Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Demokrasia na Maendeleo ndani ya CHADEMA

Ficha upumbavu wako,Unajitahidi kuvuruga hoja lakini ngoma ya watoto haikeshi.
Swali ni kwamba kama CHADEMA kunanafasi ya kuund atume huru ya kusimamia chama kama ilivyo FDC huko Uganda.Hii itaondoa chokochoko zozote kama zile za 2009 za kukata majina ya watu.

Mpumbavu ni wewe mwenyewe tena uishie hapo hapo.Mimi nimetoa mapendekezo yangu ya kuunda tume huru yaani Mkiti awe Habib Mchange,makamu mkiti awe Juliana Shonza na Katibu awe Mtela Mwampamba.
Hilo ndiyo pendekezo langu.Ukijifanya kunitukana nakupa za uso tu.
 
Umejitaidi kuandika maneno mengi na ulinijaribu niaminin kuna hoja ya maana umeandika ila nilipofika kwenye hiyo democrasia unayosema sijaona hoja yako.... kwani hata kama ni kweli mgombea kuchukua form kwa katibu ndiyo hakuna democrasia? Katibu ndiye mtendaji wa shughuli zote ziwe za chama, kikundi, taasisi au jumuhiya na ndio maana unaona ccm kila mara wamejaribu kuwaengua makatibu kwa kushindwa kutekeleza majukumu ya chama mfano. makamba na mukama walifumikwa sama na dr slaa ndo maana wakawekwa pembeni... ila najuwa kinachokuchanganya ni kwa vile aligombea urais. unapaswa kujuwa majukumu ya katibu kwanza
 
Hahaha... the same old story from the same old person.
Ongeza bidii mkuu mwisho wa kazi yako utajipatia ujira uliotukuka.
 
Ni lazima utakuwa umetumwa tuu. mbona uchaguzi wa chama bado ss kiherehere cha ko cha nini.
 
-Acha kupotosha watu hapa.Ni nani alikuambia kanuni na muongozo wa uchaguzi ndani ya CHADEMA ni rigid namna hiyo?

-Kinachotakiwa katika ukuzaji wa demokrasia ni flexibility katika democratic process.

NB:Kwenye harakati za FDC ulizofanyia comparison na za CHADEMA hebu nieleze ni harakati gani zimefanikiwa kwa kuikaribia CHADEMA?
Besigye ni Mwanasiasa mzuri ila amekua tu akibadili majina ya harakati zake kisiasa kama A4C,Walk to Work(W2W) na mengineyo mengi

Furaha yangu nikuona JF inashuhudia namna unavyotumika kuharibu mada zinazokihusu chama tena za ukweli.Una kopi na kupaste
Mods nadhani wanaliona hili,kama huna cha kuchangi kaa pembeni.Sio huu upuuzi unaoufanya wa kujibu jibu moja sehemu mbalimbali.
Umeanza kuchoka sana,Pole sana sikutegemea kama ungefikia hatua hii
 
Yes nakubali sio RIGId.
Je ni lini zilibadilishwa?/AU kanuni hizo ni automatic???
HARAKATI ZA CHADEMA kwanza kabisa bado hatujazifikia hata zile za NCCR za mrema.FDC adhani wamefika mbali zaidi kwa kushawishi watu,Ni lini CHADEMA ilishawishi watu wasiingie maofisini ili serikali isikie maombi yao??
CHADEMA ndio kwanza tunainuka,Kiiza ni jeshi la mtu mmoja asingekuwa Mseven mbabe serikali yake ingekuwa chini siku nyingi.

ONYO:Naona uwezo wako wa kufikiria umeanza kuzorota sijajua ni kwanini.

Huna uwezo wa kujilinganisha na kichwa Ben Saanane wewe.Wewe ni sawa na sisimizi na Ben ni sawa na Tembo.Ficha aibu yako.
 
Furaha yangu nikuona JF inashuhudia namna unavyotumika kuharibu mada zinazokihusu chama tena za ukweli.Una kopi na kupaste
Mods nadhani wanaliona hili,kama huna cha kuchangi kaa pembeni.Sio huu upuuzi unaoufanya wa kujibu jibu moja sehemu mbalimbali.
Umeanza kuchoka sana,Pole sana sikutegemea kama ungefikia hatua hii

Ben ni Mlima Kilimanjaro na wewe Kibaraka ni kichuguu
 
Huna uwezo wa kujilinganisha na kichwa Ben Saanane wewe.Wewe ni sawa na sisimizi na Ben ni sawa na Tembo.Ficha aibu yako.
Utamlinganisha vipi huyu mwehu na Ben? Ben ni Asset ya Chadema na yuko hapa kama verified user na siyo huyu kibwengo aliyejificha nyuma ya keyboard na shadow user name.
 
Yes nakubali sio RIGId.
Je ni lini zilibadilishwa?/AU kanuni hizo ni automatic???
HARAKATI ZA CHADEMA kwanza kabisa bado hatujazifikia hata zile za NCCR za mrema.FDC adhani wamefika mbali zaidi kwa kushawishi watu,Ni lini CHADEMA ilishawishi watu wasiingie maofisini ili serikali isikie maombi yao??
CHADEMA ndio kwanza tunainuka,Kiiza ni jeshi la mtu mmoja asingekuwa Mseven mbabe serikali yake ingekuwa chini siku nyingi.

ONYO:Naona uwezo wako wa kufikiria umeanza kuzorota sijajua ni kwanini.

Acha mjinga wako kaka unataka kusema nao Chadema waige kuwashawishi watu wasiende makazini ndiyo uione ipo juu? au operation zote zilizofanywa na Chadema zimefanywa na vyama vingine kama FDC?, kila chama kina strategy zake za kupambana na Chama kilichopo madarakani vinginevyo vyama vya upinzani vyoote vingekuwa vinafanana na kusengikuwa na jipya kutoka katika vyama vya upinzani, hebu tuondolee frustration zako hapa tatizo lako uliingia Chadema ulijiwekea malengo binafsi ya juu sana.
 
Utamlinganisha vipi huyu mwehu na Ben? Ben ni Asset ya Chadema na yuko hapa kama verified user na siyo huyu kibwengo aliyejificha nyuma ya keyboard na shadow user name.

Mkuu Matola
Hata mimi nimeshangaa.Eti kichaa anajilinganisha na Ben Saanane.Ben akichangia hoja unajua Asset ya chama inazungumza.Lakini huyo kichaa akichangia hoja unajua wazi mtu katoroka mirembe.
 
Acha mjinga wako kaka unataka kusema nao Chadema waige kuwashawishi watu wasiende makazini ndiyo uione ipo juu? au operation zote zilizofanywa na Chadema zimefanywa na vyama vingine kama FDC?, kila chama kina strategy zake za kupambana na Chama kilichopo madarakani vinginevyo vyama vya upinzani vyoote vingekuwa vinafanana na kusengikuwa na jipya kutoka katika vyama vya upinzani, hebu tuondolee frustration zako hapa tatizo lako uliingia Chadema ulijiwekea malengo binafsi ya juu sana.

Hawa wahuni si ndiyo walisema hawaitambui M4C eti kisa imeasisiwa na Mbowe?
 
Tatz lako kubwa Tuntemenke hoja zako zote huwa zipo against CHADEMA, hii inaonesha huna nia nzuri na chama hiki zaidi ya kutaka kuharibia wote ili cku moja nawewe ucheke, CDM haiwez kwenda km FDC kama ww unavotaka, ni vyama tofauti toka nchi tofauti vyenye historia tofauti,.
Lakini ukae ukijua ipo siku haya ma utumbo yako yatakuacha uchi, ni aibu kubwa kwa mwanaume kuwa mnafiki na mbea, siku zote asiye kubal kushindwa co mshindani, hizi chokochoko zako watu wameshazing'amua ndo mana kila mtu anakuona kama masaburi.
 
Mkuu Matola
Hata mimi nimeshangaa.Eti kichaa anajilinganisha na Ben Saanane.Ben akichangia hoja unajua Asset ya chama inazungumza.Lakini huyo kichaa akichangia hoja unajua wazi mtu katoroka mirembe.

Molemo
Thankyou for this useful post.
 

Ben Saanane
Wewe ndiye maarufu wa kucopy na kupaste
MBONA ULICOPY NA KUPASTE MBINU ZA DEUS MALLYA ALIVYOMUUA CHACHA WANGWE
WEWE UNATEMBEA NA SUMU(UMEIFUNGA KWENYE MFUKO MDOGO) YA KUMUUA ZITTO KAMA ULIVYOTUMA NA HAO WAKUBWA WAKO.
SIPENDI NIENDELEE KUKWAZIKA KWA MATENDO YAKO MAOVU,NINA SIRI ZAKO NYINGI SANA HAPA ZA KIMAFIA KWA VIONGOZI.
Plz stop,Umeshindwa kumuua Zitto na unaogopa hata kuonana naye.Jiheshimu.

swali kwako Je mfumo wa uchaguzi ndani ya CHADEMA niwakidemokrasia??Yaani umuhimu wa kuwa na tume huru ya uchaguzi hatuuoni???
Jadili hoja,​

Sorry WanaJF naomba nitoke nje ya mada kidogo

-Njoo utoe uthibitisho wa haya unayoandika hapa.Kwa nini nisikamatwe? Acheni huu upuuzi mnaofanya mkidhani mnanichafua mimi.Kama mnataka kuwa upande wa mabadiliko tujenge CHADEMA na muache hizo hujuma kwa CHADEMA na viongozi wake kwa ufadhili wa watu nje ya chama ambao mimi na wewe tunaujua vizuri

Hofu yako ya uchaguzi itakupeleka pabaya hadi sasa unaanza kuzua mambo ya kutunga kwa kuchafua wengine.Njoo hapa uthibitishe

Kwa Taarifa yako Sichafuki na mipango yenu miovu haitanizuia.Ni vijana ndani ya Chadema pekee kwa sanduku la kura wenye uwezo wa kunizuia na si hicho kikundi chenu kidogo tena ambacho nimekifundisha kutumia mitandao

Katika hii game bado nitakuawa Mwalimu wenu.Alliance yenu ni sawa na Muungano wa Farasi dhaifu ambao hawezi kumshinda farasi mmoja mwenye kasi na mbio

Mimi natumia ID real hapa ingawa wewe umejificha kwa hii ID ambayo mimi na wewe tulishaifanyia kazi.Kwa Taarifa yako almost kila Mwana JF anakujua wewe ni nani.

Hamtaniweza kunimaliza kwa kunichafua.Mtaishia kushangilia mnaposikia Ben Saanane amepata ajali tu basi.Endeleeni kuomba nguvu na sapoti hata nje ya chama kwa yule mbunge wa singida.Naona mmeingizwa kwenye sekretarieti ya CCM indirectly kwa mshirika wenu kuteuliwa kuwa naibu katibu mkuu huko CCM

Si mlisema mtafanya press nikawaambia go ahead?Si mlinitisha mtanishughulikia kwa kuwaambia ukweli?Mbona mnazidi kuchelewa?

Back to the Topic:Nimeshakuuliza hapo juu ni nani aliyekuambia miongozo na kanuni za uchaguzi CHADEMA ni rigid?

-Katika uchaguzi ndani ya chama cha siasa kinachohitajika ni flexible democratic process
 
Tatz lako kubwa Tuntemenke hoja zako zote huwa zipo against CHADEMA, hii inaonesha huna nia nzuri na chama hiki zaidi ya kutaka kuharibia wote ili cku moja nawewe ucheke, CDM haiwez kwenda km FDC kama ww unavotaka, ni vyama tofauti toka nchi tofauti vyenye historia tofauti,.
Lakini ukae ukijua ipo siku haya ma utumbo yako yatakuacha uchi, ni aibu kubwa kwa mwanaume kuwa mnafiki na mbea, siku zote asiye kubal kushindwa co mshindani, hizi chokochoko zako watu wameshazing'amua ndo mana kila mtu anakuona kama masaburi.

Mkuu na ndiyo maana nimemwambia wazi kwamba tumependekeza majina 3 ya viongozi wa tume huru ambao ni Habib Mchange,Mtela Mwampamba na Juliana Shonza.
 

Ben Saanane
Wewe ndiye maarufu wa kucopy na kupaste
MBONA ULICOPY NA KUPASTE MBINU ZA DEUS MALLYA ALIVYOMUUA CHACHA WANGWE
WEWE UNATEMBEA NA SUMU(UMEIFUNGA KWENYE MFUKO MDOGO) YA KUMUUA ZITTO KAMA ULIVYOTUMA NA HAO WAKUBWA WAKO.
SIPENDI NIENDELEE KUKWAZIKA KWA MATENDO YAKO MAOVU,NINA SIRI ZAKO NYINGI SANA HAPA ZA KIMAFIA KWA VIONGOZI.
Plz stop,Umeshindwa kumuua Zitto na unaogopa hata kuonana naye.Jiheshimu.

swali kwako Je mfumo wa uchaguzi ndani ya CHADEMA niwakidemokrasia??Yaani umuhimu wa kuwa na tume huru ya uchaguzi hatuuoni???
Jadili hoja,​

Sorry WanaJF naomba nitoke nje ya mada kidogo

-Njoo utoe uthibitisho wa haya unayoandika hapa.Kwa nini nisikamatwe? Acheni huu upuuzi mnaofanya mkidhani mnanichafua mimi.Kama mnataka kuwa upande wa mabadiliko tujenge CHADEMA na muache hizo hujuma kwa CHADEMA na viongozi wake kwa ufadhili wa watu nje ya chama ambao mimi na wewe tunaujua vizuri

Hofu yako ya uchaguzi itakupeleka pabaya hadi sasa unaanza kuzua mambo ya kutunga kwa kuchafua wengine.Njoo hapa uthibitishe

Kwa Taarifa yako Sichafuki na mipango yenu miovu haitanizuia.Ni vijana ndani ya Chadema pekee kwa sanduku la kura wenye uwezo wa kunizuia na si hicho kikundi chenu kidogo tena ambacho nimekifundisha kutumia mitandao

Katika hii game bado nitakuawa Mwalimu wenu.Alliance yenu ni sawa na Muungano wa Farasi dhaifu ambao hawezi kumshinda farasi mmoja mwenye kasi na mbio

Mimi natumia ID real hapa ingawa wewe umejificha kwa hii ID ambayo mimi na wewe tulishaifanyia kazi.Kwa Taarifa yako almost kila Mwana JF anakujua wewe ni nani.

Hamtaniweza kunimaliza kwa kunichafua.Mtaishia kushangilia mnaposikia Ben Saanane amepata ajali tu basi.Endeleeni kuomba nguvu na sapoti hata nje ya chama kwa yule mbunge wa singida.Naona mmeingizwa kwenye sekretarieti ya CCM indirectly kwa mshirika wenu kuteuliwa kuwa naibu katibu mkuu huko CCM

Back to the Topic:Nimeshakuuliza hapo juu ni nani aliyekuambia miongozo na kanuni za uchaguzi CHADEMA ni rigid?

-Katika uchaguzi ndani ya chama cha siasa kinachohitajika ni flexible democratic process
 
.... wewe umejificha kwa hii ID ambayo mimi na wewe tulishaifanyia kazi.Kwa Taarifa yako ...

Kwanza kabisa kwenye red hapo,
Kijana nilini umewahi itumia ID hii,????Ukishajibu nitakuja na makombora sasa.
Pili inaonesha ni namna gani mm na wewe tunafahamiana kwenye mambo ya siasa,Nakujua nje ndani kijana ndio maana sikrupuki kabisa ninachokiongea.
Unajua wazi uwezowakuthibitisha hili la WEWE KUTAKA KUMUUA ZITTO kama ulivotuma na DR.SLAA ninaweza kwa maandishi ka ma hivi,sina video.Lakini kwa sababu huu ndio ukweli halisi wala usikane kijana.
Wewe ni mafia,Muuaji na umekuwa ukitumika sana kwenye hizi shughuli za kutengeneza mazingira ya viongozi mbalimbali kuharibiana na watu flani flani.
Unafanya kazi nje na na ndani ya CHADEMA,Huko CCM unatumika sana kama ulivyotumika kuharibu uchaguzi wa CCM pale KAWE.
Lakini mungu ni mwema lengo lako na adhima yenu ya kumuua zitto ilikwamba baada ya kukufumania ukiwa na sumu pale LUNCH TIME HOTEL opposite na MABIBO HOSTEL.
Ulipiga magoti tsfichue haya mambo na ukakili utakuwa silent na hautorudia tena.LAKINI KWA SABABU UMEAMUA KUREJEA TENA KWA KUTEMBEA NA RECORDING MASHINE kwenye vikao na kwenye mijadala mbalimbali unavyotuma na DR.SLAA naamua kukuumbua.
MBINU ZOTE ZA KIJASUSI ULIZONISIMULIA ulivyokuwa INDIA hadi unatoroka kwanye mikono YA POLISI WA INTERPOL nitaziweka hapa.
BEN SAANANE WEWE NAKUFAHAMU SANA
 
Furaha yangu nikuona JF inashuhudia namna unavyotumika kuharibu mada zinazokihusu chama tena za ukweli.Una kopi na kupaste
Mods nadhani wanaliona hili,kama huna cha kuchangi kaa pembeni.Sio huu upuuzi unaoufanya wa kujibu jibu moja sehemu mbalimbali.
Umeanza kuchoka sana,Pole sana sikutegemea kama ungefikia hatua hii

-Nimeanza kuchoka?Ni kweli nimechoka kuvumilia harakati za usaliti wa vijana.kama ninyi katika mabadiliko.Na mnajua nilianza kuchoka tangu nilipowapinga juu ya harakati zenu za kuivuruga CHADEMA

-Nimechangia hii topic mnalalamika kwamba navuruga mjadala unaoihusu CHADEMA.Najua phobia mliyo nayo juu yangu dhidi ya malengo yenu ambayo nayajua 100%

Sasa hebu tujadili juu ya hii mada kuliko kuingia personal vendatta unnecesarily.Hayo mambo mengine tuyaache yatamalizwa nje ya JF ingawa sina suluhu na Traitors .Msimamo wangu wa CHADEMA kama taasisi imara uko pale pale,Suala lenu la kushabikia watu nawaachia

Msitarajie compromise yoyote na mimi huko nje.I'll not compromise with traitors

Be warned!
 
No research no right to speak, Tukianza na TANU/CCM iliyoanza toka uhuru wa nchii, Wenyeviti;

CCM 1977-2012
1. J.K.Nyerere
2. Ali Mwinyi
3. B. Mkapa
4. Kikwete

CHADEMA 1990's - 2012:-
1. Mtei
2. Makani
3. Mbowe
CUF 1990's - 2012
1. prof. Haruna Lipumba

Miaka hamsini ya uhuru CCM imekuwa na wenyeviti wanne (4) tuu. toka kuasisi wa kwa mfumo wa vyama vingi nchini CHADEMA imekuwa na Wenyeviti watatu (3) tu. kwa muktadha huu maandiko yako yote yaliyopita na yajayo msingi wake mkuu ni kuibomoa CHADEMA kwa maslahi ya wachache wenye kuendelea kuitafuna Tanzania iliyojaaliwa Rasilimali za kila aina kutoka kwa mwenyezi Mungu...
 
Back
Top Bottom