Mr sule
JF-Expert Member
- Oct 14, 2021
- 607
- 1,097
- Thread starter
- #21
Ni kosa kubwa San la kitaaluma kuizungumzia Tanzania mifano kutoa Marekani. Hao uliowataja hapo wapo katika dunia ya kisasa wamewekeza kwenye TEKNOLOJIA, ukiibeba hii teknoloji kama silaha ukaileta kitanzania inakugomea mchana kweupe.. Hakuna asiejua teknoloji ya KIAFRIKA INA HALI GANI- WEKEZA MULE. kama haiwezekan I kuwekeza mule ukawa tajiri unahitaji degree ile yenye uwezo wa kuskuma teknolojia ile
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Wale ni watu tunaiga kwao, kwaiyo mifano itawahusu waona maana hatuna wengine