DC Mrisho Gambo wa Arusha amhujumu mkuu wa mkoa

DC Mrisho Gambo wa Arusha amhujumu mkuu wa mkoa

Gambo alivuliwa u DC sijui nini kilimrudisha!! Huyo kijana hana adabu kabisa najiuliza sana ktk kigezo cha maadili watawala huangalia nini!!!
 
Naona mkuu wa wilaya Tangu awabanie posho yakifisijadi wanachadema mmeapa kumchomea Kwa MAGUFULI...tumsome lema hapa
Lema amedai kuwa kitendo cha DC kuandika barua Tamisemi na kutoa nakala Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza ongezeko la posho za madiwani kutoka Sh100,000 hadi Sh120,000 zilizopitishwa na kupata baraka za Ofisi ya Katibu Tawala, kinaonesha anafanya siasa zisizo na tija.

Pia alimtuhumu kuingilia utaratibu wa vibanda vya wafanyabiashara kupitia madalali jambo linalopingwa na baraza la madiwani linaloongozwa na Chadema.

Hata hivyo Gambo alisema yeye ni kiongozi mkuu wa wilaya na vyombo vyote viko chini yake na anawajibika kuingilia kati pale anapoona kuna changamoto zinazohitaji kupatiwa ufumbuzi.

Alisema hatasita kuchukua hatua zinapaswa kwani ameaminiwa na Rais, ndio maana ameendelea na wadhifa huo na haitaji kujifunza ukuu wa wilaya kwani amekuwa kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitan
 
Gambo alivuliwa u DC sijui nini kilimrudisha!! Huyo kijana hana adabu kabisa najiuliza sana ktk kigezo cha maadili watawala huangalia nini!!!
Ukada wa chama na tabia kama hizo zake
 
Hizi ni miongoni mwa siasa za maji taka ambazo 100%zinaratibiwa na lema ushahidi wa hili upo wazi I! Msome lema alivyonukuliwa na gazeti la mwananchi

Lema amedai kuwa kitendo cha DC kuandika barua Tamisemi na kutoa nakala Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza ongezeko la posho za madiwani kutoka Sh100,000 hadi Sh120,000 zilizopitishwa na kupata baraka za Ofisi ya Katibu Tawala, kinaonesha anafanya siasa zisizo na tija.

Pia alimtuhumu kuingilia utaratibu wa vibanda vya wafanyabiashara kupitia madalali jambo linalopingwa na baraza la madiwani linaloongozwa na Chadema.

Hata hivyo Gambo alisema yeye ni kiongozi mkuu wa wilaya na vyombo vyote viko chini yake na anawajibika kuingilia kati pale anapoona kuna changamoto zinazohitaji kupatiwa ufumbuzi.

Alisema hatasita kuchukua hatua zinapaswa kwani ameaminiwa na Rais, ndio maana ameendelea na wadhifa huo na haitaji kujifunza ukuu wa wilaya kwani amekuwa kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitan
 
Katika hali ambayo haikutarajiwa mkuu wa wilaya ya Arusha Mrisho Gambo ameanza kumhujumu mkuu wa mkoa Bwana Ntibenda. Hali hiyo imetokea leo eneo la nane nane Arusha,leo ndio siku ya uzinduzi rasmi wa siku ya nane nane ambako ilitegemewa watumishi wa halimashauri kuhudhuria sherehe hizo ambazo mgeni Rasmi ni Mkuu wa mkoa

Katika banda la halimashauri ya jiji la Arusha hakukuwa na mtendaji hata mmoja baada ya kuitwa kwenye kikao kingine na mkuu w wilaya ya Arusha bwana Gambo katika ukumbi wa chuo cha ufundi Arusha. Haikuweza kufahamika mara moja sababu ya mkuu wa wilaya kumtoroka bosi wake na kuitisha kikao kisicho na tija wakati akijua kuwa sherehe za nane nane ni za muhimu zaidi.

Baadhi ya watumishi walioenda kwenye kikao cha DC wamekerwa na tabia ya DC kujisifu kuwa yeye ndie mteule sahihi wa Rais na kuwa siku si nyingi atapandishwa cheo kuwa RC hivyo watumishi wote wamsikilize yeye vinginevyo atawahamishia Tandahimba au Chato.

Kitendo cha leo ni mwendelezo wa mgogoro wa chini kwa chini unaondelea kati ya mkuu wa wilaya na mkuu wa mkoa unaosababishwa na tabia ya DC kumuhujumu waziwazi RC na wakati mwingine kuongea maneno ya kashfa dhidi ya RC

Huyo DC alishindwa wilaya ndogo kama Korogwe, ataiweza Arusha? RC Ntibenda ni kati ya wakuu wa mikoa mahiri na watendaji wenye busara sana lakini DC hana hata mwezi moja na tayari haelewani na mbunge Mhe Lema! Nabashiri uteuzi wake utatengeliwa karibuni.
 
Acha wafu wazikane wao kwa wao ndio shida ya vyeo ya kujipendekeza na kufanya kazi bila ya kufuata utaratibu wa kisheria za mipaka ya uongozi, mwishowe unakuja kutolewa kwa aibu wa kujipendekeza ila jamaa asipojiekebisha ipo cku atapotezwa
 
Hizi ni miongoni mwa siasa za maji taka ambazo 100%zinaratibiwa na lema ushahidi wa hili upo wazi I! Msome lema alivyonukuliwa na gazeti la mwananchi

Lema amedai kuwa kitendo cha DC kuandika barua Tamisemi na kutoa nakala Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza ongezeko la posho za madiwani kutoka Sh100,000 hadi Sh120,000 zilizopitishwa na kupata baraka za Ofisi ya Katibu Tawala, kinaonesha anafanya siasa zisizo na tija.

Pia alimtuhumu kuingilia utaratibu wa vibanda vya wafanyabiashara kupitia madalali jambo linalopingwa na baraza la madiwani linaloongozwa na Chadema.

Hata hivyo Gambo alisema yeye ni kiongozi mkuu wa wilaya na vyombo vyote viko chini yake na anawajibika kuingilia kati pale anapoona kuna changamoto zinazohitaji kupatiwa ufumbuzi.

Alisema hatasita kuchukua hatua zinapaswa kwani ameaminiwa na Rais, ndio maana ameendelea na wadhifa huo na haitaji kujifunza ukuu wa wilaya kwani amekuwa kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitan
Sasa hapo ndio umeandika ujinga gani jebu hoja kwanini anaujumu
 
Naona mkuu wa wilaya Tangu awabanie posho yakifisijadi wanachadema mmeapa kumchomea Kwa MAGUFULI...tumsome lema hapa
Lema amedai kuwa kitendo cha DC kuandika barua Tamisemi na kutoa nakala Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuchunguza ongezeko la posho za madiwani kutoka Sh100,000 hadi Sh120,000 zilizopitishwa na kupata baraka za Ofisi ya Katibu Tawala, kinaonesha anafanya siasa zisizo na tija.

Pia alimtuhumu kuingilia utaratibu wa vibanda vya wafanyabiashara kupitia madalali jambo linalopingwa na baraza la madiwani linaloongozwa na Chadema.

Hata hivyo Gambo alisema yeye ni kiongozi mkuu wa wilaya na vyombo vyote viko chini yake na anawajibika kuingilia kati pale anapoona kuna changamoto zinazohitaji kupatiwa ufumbuzi.

Alisema hatasita kuchukua hatua zinapaswa kwani ameaminiwa na Rais, ndio maana ameendelea na wadhifa huo na haitaji kujifunza ukuu wa wilaya kwani amekuwa kwenye nafasi hiyo kwa miaka mitan
DC hana uwezo wa kubania posho za vikao...acheni mentality za kifukara,hivi posho ya laki na nusu kwa vikao vya mara kadhaa kwa miezi kadhaa nayo ni ajabu?
Ndio anawadanganya kuwa kaja kupambana na Chadema Arusha?Anawekwa katikati huyo,hachukui muda...Alizoea kuwatisha Uvinza,kwamba wengi wa wakazi kule "wakimbizi",ukimkosoa kidogo anakuita ofisini akiwa na Afisa Uhamiaji anaanza kuhoji Uraia

Huyu dogo na kijiwe chake pale cha kahawa kwa wale wazee wa kirangi wanamvutia kasi,anafika pale anaanza kupandikiza chuki na uhasama...Nyendo zake za kujenga chuki kwa jamii ya Arusha kwa manufaa ya kisiasa tunazifuatilia.Arusha damu ilishamwagika sana sbb ya watu wa aina ya Mrisho Gambo...Tunaomba aache mji utulie,tumezika sana wahanga wa siasa za chuki hapa Arusha inatosha...
 
Back
Top Bottom