Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 25,000
- 33,891
SawaMajukumu ya maisha tu.Nilipitia magumu kiasi kwamba JF nikawa siikumbuki kabisa.
SawaMajukumu ya maisha tu.Nilipitia magumu kiasi kwamba JF nikawa siikumbuki kabisa.
Wanaona aibu.Hilo sijui ,kumbe waliachana.Ila bado active hao humu JF?
Katibu endelea kutafuta hela, kuwa expert haipendezi kabisa 🤣🤣🤣🤣Mwenyekiti uplatinamu umeutoa wapi?🤣🤣
Ila tangu ile vurugu ya 29 October wengi wamepotea. JF ilifungwa na iliporudi kuipata ikawa shida. Ni juzi tu mimi ilikubali. Kibobori Mahoro alipata shida sana kwani JF ni kiburudisho chake hasa baada ya kazi.Baada ya kupotea JF kwa miaka 7 hatimaye nimerudi.
Deadbody is Back
Watu wa masijala mshafika 😹
Hukuwepo vipi na VAR inaonyesha ulikuwepo 2023 kiongozi 😹😹😹Hapana mkuu sikuwepo toka 2019
Avatar yako imematch na comment yako aisee 😹Afya ya akili
Upo bhana 😹Mkuu nilikuwa sio active hata hivyo.. but nilikuja mara moja na kupotea.Ukicheki kuanzia 2019 mpaka 2022 nilipotea na baada ya hizi nikapotea kwa miaka mitatu
Nenda kanisani shenz ww🤣Avatar yako imematch na comment yako aisee 😹
Juma lokole 😹Ngoja nikupe umbea.
Bold na Nifah , waliachana hivi una habari?
Na wewe unaamini kweli wageni?Lazima tuwanyooshw hiki kizazi cha hovyo kilichoJoin Jf juzi kuwa na heshima na wakuu .
Enzi zetu mtu unafungua akaunti unaogopa kuanzisha Uzi hata kumQoute haswa ukiwa ID mpya kutokana na heshima ya Malegend na madini yalikuwa yanashushwa unabaki kuwa mpenzi mtazamaji .
Sasa mtu kafungua akaunti Jf kwa Fujo hajui mitaa vizuri anaanza kutukana wakubwa hovyo
Mi mpagani 😹Nenda kanisani shenz ww🤣
Kivip?
Hawa jamaa sijui huwa wanatuchukuliaje
Mimi WhatsApp pia siipendi ni vile lazima niwepo coz ndio michongo yangu ilipo..!!Jambo jema mkuu,kuwa nje ya mitandao kwa muda..vipi uliwezaje ? Yalikuwa ni maamuzi tu au kuna jambo lilikufanya kuwa nje ya jf kwa muda.
Nmefanikiwa kuwa nje ya whatsapp kwa karibia miezi minne sasa,..target niende mwaka.
Ni simu ya ofisi binafsi tu ndo ina whatsapp kwa ajili ya mawasiliano na wateja..na simu inabaki ofisini.
Ndo maana huna adabu..Mi mpagani 😹
Winga kama winga😂Mimi WhatsApp pia siipendi ni vile lazima niwepo coz ndio michongo yangu ilipo..!!
Wewe huoni avatar yako ilivyo?Ndo maana huna adabu..
Haya Ulimaanisha nn na comment yako?
Sasa je 😹Winga kama winga😂