kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,992
- 17,892
Kijana kumaliza degree na kuuza mahindi au kazi za umachinga ni kujidhalilisha
Unasoma tokea huko shule ya msingi, sekondari, form 5 na six chuo kikuu unamaliza degree yako halafu unakuja kuwa mchoma mahindi, umachinga, kutembeza vitu, kuchimba mitaro na kazi za sulubu huko ni kujidhalilisha
Hizo ni kazi za kufanya waliokataa kusoma wakaishia la saba au walokomea form 4
Kwasababu ulimaliza la saba au form 4 na ulikua unasoma kwa bidii na kuna wana uliwaacha kitaa wao hawakua na time na shule then eti baada ya miaka mingi ya kusota kielimu unakuja kuwa sawa nao tu tena ajabu wanakuja kukuajiri na unakuta wamekuzidi
Sasa kuna mantiki gani ya elimu?Kama elimu yetu haimkomboi kijana kwanini tungangane nayo
Tulipaswa tuwe na elimu ya vitendo zaidi na stadi za maisha itakayomuandaa mtu akimaliza hata asipoajiriwa awe anajua nini cha kufanya tumekomaa na elimu za theory za what is communication verbal na non verbal sijui gesture sijui ninini
Japo kutegemea kuajiriwa sio jambo zuri lakini inauma mtu asome kwa bidii ajinyime kila kitu wazazi wauze hadi viwanja mashamba na ngombe mtoto aende shule halaf mwishowe wanakuja kuwa sawa na mtoto wa mama Mwajuma ambaye aliishia la saba B tu akaamua kujiingiza mtaani tokea akiwa na 14 years huko
Wasomi wengi wanapata msongo sana, maana huishia kuchekwa mtaani utaishia wanasema "kiko wapi sasa alikua anajifanyaga kusoma kwa bidiii na kupata one kiko wapi sasa?"
Serikali ijifunze kwa kikwete alifanyaje kupunguza tatizo la ajira.....Kwa kua hii mitaala mibovu ya theory ina baraka za serikali basi serikali ihakikishe watu wake wanaajirika na kupata ajira
Unasoma tokea huko shule ya msingi, sekondari, form 5 na six chuo kikuu unamaliza degree yako halafu unakuja kuwa mchoma mahindi, umachinga, kutembeza vitu, kuchimba mitaro na kazi za sulubu huko ni kujidhalilisha
Hizo ni kazi za kufanya waliokataa kusoma wakaishia la saba au walokomea form 4
Kwasababu ulimaliza la saba au form 4 na ulikua unasoma kwa bidii na kuna wana uliwaacha kitaa wao hawakua na time na shule then eti baada ya miaka mingi ya kusota kielimu unakuja kuwa sawa nao tu tena ajabu wanakuja kukuajiri na unakuta wamekuzidi
Sasa kuna mantiki gani ya elimu?Kama elimu yetu haimkomboi kijana kwanini tungangane nayo
Tulipaswa tuwe na elimu ya vitendo zaidi na stadi za maisha itakayomuandaa mtu akimaliza hata asipoajiriwa awe anajua nini cha kufanya tumekomaa na elimu za theory za what is communication verbal na non verbal sijui gesture sijui ninini
Japo kutegemea kuajiriwa sio jambo zuri lakini inauma mtu asome kwa bidii ajinyime kila kitu wazazi wauze hadi viwanja mashamba na ngombe mtoto aende shule halaf mwishowe wanakuja kuwa sawa na mtoto wa mama Mwajuma ambaye aliishia la saba B tu akaamua kujiingiza mtaani tokea akiwa na 14 years huko
Wasomi wengi wanapata msongo sana, maana huishia kuchekwa mtaani utaishia wanasema "kiko wapi sasa alikua anajifanyaga kusoma kwa bidiii na kupata one kiko wapi sasa?"
Serikali ijifunze kwa kikwete alifanyaje kupunguza tatizo la ajira.....Kwa kua hii mitaala mibovu ya theory ina baraka za serikali basi serikali ihakikishe watu wake wanaajirika na kupata ajira