Dege Kubwa latua KIA

Dege Kubwa latua KIA

Uswe

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
2,204
Reaction score
627
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.

Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.

Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!
 
Kama unacho Kioneshe.... Mungu kawajaalia hao wa UAE, hivyo wanatumia enzi zao.!! Na wengine hupatiepo masilahi yao humoumo....! Life ni mzunguko.
 
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.

Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.

Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!

Hawa waarabu wamekuja kufanya nyao Nyalandu simwamini katu.
 
Mmemfanyia fitna Kagasheki mnategemea nini..?
Wawabebe tu
Na mimi nasema wawabebe tu
 
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.

Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.

Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!

hilo linatua kwa mara ya pili hapo last 2 weeks lilitua vilevile na likaruka saa 5 usiku ..
 
Sasa ndio jukumu lako kama mTanzania kuchunga mali yetu.......lete reg no yake na picha kama unaweza.......na uchunguze imekuja kufanya nini........ni haki yako kujua.......
 
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.

Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.

Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!

Nakumbuka mwaka 2007 lilitua hapo dege lenye muundo kama ule wa air force one lilikuwa na wafanyakazi wengi sana tukaambia lilikuja na mtoto wa mfalme toka falme za kiarabu
 
Kuna Dege kubwa sana lime-land Kilimanjaro International Airport.

Kwa ukubwa huu ninaouona hata twiga anaingia bila matatizo, kudhihirisha kwamba hili sio tukio la kawaida hapa, naona hata wafanyakazi wa KIA wametoka nje kulishangaa jinsi hili dege lilivyo kubwa.

Ubavuni limeandikwa UNITED ARAB EMIRATES!
Alooh usiondoke hapo hawakawii kuyapandisha na kuchukuwa Twiga wengine,nakuaminia Uswe,make sure camera yako haibanduki hapo.:llama:
 
Last edited by a moderator:
Kinana amekasirika Mawaziri Mizigo kutoswa sasa amegeukia mizigo ya Tembo
 
Biashara (uza v/s nunua) Tumekuja nunua TEMBO,TWIGA,SWALA,FARU,nk... Leteni bei sasa!! @ per head......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom