Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,558
- 1,460
- Thread starter
- #161
Kwa kuwa umemtaja Kikwete, sasa nataka wewe unijibu:
Barabara za lami kabla ya Kikwete na Baada ya Kikwete kilomita ngapi?
Shule za Sekondari?
Vyuo Vikuu?
Waalimu?
Zahanati?
Tuanza, nna kuhakikishia utadondokea puwa. Ulitaka tulichaguwe jitu ambalo hata kusema huyu ndio Rais wangu unaona haya? unanini wewe? vitendo huendana na muonekano. Kikwete mzuri na mambo hayo muhimu yote kayafanya vizuri, wacheni chuki zenu bila mpango.
Usitoke kwenye Mada waweza anzisha Thread nyingine tutakuja Kujadili