ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,238
- 88,605
Nimeona lakini sikuwa na budi kukukumbusha kuwa it's nature instead of what you've been thinking.Hujaona sehemu..nimesema Sitaki mabishano na Waabudu jua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeona lakini sikuwa na budi kukukumbusha kuwa it's nature instead of what you've been thinking.Hujaona sehemu..nimesema Sitaki mabishano na Waabudu jua?
Tayari pisi jacky ana ulinzi mkali wa Mungu ndiyo maana hajamumunya wala kutafuna wala kumeza maneno; kayasindikiza kama alivyoyapokea. CongratulationsNingeshauri huyu dada awekewe ulinzi mkali saana
Nature...unaijua wewe..Nimeona lakini sikuwa na budi kukukumbusha kuwa it's nature instead of what you've been thinking.
Muulize kama ana mdogo wake wa kike mwenye akili kama zake, half unicheki nikujuze kifuatacho.Aiseeeeh.. mwanamke kaandika haya?au malaika?
pisi jacky wanawake kama mlivyojitanabaisha mpo kweli ?Kuna wanawake wanasema... mwanaume Sio lazima eti kuwa nae..
Doooh....
. WAACHENI wakeshe kwa Mwamposa na Madhabauni..
kumpata mwanaume sahihi katika maisha yako... Ni Jambo la kushukuru Sana.
Mwanaume na AHESHIMIWE.... Man are important to us we value them...
mwengine ukiwa mpole ndio anakuona boya zaidi...
Reward ya huyo mjane wake Ni nini hasa Kwa kuvumilia ushenzi wa mume wake aliefia kwenye kifua cha mwanamke mwenye umri sawa na mjukuu wake?Ila uvumilivu ni kitu muhimu sana yule mzee wa miaka 80 aliefia gesti alishindwa kujizuia kabisa alishindwa kuwa na uvumilivu anajikuta
Anakojoa mpka roho