DC Jerry Muro: Watendaji wa vijiji wanamsubiri DC atoke ofisini akachome bangi wakati Rais Magufuli sisi alishatukataza

Nadhani DC Jerry Muro ameshaichoka hiyo Nafasi aliyonayo, kwani kwa Maelezo yake haya sidhani kama yakimfikia Rais JPM atabakia kuwa DC.

Anamsingizia Mh. Rais, ukweli Rais hajawakataza kukomesha kilimo cha bangi, alichosema ni kuwa wakikuta shamba la bangi wawalazimishe wananchi wa eneo hilo kuifyeka na kuiharibu bangi hiyo na kamwe kazi hiyo isifanywe na askari wetu.

Jerry Muro hawezi kukwepa kikombe hicho kwani yeye ndiye mwenyekiti wa Kamati ya ulinzi na usalama Wilayani kwake,sasa kama Kamati nzima imeboronga hadi Mh. Rais kuamua itumbuliwe yeye anaponaje hapo?
 
Alizungumza akiwa Chuga hapo

Your browser is not able to display this video.


Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Wewe unaonekana ni Mmbea sana halafu Mkuda mkuda hivi
 
Ndio amesema hapo walishakatazwa. Hawezi kumsingizia Rais

Walikatazwa wapi na lini. ..?? SISI HATUWEZI KUJUA
 
Yani huyu dc jerry ni kilaza sijaona, yani aone shamba la bangi asubiri watendaji wa vijiji ndiyo wakateketeze, bila hata kujiongeza
 
Kama sijakosea Magufuli alishawahi kutoa hilo katazo akasema hao watu sio kazi yao kuchoma bangi.

Implicitly, kama kweli JIWE aliwakataza wasichome bangi basi mkemia wetu anajua faida za bangi na ndio maana aliwakataza wasiichome!!! JIWE legalize ganja!!!
 
Amekuwa Mamlaka ya Nidhamu tangu lini??

hawa wanahitaji Induction
 
Nyie ndio wale mnaojidai mmefanikiwa kimaisha kumbe mnapiga deal za bangi
Wewe mwenyewe umesomeshwa kwa hela za .... huko Oldonyo. Umewasahau wale ndugu zako waliokimbizwa Border ya Namanga wakatelekeza punda bila mizigo??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…