Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Taratibu,
CHADEMA ni chama cha amani na cha kidemokrasia mkuu.Hivi inakuwaje chama kinakuwa na mfumo huu wauchaguzi?
unajua FDC ni chama mfano kama chadema lakini wenzetu wapo mbali sana kwenye chaguzi
Waambie wanachadema wenzako kama unataka wacopy na kupaste habari za FDC as if hawana mikakati yao hii ni juu yenu lakini tunachosema ukitoa mawazo kama hayo usiattack personalities unaoneka hujaiva
 
Waambie wanachadema wenzako kama unataka wacopy na kupaste habari za FDC as if hawana mikakati yao hii ni juu yenu lakini tunachosema ukitoa mawazo kama hayo usiattack personalities unaoneka hujaiva
Nani nimemuaatack kwenye hii post yangu kamanda?
 
Kwa vile ndiye anayekupa kula yako kuleta utumbo hapa asitajwe? Who is Zitto by the way?
Hakika Mtela,Shonza na Mchange mmeamua.
Unajifariji,Yawezekana kaabisa huyo zitto hajui hata hao unaowataja hapa.
Swali lako la WHO IS ZITTO BY THE WAY..Majibu yapo kwenye daily ya baba yako mdogo
 
Nani nimemuaatack kwenye hii post yangu kamanda?

Umeenza na mwenyekiti wako ,ukaja na katibu wako mkuu ukaja na wana bavicha wenzako akina Ben sasa ndio sisi wasomaji munapotuchanganya hatujui kama unataka kuboresha au unachafua kwa vile una visa na baadhi yao
 
Unajifariji,Yawezekana kaabisa huyo zitto hajui hata hao unaowataja hapa.
Swali lako la WHO IS ZITTO BY THE WAY..Majibu yapo kwenye daily ya baba yako mdogo

Hakika wewe huna tofauti na bundi.Nimeamini Mtela,Shonza na Mchange bado mna safari ndefu sana.Vipi kile chama chenu cha CHAUMA kimeshasajiliwa?
 
Umeenza na mwenyekiti wako ,ukaja na katibu wako mkuu ukaja na wana bavicha wenzako akina Ben sasa ndio sisi wasomaji munapotuchanganya hatujui kama unataka kuboresha au unachafua kwa vile una visa na baadhi yao
Unaweza kuniambia ni wapi nimemtaja mwenyekiti???
Dr.slaa nimemtaja kwenye kwa kutumia cheo chake katibu mkuu wa chama ni msimamizi wa uchaguizi.

BAVICHA?/?Hakuna neno bavicha katika sentesi zangu.
BEN SAANANE NIMEMUATTACK KWA SBABU AMENIATTACK
 
Umeenza na mwenyekiti wako ,ukaja na katibu wako mkuu ukaja na wana bavicha wenzako akina Ben sasa ndio sisi wasomaji munapotuchanganya hatujui kama unataka kuboresha au unachafua kwa vile una visa na baadhi yao,Kiufupi umepoteza credibility uliyoanza nayo mwanzoni mwa mwa huu ,wakati wengi wetu tuliona unamantiki na uyasemayo kwa sasa tunaona una personal vendetta kuna watu umewaweka kwenye list kuwachafua lakini kumbuka JF ni ya magreat thinkers wanaanalyse na kuja na majibu stahiki,huna nia njema na mabadiliko kwenye nchi hii
 
kwani CCM ndio imeandikiwa kukaa ikulu milele?
mnadhani kwa kuiba kura hatagunduliwa
this time 2015 mtakiona cha mtema kuni
ibeni muone mtakosa pa kukimbilia
ni ujinga kuwaza chama kuwa na hati miliki ikulu
KANU iikshasahaulika why not CCM?

Chadema wataingia Ikulu ya wapi acha kujidanganya wewe.
 
Hakuna asiefaham ya kwamba ccm ishakufa na inasubiri tuh kuzikwa,hakuna asiefaham hilo,,

doing popular politics will not help them anymore to acquire popular support..
 
Zungumzia pia Swala la JK au Rais wa Nchi hii alivyo na madaraka makubwa tume ya taifa ya Uchaguzi. Haya Yote huyaoni bali ya Chadema tu. Aacha Umamruki wa kisiasa!!!
 
zungumzia pia swala la jk au rais wa nchi hii alivyo na madaraka makubwa tume ya taifa ya uchaguzi. Haya yote huyaoni bali ya chadema tu. Aacha umamruki wa kisiasa!!!
wazo lako nimelipenda
japo mwishoni umeharibu,chadema kwani hairuhusiwi kuchambuliwa??/ccm mbona tunashinda humo kila siku???
 
Amegilizia makala ya johnson mbwambo ya raia mwema toleo liliopita, hana hoja zaidi ya unafiki, je lipumba alishandana vipi kuupata uenyekiti wa CUF , majungu yatawamaliza baadhi ya vijana wa kitanzania ambao wamenyimwa fursa za kuwa wezi na mafisadi.
kumbe wezi wanafanya kupewa fursa ee!
 
Hakuna asiefaham ya kwamba ccm ishakufa na inasubiri tuh kuzikwa,hakuna asiefaham hilo,,

doing popular politics will not help them anymore to acquire popular support..
Ni kweli sana. Lakini hata CHADEMA itakufa iking'ang'ania watu walewale miaka nenda rudi. CUF inakufa kwa sababu hiyohiyo ya kumng'ang'ania Lipumba na Maalim Seif. Hamad Rashid alipojaribu kuchokonoa kidogo tu akatupwa mbali sana.
 
Tuntemeke never compare Uganda politics with Tanzania hatutaki copy and paste hapa these things operates in different atmosphere bwana.
 
Zungumzia pia Swala la JK au Rais wa Nchi hii alivyo na madaraka makubwa tume ya taifa ya Uchaguzi. Haya Yote huyaoni bali ya Chadema tu. Aacha Umamruki wa kisiasa!!!
ajab sana! yaani mfano mtu akizungumzia kuwa wizi mbaya,na wewe ukaibuka na kusema mbona unakemea maradhi,wewe badala ya kumuunga mkono unamwambia wewe mbona wakeme maradhi tu ujinga huuoni?lahasha! unatakiwa kwanza ukubaliane naye kisha umwambie na ujinga nalo ni tatozo kama yalivo maradhi n.k
 
Back
Top Bottom