Deadbody is back

Deadbody is back

Wewe huoni avatar yako ilivyo?
Kama ina changamoto ya afya ya akili na hizo nywele basi akhaaa swadakta 😹😹
Kwendraa zako,
Kwani dread Zina shida gani? Ww maisha yako tu mtihani🤣
 
Mimi WhatsApp pia siipendi ni vile lazima niwepo coz ndio michongo yangu ilipo..!!
Sahihi mkuu..ndo maana mimi nina simu mbili..moja ni strictly kwa ajili ya michongo tu...ndo yenye whatsapp na inakaa hapo ofisini. Simu moja ni kwa ajili ya matumizi binafsi..ndo ambayo haina whatsapp ni Jamii forums pekee..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom