Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

sioni ukijibu hoja hapa..kama unajua chochote kuhusu mfumo wa uchaguzi wa chadea si useme?kinachokusibu kulia lia na kupika maneno mengi yasiyo na nyama ni nini??

Jibu hapa wewe ni mwanachadema eleza uchaguzi unatakiwa uendeshwe kwa usimamizi uliopo sasa???

Nimekuambia kanuni na muongozo wetu wa uchaguzi hauko rigid ila kuna strong foundation for democratic process

Kama unakumbuka kamati kuu ilipendekeza uchaguzi wa BAVICHA(ule uchaguzi ambo ulienguliwa kwa kutoa rushwa ili kujaza ombwe la uongozi ulilokua nalo) usimamiwe na wazee

Soma katiba vizuri katika ibara na vipengele vyake

Katiba ya CHADEMA

7.7.16 Kazi za Kamati kuu zitakuwa:-

h) kuanda na kutoa mapendekezo kwa Baraza kuu ratiba na maelekezo ya uchaguzi kichama
1)Kupitia na kutoa mapendekezo kwa baraza kuu ya haja ya kuzifanyia marekebisho

Sasa

Baraza kuu nalo linashiriki katika Process ya kufanya marekebisho katika kanuni za uendeshaji wa chama na shughuli zake.Uchaguzi ndani ya chama ni shughuli ya chama kwa hiyo hoja yangu ya flexibility kupitia transparent process iliyoainishwa kwenye katiba inatosheleza
 
aligombea na nani???unauhakika hawakutaka???

mkuu tunte unabishana na kivuli cha wenyewe si umeona hata jina hilo ndo yale yale yenye chama chao.
sasa tatizo hiki kivuli ni very bogus aisee hajui chochote hawa ndo wale wamejiunga chadema siku ile lema anazindua mradi wake wa m4c pale arusha.
nakuheshimu sana mkuu naomba usijishushie hadhi yako kubishana na this empty shadow.
 
Ben Saanane Soma pia 7.7.13(b). Dr Slaa aligombea na nani uchaguzi uliopita?
 
Last edited by a moderator:
mkuu tunte unabishana na kivuli cha wenyewe si umeona hata jina hilo ndo yale yale yenye chama chao.
sasa tatizo hiki kivuli ni very bogus aisee hajui chochote hawa ndo wale wamejiunga chadema siku ile lema anazindua mradi wake wa m4c pale arusha.
nakuheshimu sana mkuu naomba usijishushie hadhi yako kubishana na this empty shadow.

hahahahahahaha unataka kutoka kijanja?
 
Kaka umeona mbali sana hakika wewe ni mchambuzi, tatizo humu wamo wafia dini wao hata kama kinachosemwa ni sahihi wasipokipinga kamasi linaziba pua,hongera Tumtemeke chadema siyo chama cha siasa ni political cooperation ie it is an economic strategic union.

cabal-collaborator
 
ID yangu ni hiyo moja. Jibu hoja yangu sasa. Katiba yenu inasema pia Mwenyekiti atateua majina mawili kugombea Ukatibu Mkuu. Dr Slaa aligombea na nani uchaguzi uliopita? 7.7.13(b)

MBONA HAUISEMI 7.7.13(c)? au kwako napo unaona makengeza?
 
Ben,
Soma pia 7.7.13(b). Dr Slaa aligombea na nani uchaguzi uliopita?

Hicho kipengele kimeachwa kwa matakwa ya baraza kuu.Sasa ni juu ya wagombea kujitokeza.

Sasa suala la aligombea na nani ni lingine.Ili mradi kanuni zipo wazi.Naona nimekuleta kwenye tatizo la msingi kama awali.Hausomi katiba na kama unaisoma hauielewi. Naibu katibu mkuu na wengine ambao Baraza kuu limepewa mamlaka walipitia mchakato uaofanana na wa Dr.Slaa kwenye ukatibu mkuu

So,Tatizo lako ni Dr.Slaa na si democratic process kama ulivyotaka kuleta spinning hapa

Kwa faida ya wanaJF

7.7.13 Kazi za Baraza kuu zitakua;-

b)Kumchagua katibu mkuu miongoni mwa majina mawili yatakayopendekezwa na mwenyekiti Taifa

c)Kuwachagua manaibu katibu wakuu miongoni mwa majina mawili mawili kwa kila naibu yatakayopendekezwa na mwenyekiti wa taifa


NB: Sasa unapokaa na yule mshirika wenu aliyepandishwa cheo kuwa Naibu katibu mkuu wa CCM muulize kama jina lake lilipendekezwa katika ushindani .Muulize mchakato wa yeye kupatikana ulikuaje maanake alikua mgombea pekee
 
na wewe una uhakika gani kuwa walizuiwa?
Moja ya mapungufu mengi ya katiba ya CHADEMA haisemi wazi wagombea wa nafasi hii ya Mwenyekiti Taifa wanapatikanaje. Nafasi hii ni kubwa na nyeti katika chama lakini imeachiwa wajanja wachache wamtafute mtu wampendekeze kugombea! Ni aibu kwa chama chenye wanasheria wa aina ya Lissu kuwa na katiba ya aina hii. Katiba inaeleza tu mwenyekiti atachaguliwa na mkutano mkuu 7.7.10(a), mchakato wa kumpata mgombea au wagombea hauko wazi.
 
Mleta mada naona hafahamu maana ya demokrasia. Anafikiri uchaguzi ndio demokrasia pekee??
 
Hicho kipengele kimeachwa kwa matakwa ya baraza kuu.Sasa ni juu ya wagombea kujitokeza.

Sasa suala la aligombea na nani ni lingine.Ili mradi kanuni zipo wazi.Naona nimekuleta kwenye tatizo la msingi kama awali.Hausomi katiba na kama unaisoma hauielewi. Naibu katibu mkuu na wengine ambao Baraza kuu limepewa mamlaka walipitia mchakato uaofanana na wa Dr.Slaa kwenye ukatibu mkuu

So,Tatizo lako ni Dr.Slaa na si democratic process kama ulivyotaka kuleta spinning hapa

Kwa faida ya wanaJF

7.7.13 Kazi za Baraza kuu zitakua;-

b)Kumchagua katibu mkuu miongoni mwa majina mawili yatakayopendekezwa na mwenyekiti Taifa

c)Kuwachagua manaibu katibu wakuu miongoni mwa majina mawili mawili kwa kila naibu yatakayopendekezwa na mwenyekiti wa taifa


NB: Sasa unapokaa na yule mshirika wenu aliyepandishwa cheo kuwa Naibu katibu mkuu wa CCM muulize kama jina lake lilipendekezwa katika ushindani .Muulize mchakato wa yeye kupatikana ulikuaje maanake alikua mgombea pekee
Ben,
Mnataka kushika dola. Kuweni mfano kwa kuendana na mahitaji na matakwa ya katiba ya CHADEMA. Mkishindwa hii, katiba ya JMT itawasumbua zaidi. Wala usitake kulinganisha na yale yanayofanyika kule CCM. Wao wana Katiba yao.
Kubali kwamba uongozi wa CHADEMA Taifa haupo kwa mujibu wa katiba yenu!
 
unataka katiba iweje?
Nataka tufuate matakwa na mahitaji ya katiba tulizoziandika wenyewe. Katiba ya CHADEMA imeandikwa na wanaCHADEMA wenyewe tena miaka ya hivi karibuni tu. Kuna wanasheria wazuri tu huko CHADEMA. Akina Lissu, Marando, Prof Safari, Msando,...., halafu mnajifanyia mambo kienyeji kama CCM?
 
teh teh saakumi bwana nadhani toka masalia wakukamate na sumu uliyotumwa kumuwekea zitto nati zako za ubongo zimelegea changanya na siku ile uliposababisha kifo cha dereva wa tax na wewe kunusurika ukiwa katika harakati zakumtorosha demu wa mlashani pale riverside ndo kabisaa network zako zimekata.
yaani wewe unazungumzia kamati kuu ile ambayo ina wajumbe nane wakuteuliwa na mwenyekiti ambae nae hakupatikana kidemokrasia!
vipi bado unaendelea kumfanyia fitna selasini kule rombo ili wewe ugombee 2015 maana ndivyo ulivyoahidiwa na mabosi wako.

This is an ignorant subliterate leprechaun with no clues about the state of the 'CHADEMA and Tanzania political landscape' as at 1992 and what it is at the moment,out of touch yet instead of enlightening his sorry self on that angle, this beef-witted whipster only takes delight in trying to attack every member on this forum for fun.

Nimekujibu kwa hoja na vipengele vya katiba.Ofcourse najua huna uwezo kuelewa hayo.Unaleta vioja

Please stop the personal vendetta and write something progressive to uphold CHANGE. It is not time to use 'unpolished words' /malicious fabricated
 
Ben,
Soma pia 7.7.13(b). Dr Slaa aligombea na nani uchaguzi uliopita?

Zitto aligombea na nani unaibu katibu mkuu bara? Acha fitna zako , mbona huyo husemi ama shida ni Slaa tuuu na sio demokrasia?
 
Ben,
Mnataka kushika dola. Kuweni mfano kwa kuendana na mahitaji na matakwa ya katiba ya CHADEMA. Mkishindwa hii, katiba ya JMT itawasumbua zaidi. Wala usitake kulinganisha na yale yanayofanyika kule CCM. Wao wana Katiba yao.
Kubali kwamba uongozi wa CHADEMA Taifa haupo kwa mujibu wa katiba yenu!

Unapotumia neno 'Katiba yenu' inamaanisha haikuhusu.So stay away.

Katiba hii hii ndiyo iliyokifikisha chama hapa kilipo na kikakua kwa kasi.Hata katiba ya Jamhuri ya muungano kama ingeweza kukidhi matakwa ya wananchi na ustawi wa taifa kwa kasi nisingeona/tusingeona umuhimu wa kuibadili

So kwa Chadema kama kuna marekebisho ni madogo sana na hayana madhara kwa ustawi wa demokrasia kama alivyojaribu kuleta huyo traitor hapa.Mbona alipopewa facts ameishia kwenye personal vendatta? Nimelinganisha na ya chama kingine kwa kuwa mleta mada ana vinasaba vinavyohusika na huko kwa hiyo ni lazima nimkumbushe ya huko anakotoka/tumiwa

Sasa na wewe kwa kuwa umetumia msamiati wa 'Yenu' then kaa pembeni.
 
Back
Top Bottom