Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Dear Nyerere tunakukumbuka Baba yetu, ulale mahala pema peponi.
Baba PSSSF chini ya Serikali iliyopo madarakani haijatulipa MAFAO yetu sisi na ma Askari Polisi tulio staafu mwezi wa 11 Mwaka jana hadi leo hii tarehe 14/10/2021 zikiwemo na Nauli ambazo zipo kisheria kwamba tupewe turudi majumbani kwetu hazijalipwa Baba.
Baba PSSSF chini ya Serikali iliyopo madarakani haijatulipa MAFAO yetu sisi na ma Askari Polisi tulio staafu mwezi wa 11 Mwaka jana hadi leo hii tarehe 14/10/2021 zikiwemo na Nauli ambazo zipo kisheria kwamba tupewe turudi majumbani kwetu hazijalipwa Baba.