Elevenn
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 8,920
- 17,533
Kwendraa zako,Wewe huoni avatar yako ilivyo?
Kama ina changamoto ya afya ya akili na hizo nywele basi akhaaa swadakta 😹😹
Kwani dread Zina shida gani? Ww maisha yako tu mtihani🤣
Kwendraa zako,Wewe huoni avatar yako ilivyo?
Kama ina changamoto ya afya ya akili na hizo nywele basi akhaaa swadakta 😹😹
Kmmk nywanokwo bebe😂Sasa je 😹
Mimi ni kupost mashati ya maua na kuchukua order kama zote..!!
Nyamfwile agolukundu 😹Kmmk nywanokwo bebe😂
Hughu limbola ulu shindo lako, na kwighusha na madako ghakoNyamfwile agolukundu 😹
Ndo mdudu gani huyo?Nyamfwile agolukundu 😹
Kalya mpali 😹Hughu limbola ulu shindo lako, na kwighusha na madako ghako
Shenz ndo lugha gani hiyo?Kalya mpali 😹
Nataka nikuoe vipi sasa kwenu ng’ombe ngapi nilete? 😹Shenz ndo lugha gani hiyo?
Kabila gani wewe? Ndo milaa zenu zinaruhusu mwanamke kutoa mahali? Alaf Mm ndo nakuoa ww mshamba usipagaweNataka nikuoe vipi sasa kwenu ng’ombe ngapi nilete? 😹
🌈🌈🌈Ukiwa mjinga kiasi hiki haustahili kujibiwa , ushafilisika hoja na sasa ujinga wako ushadhihirika , haya asante ndugu kizazi Nyabumbu de Scumbabag Dujeumsaengmita View attachment 3617033View attachment 3617034
View attachment 3617035
Sahihi mkuu..ndo maana mimi nina simu mbili..moja ni strictly kwa ajili ya michongo tu...ndo yenye whatsapp na inakaa hapo ofisini. Simu moja ni kwa ajili ya matumizi binafsi..ndo ambayo haina whatsapp ni Jamii forums pekee..Mimi WhatsApp pia siipendi ni vile lazima niwepo coz ndio michongo yangu ilipo..!!
🤣🤣🤣🤣🤣Katibu endelea kutafuta hela, kuwa expert haipendezi kabisa 🤣🤣🤣🤣
Kila kitu ni koneksheni 😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Aaah mweneliti kuna namna. Ngoja nitaongea na muhasibu, kuna namna mmefanya.