adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,788
- 37,786
Legend online?Heshimu ma legend panya wewe
Hakuna mtu anayeogopwa na wanaojidai kuigiza wana akili kama mtu aliyelewa.Na akili yako , hakuna mnywa bia fala
Wewe umeJoin Jf juzi tu lazima MaLegend kama hawa utakuwa hauwafahamu .Who are you?
Una impact gani?
Nimewapa uzi wa connection ya pesa madogo watano tu ndio wamejitokeza kupambania kombe , hawa madogo wa sasa wape nyuzi za mapenzi na ngono na pombeLegend online?
With zero impact offline.
Madogo hawana adabu kabisaWewe umeJoin Jf juzi tu lazima MaLegend kama hawa utakuwa hauwafahamu .
NB matcore yakoHeshimu ma legend panya wewe
Mimi ndio kwanza naistukia Leo hii ID baada ya kupotea kwa kitambo , naona kama alikuweoo ilikuwa kuchungulia mara moja sio kuwa active kama Zamani.Mbona 2023 ulikuwepo sanaa
Hamsemi ana impact gani, legend kafanya nini!?Wewe umeJoin Jf juzi tu lazima MaLegend kama hawa utakuwa hauwafahamu .
Sure mkuu nilikuwa offline muda huu 2018-2026.Ndio leo nimerudi.Hiyo 2023 nilikuja na kutoka ,sikurudi tena.Hivi Joseverest hule jamaa kila thread yeye alikuwa wa kwanza kukoment yupo ?Mimi ndio kwanza naistukia Leo hii ID baada ya kupotea kwa kitambo , naona kama alikuweoo ilikuwa kuchungulia mara moja sio kuwa active kama Zamani.
Nakumbuka enzi hizo alikuwa Moja kati ya member active sana humu jukwaani
Lazima tuwanyooshw hiki kizazi cha hovyo kilichoJoin Jf juzi kuwa na heshima na wakuu .Madogo hawana adabu kabisa
Mkuu ulipatwa na nini ukaamua kupotea JF??Sure mkuu nilikuwa offline muda huu 2018-2026.Ndio leo nimerudi.Hiyo 2023 nilikuja na kutoka ,sikurudi tena.Hivi Joseverest hule jamaa kila thread yeye alikuwa wa kwanza kukoment yupo ?
Kitendo cha watu tu, kukumbuka mpaka jina lake kati ya members wengi waliopo Jf hiyo inaonyesha jinsi gani alivyo na impact .Who are you?
Una impact gani?
Karibu tena kijiwe cha nyumbani......Wee wa kitambo mwenzangu ,ila wee ulikuwa unashinda MMU na kina Miss chaga huko.Haikuwa rahisi kunijua
Joseverest aliwahi kurudi baada ya kupotea sasa kapotea mazima .Sure mkuu nilikuwa offline muda huu 2018-2026.Ndio leo nimerudi.Hiyo 2023 nilikuja na kutoka ,sikurudi tena.Hivi Joseverest hule jamaa kila thread yeye alikuwa wa kwanza kukoment yupo ?