Umeshaondoka FB?naona kule wamekuvua nguo tangu jana upo naked.Mjadala walo umeshaumaliza kule??Mkuu Matola
Hata mimi nimeshangaa.Eti kichaa anajilinganisha na Ben Saanane.Ben akichangia hoja unajua Asset ya chama inazungumza.Lakini huyo kichaa akichangia hoja unajua wazi mtu katoroka mirembe.
Hautakuwa wakwanza,Pili nitafurahi zaidi kuona CV yangu inasambaa hadi JF.Tuntemeke ninakupata freshi, na karibuni nitaakuanika hadharani, nitatoa CV yako fupi na Nyepesi unayemfanyia kazi. Nitawaaibisha karibuni
TUNTEE! Ushauri wa bure:Achana na CHADEMA,Rudisha Kadi na unaweza kujiunga na chama kingine chochote cha siasa na hata mukaanzisha chama chenu na bado mtafanya siasa zenu tena zenye DEMOKRASIA ya KWELI ambayo ndio unaidai ambapo hupewi kwa mujibu wa maandishi yako.Umekuwa traitor kwa muda mrefu sana ukitumika kutaka kuangamiza maisha ya viongozi wa chadema hasa zitto,
ulianza kwa kujenga urafiki hapa jf wa kumsifia sifia sana,kumbe ulikuwa na lako jambo.nimekunyoshea mikono wewe ni mafia.
Baadae ukaamua kuanzakumtafuta zitto(asante mungu katika maisha yako hujawahi onana na zitto ana kwa ana) umeishia kula za mbavu kutoka kwa vijana wasamalia wema na umerudi kwa wagaza wenzako sasa.
Mwishoni mwa mwezi huu hawa mwaifunga amekulipa mshahara wa ushushushu????
Twende kwenye mada kijana,chambua mfumo wa uchaguzi ndani ya chadema?ili uone kama unademokrasia ndani yake???
ben saanane,
nimekufahamu mwaka lini na mm nimejiunga jf lini???yaani wewe wakunifundisha mm kutumia mtandao.
Hata ukijisafisha vipi,mm na wewe tunajua vyema sana ukweli wote unaujua hapa.
Jibalaguze mkuu lakini huo ndio ukweli,shukuru tulikukurupusha mbio kwenye ule mchezo wako,otherwise picha za mnato zingeletwa hapa jf kama ungeendelea na michezo yako michafu.
Dr.slaa anameshaanza kukosa imani na wewe shushushu..utakula wapi?magazeti unayoyabana kwapani hapo utayatoa wapi?
Pole sana.
Niambie kanuni za uchaguzi za chadema ni lini zilikuwa flexible?
Wewe kama mwanasiasa kijana unazungumziaje mgombea kuwa msimamizi mkuu wa uchaguzi?
sio kuchukua fomu tu,je kusimamia uchaguzi ?katibu mkuu wa chadema ndiye msimamizi mkuu wa uchaguzi,itakuwaje yeye awe ndiye mgombea na ni msimamizi huyo huyo???
Matokeo na kura yeye ndiye anayeziptia unategemea nini hapo kamanda???
Kuna haja kuwa na chombo huru cha kusimamia maamuzi hasa ya kichaguzi ndani ya chama kikubwa kama hiki cha chadema ndani ya nchi.
Hii itasaidia kuondoa kasoro mbalimbali za malalamiko ya wagombea na hata matokeo ya kura.
Mwaka 2009 tuliona namna chama kilivyoingia kwenye sekeseke la kufuta majina ya watu kadhaa kwa sababu mbalimbali zikiwemo za kifamilia zaidi.
Sasa ilikuondoa ubanaji wa demokrasia kama ule ni mhimu chadema kikaiga mfano wa fdc huko uganda kikawa na tume huru ya kusimamia uchaguzi.
Dr.slaa kama katibu mkuu asijihusihe na usimamizi mkuu wa uchaguzi kwa sbabu hata yeye anaweza akaamua kugombea nani atasimamia uchaguzi????
TUNTEMEKE uandishi wako hata kwa mtu asiye kufaham kabisa anaweza akajua wewe ni mtu wa level gani kwa uwezo wa kufikiri.Kwanza kabisa kwenye red hapo,
Kijana nilini umewahi itumia ID hii,????Ukishajibu nitakuja na makombora sasa.
Pili inaonesha ni namna gani mm na wewe tunafahamiana kwenye mambo ya siasa,Nakujua nje ndani kijana ndio maana sikrupuki kabisa ninachokiongea.
Unajua wazi uwezowakuthibitisha hili la WEWE KUTAKA KUMUUA ZITTO kama ulivotuma na DR.SLAA ninaweza kwa maandishi ka ma hivi,sina video.Lakini kwa sababu huu ndio ukweli halisi wala usikane kijana.
Wewe ni mafia,Muuaji na umekuwa ukitumika sana kwenye hizi shughuli za kutengeneza mazingira ya viongozi mbalimbali kuharibiana na watu flani flani.
Unafanya kazi nje na na ndani ya CHADEMA,Huko CCM unatumika sana kama ulivyotumika kuharibu uchaguzi wa CCM pale KAWE.
Lakini mungu ni mwema lengo lako na adhima yenu ya kumuua zitto ilikwamba baada ya kukufumania ukiwa na sumu pale LUNCH TIME HOTEL opposite na MABIBO HOSTEL.
Ulipiga magoti tsfichue haya mambo na ukakili utakuwa silent na hautorudia tena.LAKINI KWA SABABU UMEAMUA KUREJEA TENA KWA KUTEMBEA NA RECORDING MASHINE kwenye vikao na kwenye mijadala mbalimbali unavyotuma na DR.SLAA naamua kukuumbua.
MBINU ZOTE ZA KIJASUSI ULIZONISIMULIA ulivyokuwa INDIA hadi unatoroka kwanye mikono YA POLISI WA INTERPOL nitaziweka hapa.
BEN SAANANE WEWE NAKUFAHAMU SANA
Mkiti wa tume awe Habib Mchange.Makamu Mkiti awe Juliana Shonza na Katibu wa Kamati awe Mtela Mwampamba.Hiyo ndiyo tume huru.
Sorry WanaJF naomba nitoke nje ya mada kidogo
-Njoo utoe uthibitisho wa haya unayoandika hapa.Kwa nini nisikamatwe? Acheni huu upuuzi mnaofanya mkidhani mnanichafua mimi.Kama mnataka kuwa upande wa mabadiliko tujenge CHADEMA na muache hizo hujuma kwa CHADEMA na viongozi wake kwa ufadhili wa watu nje ya chama ambao mimi na wewe tunaujua vizuri
Hofu yako ya uchaguzi itakupeleka pabaya hadi sasa unaanza kuzua mambo ya kutunga kwa kuchafua wengine.Njoo hapa uthibitishe
Kwa Taarifa yako Sichafuki na mipango yenu miovu haitanizuia.Ni vijana ndani ya Chadema pekee kwa sanduku la kura wenye uwezo wa kunizuia na si hicho kikundi chenu kidogo tena ambacho nimekifundisha kutumia mitandao
Katika hii game bado nitakuawa Mwalimu wenu.Alliance yenu ni sawa na Muungano wa Farasi dhaifu ambao hawezi kumshinda farasi mmoja mwenye kasi na mbio
Mimi natumia ID real hapa ingawa wewe umejificha kwa hii ID ambayo mimi na wewe tulishaifanyia kazi.Kwa Taarifa yako almost kila Mwana JF anakujua wewe ni nani.
Hamtaniweza kunimaliza kwa kunichafua.Mtaishia kushangilia mnaposikia Ben Saanane amepata ajali tu basi.Endeleeni kuomba nguvu na sapoti hata nje ya chama kwa yule mbunge wa singida.Naona mmeingizwa kwenye sekretarieti ya CCM indirectly kwa mshirika wenu kuteuliwa kuwa naibu katibu mkuu huko CCM
Si mlisema mtafanya press nikawaambia go ahead?Si mlinitisha mtanishughulikia kwa kuwaambia ukweli?Mbona mnazidi kuchelewa?
Back to the Topic:Nimeshakuuliza hapo juu ni nani aliyekuambia miongozo na kanuni za uchaguzi CHADEMA ni rigid?
-Katika uchaguzi ndani ya chama cha siasa kinachohitajika ni flexible democratic process
Acha matusi yaani Zitto ni bright duh basi nchi imekwishahawa vijana mnaowasema kwamba ni vijana wanaomuunga mkono rais ajae tzzk 2015 inaonyesha wanawanyima sana usingizi huko chadema maana sijawahi kusoma post sijakuta hamjawataja.
na mwisho wa siku nimekuja kugundua kwamba wana akili nyingi na wanajitambua maana hata waswahili wanasema mtoto wa nyoka ni nyoka hivyo ukiwa mfuasi wa bright person in tanzania like zitto it is ovious u become bright also and not kilaza .
Asante sana mkuu kwa kutambua hiloKama Katiba ya NCHI imeweka kikomo cha mtu kuwa Rais, sioni ubaya wowote kwa sheria kama hii kuwekwa kwenye katiba za vyama mbalimbali vya siasa ili viongozi wake wakuu nao wawe na kikomo cha kuwa wenyeviti, makatibu wakuu, wajumbe. Katiba ya nchi ndio sheria mama.
Vinginevyo sioni ni lini mtu kama Mzee John Momose Cheyo wa UDP, "Dr" Augustine Lyatonga Mrema wa TLP wataacha kuwa wenyeviti wa vyama hivi. Kuna dhana pia inajengeka taratibu ndani ya CHADEMA ya sasa juu ya Mbowe na Dr Slaa kwamba hawana mbadala.
Dr Kiiza Besigye aliyetolewa mfano na Tuntemeke kaacha tu UONGOZI wa FDC, lakini hajazuiwa kugombea urais wa Uganda kupitia chama hicho. Sio vibaya kama akina Mbowe na Dr Slaa nao wakalifikiria hili. Huenda likaisaidia CHADEMA kuonekana ni ya KITAIFA zaidi.
Mjinga wa mtandao nini wewe ,au umeehuka siku hizi kwa kutoa pumba hoja ziletazwo kwenye JF zinajadiliwa na kila mwana JF kama hutaki atajwe huyu Zitto peleka hoja zake mkajadili na mkeo au girlfriend wako au kwa mamayo ikiletwa hapa manake wana forum wajadilijitathimini kama unahaki ya kutaja neno ZITTO
hivi Tumtemeke hujajistukia tu kuwa watu wameshajua malengo yako na kwa nn unaiandama chadema kila uchao?acha kuendelea kujidhalilisha hapa JF
Taratibu,Mjinga wa mtandao nini wewe ,au umeehuka siku hizi kwa kutoa pumba hoja ziletazwo kwenye JF zinajadiliwa na kila mwana JF kama hutaki atajwe huyu Zitto peleka hoja zake mkajadili na mkeo au girlfriend wako au kwa mamayo ikiletwa hapa manake wana forum wajadili
Watu wanaweza kuwa hawalioni hili. Mbowe na Dr Slaa ndani ya CHADEMA wanataka kuwa kama Prof Lipumba na Maalim Seif ndani ya CUF. CHADEMA tunayoifahamu haikuwa hivo. Wamekuwepo wenyeviti na makatibu wakuu wa CHADEMA wakaondoka na chama kikazidi kuwa imara zaidi.Asante sana mkuu kwa kutambua hilo