Degree ni Kigezo cha mtu kufanikiwa maisha?

Mr sule

JF-Expert Member
Oct 14, 2021
607
1,097
Kumepekuwepo na mijadali mingi sana kuhusu hili swala, hasa katika nchi zetu za africa mfano Tanzania.

Tanzania mwanachuo anapomaliza chuo na kupata Degree yake basi huwa anahisi maisha ameyamaliza. huwezi kumwambia chochote utasikia mimi nina Degree yangu wewe wa darasa la saba utaniambia nini. jambo hili huwa linasababisha matatizo hasa kwa wale darasa la saba kuhisi kwamba wao bila degree hawawezi chochote. na amani kwamba kuna darasa la saba wengi walikosa kufikia ndoto zao baada ya kukumbana na kauli kama hizi(hawajasoma).

Hivi ni kweli Degree ni kigezo cha mtu kufanikiwa katika maisha au ukisoma ndo kwamba wewe ndo unajua kila ktiu. Maana wana degree wa Tanzania husiwaambie kitu kila kitu anajua kigezo yeye ni msomi na wanapenda sana kuwakosoa darasa la saba,Mf: msukuma, babu tale nk... kisa wao wana degree.

Nchi kama marekani, hawaamini Degree ni kigezo cha kufanikiwa katika maisha, Ndomana huwezi kukutana na hizo kauli za mimi ni msomi nk.., Nimeshafatilia interview nyingi za Wamarekani huwa wanaamini Degree sio kigezo cha wewe kufanikiwa kimaisha, Mf: elon musk, Meter owner, 45th USA president, Warren Buffett Nk..
 
Elimu iliyo bora na ndiyo inahitajika ni mtu kuweza kuishi kwa kuyakabili mazingira yake kwa njia chanya.Hizo zingine ni kuufungua uelewa uijue dunia zaidi.Ukikuta mtu anajisifia elimu kubwa halafu makalioni akijikung'uta vumbi linatimka,ujue huyo ni mapuya tu.Muelekeze na akibisha ondoka zako.
 
Degree sio matako kwamba kila mtu anayo/au anaweza kupata.

Ukiona tu mtu ana degree aliyosotea miaka 3 hadi 4 basi muheshimu.

Ni hayo tu broo.
Usitutishe kwa misemo yako ustaadh!Kama degree kila mtu anayo.Degree Centigrades za joto la mwili nani hana?😂😂😂😂
 
Elimu ni nini?

Kuna aina ngapi za elimu?

Tunaposema Fulani kaelimika huwa tunamaanisha nini?
 
Ni kosa kubwa San la kitaaluma kuizungumzia Tanzania mifano kutoa Marekani. Hao uliowataja hapo wapo katika dunia ya kisasa wamewekeza kwenye TEKNOLOJIA, ukiibeba hii teknoloji kama silaha ukaileta kitanzania inakugomea mchana kweupe.. Hakuna asiejua teknoloji ya KIAFRIKA INA HALI GANI- WEKEZA MULE. kama haiwezekan I kuwekeza mule ukawa tajiri unahitaji degree ile yenye uwezo wa kuskuma teknolojia ile

Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
 
Elimu iliyo bora na ndiyo inahitajika ni mtu kuweza kuishi kwa kuyakabili mazingira yake kwa njia chanya.Hizo zingine ni kuufungua uelewa uijue dunia zaidi.Ukikuta mtu anajisifia elimu kubwa halafu makalioni akijikung'uta vumbi linatimka,ujue huyo ni mapuya tu.Muelekeze na akibisha ondoka zako.

Mkuu hivi una huakika wote walio na Degree wanajua mwenendo wa dunia uko vipi?.

mfano: mimi niliwahi kuwa na mpenzi wangu, alikuwa na degree. lakini nikimuuliza maswala ya Brela, Tra, mk.. halikiwa haelewi chochote.

Unahisi kuwa na Degree ndo kwamba umemaliza dunia?
 
Back
Top Bottom