.... wewe umejificha kwa hii ID ambayo mimi na wewe tulishaifanyia kazi.Kwa Taarifa yako ...
Kwanza kabisa kwenye red hapo,
Kijana nilini umewahi itumia ID hii,????Ukishajibu nitakuja na makombora sasa.
Pili inaonesha ni namna gani mm na wewe tunafahamiana kwenye mambo ya siasa,Nakujua nje ndani kijana ndio maana sikrupuki kabisa ninachokiongea.
Unajua wazi uwezowakuthibitisha hili la WEWE KUTAKA KUMUUA ZITTO kama ulivotuma na DR.SLAA ninaweza kwa maandishi ka ma hivi,sina video.Lakini kwa sababu huu ndio ukweli halisi wala usikane kijana.
Wewe ni mafia,Muuaji na umekuwa ukitumika sana kwenye hizi shughuli za kutengeneza mazingira ya viongozi mbalimbali kuharibiana na watu flani flani.
Unafanya kazi nje na na ndani ya CHADEMA,Huko CCM unatumika sana kama ulivyotumika kuharibu uchaguzi wa CCM pale KAWE.
Lakini mungu ni mwema lengo lako na adhima yenu ya kumuua zitto ilikwamba baada ya kukufumania ukiwa na sumu pale LUNCH TIME HOTEL opposite na MABIBO HOSTEL.
Ulipiga magoti tsfichue haya mambo na ukakili utakuwa silent na hautorudia tena.LAKINI KWA SABABU UMEAMUA KUREJEA TENA KWA KUTEMBEA NA RECORDING MASHINE kwenye vikao na kwenye mijadala mbalimbali unavyotuma na DR.SLAA naamua kukuumbua.
MBINU ZOTE ZA KIJASUSI ULIZONISIMULIA ulivyokuwa INDIA hadi unatoroka kwanye mikono YA POLISI WA INTERPOL nitaziweka hapa.
BEN SAANANE WEWE NAKUFAHAMU SANA