina furaha na jinsi ambavyo viongozi waliopo wanaendesha chama na kuwabana kila mamluki aina ya kina tuntemeke,na wakiona wamekwama,wanakimbilia hapa jf kuharisha.
 
Uongozi wa Chadema ni janga la taifa, wapswa ubadilike kwa manufaa ya nchi yetu
 
From today i declare kwamba WildCard ni sehemu ya wapuuzi tulionao hapa JF. NA TUNTEMEKE ni mfugo unaofugwa na Chadema yenyewe, they have to kick her

kweli hiki chama ni cha wachagga maana tuntemeke ni mkinga wa watu masikini ndo maana mnataka kumfukuza chadomo
ametoka zake huko vilima vya livingstone makete mpaka ufipa kinondoni wapi na wapi?
pole sana tunte yatakukuta kama yaliyomkuta babu yangu mwenekilunga kupigwa detention ya maisha.
hicho chama hakitaki wakosoaji na ndio maana zitto hawamtaki hata kuamua kumtuma saakumi kumuwekea sumu.
jamaniiii
 
Last edited by a moderator:
Uongozi wa Chadema ni janga la taifa, wapswa ubadilike kwa manufaa ya nchi yetu

nimekuja kugundua elimu nayo ni tatizo kwakweli.
ukimtoa zitto mwenye phd ,slaa ana theology tu pale kichwani kwake na ndio maana anaendesha chama kwa taratibu zakiroman
mbowe ni form four,
ndio maana hawamtaki zitto kabisaa maana ni threat kwao.
hahahaaaaaaaa
 
From today i declare kwamba WildCard ni sehemu ya wapuuzi tulionao hapa JF. NA TUNTEMEKE ni mfugo unaofugwa na Chadema yenyewe, they have to kick her asss.
Usijali Matola. Ujumbe wangu umewafikia wanaoniona tofauti kidogo na wewe. Nia yangu ni kuiona CHADEMA iliyo kamili kabisa kwa ajili ya mechi zijazo. Nilichojifunza kwenye thread hii ni kuwa mnadhani CHADEMA ni Dr Slaa na Mr Mbowe. Chama hiki na vingine ni vyetu sote WATANZANIA. Tunavigharamia, tunawapigia kura wagombea wake.
 
nimekuja kugundua elimu nayo ni tatizo kwakweli.
ukimtoa zitto mwenye phd ,slaa ana theology tu pale kichwani kwake na ndio maana anaendesha chama kwa taratibu zakiroman
mbowe ni form four,
ndio maana hawamtaki zitto kabisaa maana ni threat kwao.
hahahaaaaaaaa
Isee!!....
Kumbe Zitto Kabwe ni PHD Holder? ni kwa nini haumuiti Dr Zitto Kabwe?
 
Usijali Matola. Ujumbe wangu umewafikia wanaoniona tofauti kidogo na wewe. Nia yangu ni kuiona CHADEMA iliyo kamili kabisa kwa ajili ya mechi zijazo. Nilichojifunza kwenye thread hii ni kuwa mnadhani CHADEMA ni Dr Slaa na Mr Mbowe. Chama hiki na vingine ni vyetu sote WATANZANIA. Tunavigharamia, tunawapigia kura wagombea wake.
Unafki huu, ingekuwaje Chadema ingekuwa hivi?......

Sektarieti hii ni nzuri lakini? nina swali moja tu! Kikwete muislamu! Dr Shein Muislamu!mangula Mkristo! Kinana muislamu! Mwigulu Nchemba muislamu! Seif Khatibu Muislamu! Nape Nnauye Muislamu! Asha Rose Migiro Muislamu! Zakhia meghji Muislamu! katika viongozi tisa wa juu wa CCM nane wote ni waislamu na mkristo ni mmoja tu! sura hii sio picha njema kwa nchi ambayo inakabiliwa na udini na propoganda chafu za ubaguzi wa kiimani kama Tanzania ya sasa!
 
Uongozi wa Chadema ni janga la taifa, wapswa ubadilike kwa manufaa ya nchi yetu
Uongozi wa CHADEMA sio janga. Mr Mbowe na Dr Slaa ni kati ya viongozi wazuri mno wa vyama vya SIASA Tanzania imepata kuwa nao. Tatizo letu kwao ni zile dalili zinazoanza kujitokeza kwamba wao ndio CHADEMA na CHADEMA ni wao. Hii ni hatari kwa uhai endelevu wa chama hiki.

Mwalimu Nyerere aliliona hili kwa CCM na serikali. Akaamua kung'atuka ili kutoa nafasi kwa watu wengine ili yeye akiwa angali hai afanye kazi ya kushauri, kuonya na kukumbusha viongozi walioko madarakani wajibu wao kwa WATANZANIA.

Mr Mbowe sio mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA na wala hatakuwa wa mwisho. Dr Slaa naye sio Katibu Mkuu wa kwanza wa chama hichi na wala hatakuwa wa mwisho. Ni kweli michango yao wote wawili inaweza kuwa mikubwa sana kuliko ya wale waliowatangulia. Hii haina maana wao wakalie nafasi hizi milele!
 
Unafki huu, ingekuwaje Chadema ingekuwa hivi?......Sektarieti hii ni nzuri lakini? nina swali moja tu! Kikwete muislamu! Dr Shein Muislamu!mangula Mkristo! Kinana muislamu! Mwigulu Nchemba muislamu! Seif Khatibu Muislamu! Nape Nnauye Muislamu! Asha Rose Migiro Muislamu! Zakhia meghji Muislamu! katika viongozi tisa wa juu wa CCM nane wote ni waislamu na mkristo ni mmoja tu! sura hii sio picha njema kwa nchi ambayo inakabiliwa na udini na propoganda chafu za ubaguzi wa kiimani kama Tanzania ya sasa!
Hata wewe Matola DINI ya mtu inakusumbua! Nape nilimwona kule kwa Gwajima siku moja; AshaRose Migiro mumewe MKRISTO; Mwiguluuu....., wengine hawa akina JK, Kinana, Zakhia ni DINI majina tu!
 
Back
Top Bottom