Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Aliyeshikwa kashika na aliyeshika kashikwa na mwisho wa siku wote WAMESHIKANA badala ya KUSHIKAMANA!! Huu mjadala nimeufuatilia kwa karibu na kugundua kuwa una WENYEWE na wenyewe ni waarabu wa PEMBA wanaojuana kwa VILEMBA!!
Kigarama,
Hawa CHADEMA wamepofuana kiasi kwamba linaloonekana ni pungufu la wazi kabisa la kikatiba wanaliona kitu kidogo cha kawaida. Hawataki kuhojiwa wanavyochaguana ili mradi aliyechaguliwa ni "mtu" wao hata kama taratibu zimevunjwa!
 
Sio vibaya kama akina Mbowe na Dr Slaa nao wakalifikiria hili. Huenda likaisaidia CHADEMA kuonekana ni ya KITAIFA zaidi.

Haya ndiyo mawazo ya typical ya wanaccm maslahi, ambao bila ccm maisha yao hayapo. Kwakuwa wanatambua ushupavu wa Dr. Slaa na Mbowe, kwahiyo wameamua kwa makusudi kutumia kila mbinu kujaribu kutushawishi Chadema tuchague viongozi wanaowataka wao.

Na hii ni tahadhari kwa wanachadema wote. Ukijiona unaungwa mkono kwa nguvu na kwa wingi sana na wanaccm wakaitaka wewe ndiye uwe kiongozi wa chama ama kubeba bendera ya chama katika kuwania uongozi wa nchi, aidha udiwani, ubunge ama uraisi basi jitazame upya msimamo wako na nyendo zako kwani haiwezi kutokea ccm wakataka Chadema iongozwe na viongozi shupavu kama Mbowe na Dr. Slaa.
 
Kigarama,
Hawa CHADEMA wamepofuana kiasi kwamba linaloonekana ni pungufu la wazi kabisa la kikatiba wanaliona kitu kidogo cha kawaida. Hawataki kuhojiwa wanavyochaguana ili mradi aliyechaguliwa ni "mtu" wao hata kama taratibu zimevunjwa!
Huku tulikofika unadhani kuna mjadala tena? Angalia Ben Saanane na mwenzie TUNTEMEKE wanavyochambuana kibinafsi (Personally) huku wakichagizwa na Ritz na Nicas Mtei. JF inatakiwa iwe ni kisima cha maarifa na siyo jukwaa la kudadavuana kibinafsi.

Radicals wote duniani msingi wao mkuu ni wao kujiona wako sahihi wakati wote na mawazo,mitizamo, Falsafa na maono yao hayatakiwi kuhojiwa na yeyote yule na anayehoji huharamishwa!!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli, inawezekana baadhi ya post zako zote sijazisoma lakini nyingi nimezisoma.
Nilichokuwa nakusudia hapa mimi ni kujadili tukiwa objective, kwakuwa tangu mwanzo inaonekana dhahiri shairi mnaelekeza mashambulizi kwa Katibu Mkuu bila kutazma mchakato wote wa uchaguzi uliendaje.

Si kila jambo linalojadiliwa na baraza kuu ama kamati kuu linatangazwa hadharani, mambo mengine ni ya ndani ya chama chenyewe, kwahiyo kama huna taarifa fulani ni vizuri kuuliza kwanza kabla ya kuanza kurusha mashambulizi bila kuujua ukweli.
Shida kubwa mliyonayo CHADEMA ni ku-copy na ku-paste mambo mengi kutoka CCM. Hata huku kuchaguana ngazi ya Taifa hamtofautiani sana. Muundo wa chama chenu nao ni replica ya CCM. Secretariet, Kamati Kuu, Baraza/Halmashauri Kuu, Mkutano Mkuu,..., ni vigumu kuwatofautisha. Nilimsikia Nape akisema baadhi ya viongozi wenu kadi za CCM hawajarudisha.
 
Ni kanuni zipi za uchaguzi zilikiukwa?je kuhusu uchaguzi kuahirishwa?provision ya katiba imetolewa kwamba uchaguzi unaweza kuahirishwa kwa muda wa mwaka mmoja

Kama una uchungu na RUZUKU kama unavyojaribu kuleta unafiki mbona huangalii katiba za CUF,CCM,TLP na vyama vingine?mbaya zaidi hausemi ni kanuni na kipengele kipi cha katiba kimevunjwa.Huyo mwingine kaleta upotoshaji hapa tukarejea katiba akaishia kwenda personal na hatimaye akapotea kabisa.

-CHADEMA tusonge mbele,anayetaka kukosoa kwa manufaa kama ni mwanachama wa CHADEMA atafanya hivyo kwenye vikao.Ambaye si mwanachadema ana uhuru wa kuandika chochote ili mradi asipotoshe coz we are here to stay na hatutaacha kuweka record straight

-By the way,kama utakua free kesho karibu mahakamani Rufaa ya Lema itasikilizwa Kesho.Njoo uangalie jinsi serikali inavyotumia kodi yako kwa maslahi ya chama tawala kisiasa kwa sababu hii kesi ni very unnecessary

kamanda Ben we ni kiboko yao, umewatoa povu jingi sana hawa wasaliti kwa kujibu kwa hoja yani mapaka hawana hamu tena na wewe na nadhan kuanzia leo aibu kwao. Lol.. !

Chezea Ben weye............! Utalala nje..............!
 
Wanachokosea CDM kwa sasa ni kufanya M4C nje ilhali ndani bado kuna matatizo. Fanya reforms ndani ya chama ili tuwaamini kwanza. Badilisha mfumo wa uongozi kutoka wa kifamilia na kuwa wa kichama zaidi, ondoa wasio kuwa na elimu ya kutosha kwenye hizo nafasi za uenyekiti, katibu na umakamo weka vichwa vya kuaminika. Tengenezeni uniform ambazo mnaweza kuzivaa hata wakati wa kiangazi pia. Ni ushauri tu.
 
Haya ndiyo mawazo ya typical ya wanaccm maslahi, ambao bila ccm maisha yao hayapo. Kwakuwa wanatambua ushupavu wa Dr. Slaa na Mbowe, kwahiyo wameamua kwa makusudi kutumia kila mbinu kujaribu kutushawishi Chadema tuchague viongozi wanaowataka wao.

Na hii ni tahadhari kwa wanachadema wote. Ukijiona unaungwa mkono kwa nguvu na kwa wingi sana na wanaccm wakaitaka wewe ndiye uwe kiongozi wa chama ama kubeba bendera ya chama katika kuwania uongozi wa nchi, aidha udiwani, ubunge ama uraisi basi jitazame upya msimamo wako na nyendo zako kwani haiwezi kutokea ccm wakataka Chadema iongozwe na viongozi shupavu kama Mbowe na Dr. Slaa.
Kila anayeikosoa CHADEMA mnamsajili kule CCM. Sisi wengine ni WATANZANIA tu. Hatuna vyama wala DINI. Kumbuka pia kura alizopata Dr Slaa mwaka 2010 sio za wanaCHADEMA pekee. Aliungwa mkono hata na wanaCCM na tusio na vyama. Hata huo ushupavu wa Mbowe na Dr Slaa unatokana na UDHAIFU wa CCM.
 
Kama Kibanda alisema kweli vile..!!!, kwamba Abdul...K anastrateji kali za kuangamiza vyama vya upinzani....

Ona sasa kaongeza majeshi mengine ya kimtandao kuvipopoa vya vya upinzani...walivurugaji wote wa vyama vya upinzani ambao wako kwenye vyama hivyo kama wanachama sasa wamejiunga na jishe la kimtandao kuangamiza vya vya upinzani.....kwa malipo wayajuayo wao.
 
Haya ndiyo mawazo ya typical ya wanaccm maslahi, ambao bila ccm maisha yao hayapo. Kwakuwa wanatambua ushupavu wa Dr. Slaa na Mbowe, kwahiyo wameamua kwa makusudi kutumia kila mbinu kujaribu kutushawishi Chadema tuchague viongozi wanaowataka wao.

Na hii ni tahadhari kwa wanachadema wote. Ukijiona unaungwa mkono kwa nguvu na kwa wingi sana na wanaccm wakaitaka wewe ndiye uwe kiongozi wa chama ama kubeba bendera ya chama katika kuwania uongozi wa nchi, aidha udiwani, ubunge ama uraisi basi jitazame upya msimamo wako na nyendo zako kwani haiwezi kutokea ccm wakataka Chadema iongozwe na viongozi shupavu kama Mbowe na Dr. Slaa.

Mkuu Mwita
Umemaliza kila kitu.Kadiri magaidi wa demokrasia wanavyowachafua mashujaa wetu Dr Wilbroad Slaa na Freeman Mbowe na ndivyo hivyo hivyo wanyonge tunavyozidi kuunganisha nguvu chini ya mafahali hawa.

Hawa mamluki wanadhani wanaweza kufanikiwa chochote.La hasha! Bahati njema majina yao wote tunayo na wanaowatuma kama majina yao yanavyowekwa Live hapa jamvini.

Ninashangaa watu wa hovyo hivi ndio walitaka kuwa viongozi wa Bavicha.Wamenunuliwa kwa bei ndogo sana hata inatia kinyaa.

Ben Saanane amefanya kazi kubwa ya kuwatoa tongotongo hawa mamluki.
 
Thread ina ukweli nusu,propaganda robo na majungu robo...CHADEMA tusipinge kila kitu kutoka kwa tusiowapenda,suala la kuwa na tume huru na halali ndani ya chaguzi za ndani ya chama ni suala la msingi.Ni vema tusijilinganishe na magamba...hayo majungu mengine,mwachieni Tuntemeke mwenyewe ayapeleke Makete!
 
Kila anayeikosoa CHADEMA mnamsajili kule CCM. Sisi wengine ni WATANZANIA tu. Hatuna vyama wala DINI. Kumbuka pia kura alizopata Dr Slaa mwaka 2010 sio za wanaCHADEMA pekee. Aliungwa mkono hata na wanaCCM na tusio na vyama. Hata huo ushupavu wa Mbowe na Dr Slaa unatokana na UDHAIFU wa CCM.

Mtahangaika sana lakini hamtafanikiwa malengo yenu maovu.
 
- Changamoto nzito sana hii maana Demokrasia bado hatujaijua kwa mapana wala karibu, sasa mtoa mada utaishia kuitw amajina yote ya ajabu duniani kwa sababu umewagusa the much know, wanaojua kuwapa ukweli wengine tu lakini sio wao kurekebishwa!

- Uzuri wa Siasa ni kwamba it is only a matter of time watashituka na hasa baada ya kupighwa tena kwenye uchaguzi mkuu ujao, maana kwenye kupigwa na Udiwani bado ujumbe haukufika, Dunia nzima chama kikishindwa Viongozi wa juu wanaondoka, Gingrich alipokuwa Spika Republicans waliposhindwa akaojiondoa mwenyewe, sio utamaduni wetu bongo so watatafuta kila maneno ya ajabu kukupinga simply kutetea uozo tu!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

ES - WAZEE WA SAUTI YA UMEME!!
 
kamanda Ben we ni kiboko yao, umewatoa povu jingi sana hawa wasaliti kwa kujibu kwa hoja yani mapaka hawana hamu tena na wewe na nadhan kuanzia leo aibu kwao. Lol.. !

Chezea Ben weye............! Utalala nje..............!

Mkuu leo ndiyo nimeamini Ben ni kiboko ya njia.Kawapa Facts hao vibaraka mpaka naamini sasa wanajiona wako uchi.
Laiti Dr Slaa Rais wa mioyo ya watu amuone huyu Ben anavyokipigania chama.Hawa ndiyo vijana wanaostahili kukaa pembeni ya kina Dr Slaa na Mbowe.The guy is very Bright!
 
Wanachokosea CDM kwa sasa ni kufanya M4C nje ilhali ndani bado kuna matatizo. Fanya reforms ndani ya chama ili tuwaamini kwanza. Badilisha mfumo wa uongozi kutoka wa kifamilia na kuwa wa kichama zaidi, ondoa wasio kuwa na elimu ya kutosha kwenye hizo nafasi za uenyekiti, katibu na umakamo weka vichwa vya kuaminika. Tengenezeni uniform ambazo mnaweza kuzivaa hata wakati wa kiangazi pia. Ni ushauri tu.

Hapo red napenda kukuambia kuwa hakuna uongozi wa kifamilia ndani ya CDM kama unavyodai. Angalia chama chako cha Magamba (ccm), JK, Salma, Ridhiwani wote ni viongozi wa ccm yaani baba, mama na mtoto na wanapita bila kupingwa. Haya twende, Mwinyi/Mwinyi, Makamba/Makamba, Malima/Malima, Kawawa/Kawawa, Msuya/D.Matayo, Malecela/Malecela, n.k.

Hapo green, inaelekea huwajui viongozi wa Chadema. Tangu enzi za Mzee Mtei, Mzee Makani na sasa Mbowe hakuna wakati uenyekiti wa CDM ulishikwa na mtu asiye msomi. Wote ni wasomi waliobobea na wamewahi kushika nyadhifa mbalimbali zilizohitaji wasomi. Katibu Mkuu wa CDM, lo! kuna mtu asiyejua kuwa Dr. Slaa ni msomi wa kupindukia. Yule si "Dr." wa kubandikwa kama wa mwenyekiti wa Magama-ccm (JK) ambaye hata hiyo shahada ya kwanza aliyo nayo aliipata kwa kiwango cha chini na ndiyo maana hana ya pili, sembuse PHD!! Sehemu kubwa ya viongozi vijana wa Chadema ni wasomi wazuri kabisa na ndiyo maana wanawachachafya wabunge vihiyo wa magamba ambao kila kukicha wanajiita DR so and so bila kufika darasani. Dr. Nchimbi, Dr. JK, Dr. Nagu, Dr. Dr. Dr. hamna lolote.
 
- Changamoto nzito sana hii maana Demokrasia bado hatujaijua kwa mapana wala karibu, sasa mtoa mada utaishia kuitw amajina yote ya ajabu duniani kwa sababu umewagusa the much know, wanaojua kuwapa ukweli wengine tu lakini sio wao kurekebishwa!

- Uzuri wa Siasa ni kwamba it is only a matter of time watashituka na hasa baada ya kupighwa tena kwenye uchaguzi mkuu ujao, maana kwenye kupigwa na Udiwani bado ujumbe haukufika, Dunia nzima chama kikishindwa Viongozi wa juu wanaondoka, Gingrich alipokuwa Spika Republicans waliposhindwa akaojiondoa mwenyewe, sio utamaduni wetu bongo so watatafuta kila maneno ya ajabu kukupinga simply kutetea uozo tu!!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!!

ES - WAZEE WA SAUTI YA UMEME!!

Mkuu naomba upeleke salamu zangu kwa William Malecela-Le Mutuz-Le Baharia.Mwambie huku hatujambo.
 
Hapo green, inaelekea huwajui viongozi wa Chadema. Tangu enzi za Mzee Mtei, Mzee Makani na sasa Mbowe hakuna wakati uenyekiti wa CDM ulishikwa na mtu asiye msomi. Wote ni wasomi waliobobea na wamewahi kushika nyadhifa mbalimbali zilizohitaji wasomi. Katibu Mkuu wa CDM, lo! kuna mtu asiyejua kuwa Dr. Slaa ni msomi wa kupindukia. Yule si "Dr." wa kubandikwa kama wa mwenyekiti wa Magama-ccm (JK) ambaye hata hiyo shahada ya kwanza aliyo nayo aliipata kwa kiwango cha chini na ndiyo maana hana ya pili, sembuse PHD!! Sehemu kubwa ya viongozi vijana wa Chadema ni wasomi wazuri kabisa na ndiyo maana wanawachachafya wabunge vihiyo wa magamba ambao kila kukicha wanajiita DR so and so bila kufika darasani. Dr. Nchimbi, Dr. JK, Dr. Nagu, Dr. Dr. Dr. hamna lolote.

Naona ushabiki umekuzidi:

1) Dr Slaa hii ndiyo elimu yake:

Dk. Slaa ana shahada na atashahada zifuatazo.
Sharada ya Uzamivu (PhD) katika Sheriaü ya kanisa kutoka Chuo kikuu cha St. Urban, Rome.
Stashahada ya Theolojiaü kutoka Kipalapala Seminari.
Stashahada ya falsafa kutoka Kiboshoü Seminari.
Stashahada ya Afya ya Macho kutoka Kituo cha Kimataifa chaü Macho.

2) Mbowe

Form six leaver

Huo ubobezi uko wapi? Ukiwa unafikiri namna hii, ni hatari kwa mustakbali wa taifa lako. Jirekebisha kuwa objective.
 
Naona ushabiki umekuzidi:

1) Dr Slaa hii ndiyo elimu yake:

Dk. Slaa ana shahada na atashahada zifuatazo.
Sharada ya Uzamivu (PhD) katika Sheriaü ya kanisa kutoka Chuo kikuu cha St. Urban, Rome.
Stashahada ya Theolojiaü kutoka Kipalapala Seminari.
Stashahada ya falsafa kutoka Kiboshoü Seminari.
Stashahada ya Afya ya Macho kutoka Kituo cha Kimataifa chaü Macho.

2) Mbowe

Form six leaver

Huo ubobezi uko wapi? Ukiwa unafikiri namna hii, ni hatari kwa mustakbali wa taifa lako. Jirekebisha kuwa objective.

Magamba mtahangaika sana......
 
Back
Top Bottom