Unamaanisha nini hapo kwenye white.....oooh...red!Kosa ni kumrudisha Arusha alikokulia na kuzoea mazingira!! Alikuwa uvinza huko hakukuwa na shida!!! Mtoto wa JK huyo!!
Mshirika wa Riz1! Fuatili anzia kuteuliwa hadi kuja kutumbuliwa na JK na kurudishwa week ya mwisho hadi sasa!!! Alikuwa uvccm wa Arusha!!Unamaanisha nini hapo kwenye white.....oooh...red!
yaani Arusha wana matatizo sana na ni wanafikiHuyo Gambo sifa zake zitamtokea puani muda siyo mrefu
Daaaaah kumbe ni kweli jamaa alikuwa anafanya makusudi akijua wazi aanapandishwa cheoBaadhi ya watumishi walioenda kwenye kikao cha DC wamekerwa na tabia ya DC kujisifu kuwa yeye ndie mteule sahihi wa Rais na kuwa siku si nyingi atapandishwa cheo kuwa RC hivyo watumishi wote wamsikilize yeye vinginevyo atawahamishia Tandahimba au Chato.
Kitendo cha leo ni mwendelezo wa mgogoro wa chini kwa chini unaondelea kati ya mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa unaosababishwa na tabia ya DC kumuhujumu waziwazi RC na wakati mwingine kuongea maneno ya kashfa dhidi ya RC
Mtoa post nadhani anatumiwa na Lema kumchafua DC ama kutaka kuwachonganisha DC na RC kwa maana hakuna kitu kama hicho hapa arusha.
Niumbuke nini? Kwa maana kilichotokea ni raisi kulizishwa na kasi ya Gambo sasa wewe ulitaka uongo wa team lema uonekane ni ukweli? Sasa kaaeni mguu sawa kichaa kapewa rungu ukibaka wenu pale halimashauri ndo mwisho tafuteni kazi nyingine.Umeumbuka.
Hakika intelijinsia aliyoifanya Mwanahabari Huru ni kiboko!dah .... yaliyoandikwa yametimia .... Kweli JF ni kiboko ya information
Niumbuke nini? Kwa maana kilichotokea ni raisi kulizishwa na kasi ya Gambo sasa wewe ulitaka uongo wa team lema uonekane ni ukweli? Sasa kaaeni mguu sawa kichaa kapewa rungu ukibaka wenu pale halimashauri ndo mwisho tafuteni kazi nyingine.