Furaha yangu nikuona JF inashuhudia namna unavyotumika kuharibu mada zinazokihusu chama tena za ukweli.Una kopi na kupaste Mods nadhani wanaliona hili,kama huna cha kuchangi kaa pembeni.Sio huu upuuzi unaoufanya wa kujibu jibu moja sehemu mbalimbali. Umeanza kuchoka sana,Pole sana sikutegemea kama ungefikia hatua hii
TUNTEMENKE
Mimi ni Mwanajf nadeclare interest zangu kuwa MWANAUTAIFA, sina interest za kichama.nimesoma thread na kufuatilia michango ya wanajf ndnai ya thread yako nimejifunza jambo na kuona baadhi ya mambo ya msingi juu ya yako wewe dhidi ya chama cha CDM.yafuatayo kwenye RED colour yamenivuta kukuona wewe katika mfano wa aina ya mtu ambae kawa mwathirika wa interest zake kushindwa kufika malengo talajiwa hivyo kugeuka mwiba dhidi ya institution husika.
Hoja yako iko kwenye ujenzi kueneza ubomoaji na kukomoa zaidi kuliko madai yako ya kujenga zaidi institution husika. vigezo vyangu kwako ni kama hivi:
1: Yaonekana dhahili kuwa wewe ni Mwanacdm au ullipata kuwa mwanacdm [Zingatia matumizi ya maneno kama Furaha yangu, unavyotumika, umeanza kuchoka sana na sikutegemea kama ungefikia hatua hii] matamshi hayo kwa wenye ufahamu ni impression kuwa uko familiar zaidi na Ben kiasi kuwa unamfahamu sana na kwa kuwa Ben ni verified member hapa JF basi wewe kwangu nakutizama katika jicho la mask mpaka hapo.
2: Uliyoyazungumzia kuhusu demokrasia nimeona umepoint zaidi CDM, wakati kile ambacho wewe unakiona kama ni weakness ya CDM,lakini kwa watu makini wanaona ulichokizungumia ni tatizo lililo kwenye vyama vingi vya siasa Tanzania,na kwa uzungumzaji wako walio wengi wamekuonyesha CDM ina aueni kulinganisha na baadhi ya baadhi ya vyama ambavyo wewe ukuvizungumzia, hivyo kwa kuwa umelenga CDM basi dhahili UNAINTEREST nao.Ungeneralize kuhus vyama thread hii ingeleta maana njema hivyo kuwapa wachangiaji mlengo mpana wenye nia ya kujenga na sio kuibua accusation kama picha ulioijenga.
3: Binafsi nikikumbuka na thread iliyopata kupita uko nyuma na tuhuma zilizopata kupita huko nyuma pia,dhidi yako juu ya CDM naona hauko katika kujenga bali kuibua aina fulani ya viashilia vya PERSONAL INTEREST kuliko umakini wa UJENZI wa fikra POSITIVE katika kujenga au NEGATIVE kama CRITISM zenye nia ya kuweka mambo yasio sawa kuwa kwenye reli sahihi.
4: Mwisho unajina zuri sana ambalo wengine sie tuliskia simulizi zake na kukubali kuwa mwenye jina halis nae kaacha HISTOLIA njema yenye kuibua fikra zenye kutaka kujua udadisi wa mwenyejina.Lakini wewe humu ndani ya JF ulitendei haki kabisa na kwa mchango wako ufanani na msimamo wa mwenye jina. kama alivyosema mmoja wa wanajf tena akiienda mbali sana kusema ni jina la babu yake.Udadisi wangu kwa jina TUTEMENKE yaonekana alikuwa CRITIC sometimes kwa wenye udadisi kuwa CRITIC kwa zuri ni jema kujenga.Lakini sio kuwa CRITIC baada ya kuwa intrest zako zimekwama ndio unageuka kuwa CRITIC hapo sio ilo tena ni UGONJWA.
Nilisikia story za TUTEMENKE aliludi nchini baada ya elimu yake USA,mwalimu akamuita IKULU kwa nia ya kumpa kazi alitumikie TAIFA lake,maongezi yake na mwalimu baada ya kupewa offer hiyo kuwa apewe kazi gani kama msomi mkubwa by then, jibu ambalo tunaskika kama simulzi ni kuwa alimwambia Mwalimu hakuna kazi zaidi ya hicho kiti alichokikalia Mwalimu yani URAIS wa Mwalimu by then au kwa sasa JK.Hakika jibu lile hata kama ingekuwa mimi ndiye Mwalimu kwa wasomi, waelevu au wenye ufahamu lile ni TUSI KUBWA SANA kwa mtu ambae umeamua kumpa ushiriano. Uamuzi wa mwalimu juu ya TUTEMENKE dhidi yake kumstore village ulikuwa sahihi kwa upande wangu mpaka kesho.