Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,582
Ni kweli chadema na FDC haviwezi kufanana lakini principle za democratic party ni univesal CHADEMA inatakiwa iwe anatume huru ya kusimamia chaguzi zake.
Zaidi ya hapo sioni unachokizungumzia zaidi ya kulia lia tu hapa
Umewahi kuiona katiba ya FDC wewe? Unayajua madaraka ya rasi wa chama ? Jifunze usikurupuke.....