SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,766
Nadhani DC Jerry Muro ameshaichoka hiyo Nafasi aliyonayo, kwani kwa Maelezo yake haya sidhani kama yakimfikia Rais JPM atabakia kuwa DC.
Alizungumza akiwa Chuga hapoMkuu wa wilaya ya Arumeru mh Jerry Muro amesema watendaji wa vijiji wamekuwa na tabia ya kuwataka wakuu wa wilaya watoke ofisini kwenda kuchoma moto mashamba ya bangi ilhali wao madc walishakatazwa na Rais Magufuli.
Muro amesema hayo wakati wa mkutano kati ya mkuu wa mkoa wa Arusha na viongozi wa wilaya ya Arumeru kuhusiana na mashamba ya bangi yaliyogunduliwa wilayani humo.
Source ITV habari
My take; Sikumbuki madc kukatazwa na Rais Magufuli kuchoma mashamba ya bangi
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unaonekana ni Mmbea sana halafu Mkuda mkuda hiviHebu tutaje vijiji korofi kwa bangi ili shughuli ifanyike kuhitimisha ulimaji wa bangi.
Vipo vijiji korofi na kata korofi kwa bangi...vijiji hivyo ukichunguza vimejishikiza na matycoon na maharamia flani wanaodeal na na fursa ikiwemo bangi.
Nashauri ianzishwe operesheni maalumu ya kusafisha mitandao iliyejengwa kwenye vijiii hivyo..yaani wenyeviti wa vijiji na vitongoji,watendaji wa kata na vijiji,maafisa tarafa ,wazee wa kimila ,wenyeviti na wajumbe wa kamati za Siasa za vyama.
Wawekezaji waliojipenyeza ambao inawezekana ndio wanunuzi ...matajiri wa maeneo hayo n.k
Haiwezekani vijiji au kata kama za Mwandeti,Oldonyosambu,Ngarenanyuki,Kisimiri,Siha,EngareOlmotonyi,ngabobo na ukanda wote huo wa kaskazini mwa jiji la Arusha ukawa ndio ukanda korofi wa bangi miaka nenda rudi.
Yaani vikundi vya wananchi,wazee wa mila,wanasiasa na wengine ni wa CCM wanakuwa ni sehemu ya kutetea uhalifu...halafu huwa wanajikosha kwa kuwa wa kwanza kupeleka umbea kwa wakuu wa mikoa au mawaziri.
Watendaji mahiri wa Serikali wanaathirika kwa kutumbuliwa huku vikundi vya kihalifu au vinavyofanya biashara ya bange vikijificha nyuma ya pazia la kisiasa.
All inAll kwa sasa ifanyike massive operesheni ya kusafisha kata na vijiji hivi bila kujali siasa au utajiri wa wanaowatumia.
Pia ifanyike thorough review ya hali ya usalama maeneo haya kuanzia longido,Arumeru ,Siha na Hai...watafutwe popote walipo King makers wa maeneo haya na wadhibitiwe vilivyo na mapema kwani wao ndio iawezekana kuwa wasafirishaji wa bange nje ya nchi.
Naomba orodha ya vijiji maarufu vya uuzaji bangi,madawa ya kulevya,ujangili wa Tembo,uporaji wa ardhi n.k kama wewe ni mzalendo tajahapa......
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Acheni Umbea nyie wasichanaHayo maeneo yote uliyotaja yanalima bangi miaka nenda rudi, na imekuwa ikikamatwa mara kibao, sasa tujiulize ni kweli kuwa wameshindwa kukomesha?
Nyie ndio wale mnaojidai mmefanikiwa kimaisha kumbe mnapiga deal za bangiWewe unaonekana ni Mmbea sana halafu Mkuda mkuda hivi
Haya maeneo yalikuwa yanalima paretoKwanini watu wanaendelea kùlima bangi wakati sheria/serikali imekataza? Je, inawezekana ina faida kubwa kuliko mazao mengine?
Rejea demand and supplyKwanini watu wanaendelea kùlima bangi wakati sheria/serikali imekataza? Je, inawezekana ina faida kubwa kuliko mazao mengine?
Acha Umbea mtoto wa kikeNyie ndio wale mnaojidai mmefanikiwa kimaisha kumbe mnapiga deal za bangi
Ndiyo ujiulize kwanini watu wameacha kulima paretoHaya maeneo yalikuwa yanalima pareto
Bange ni pesaKwanini watu wanaendelea kùlima bangi wakati sheria/serikali imekataza? Je, inawezekana ina faida kubwa kuliko mazao mengine?
Ilitakiwa watendaji wa vijiji wampelekee taarifa!Ni kazi yake
Kama sijakosea Magufuli alishawahi kutoa hilo katazo akasema hao watu sio kazi yao kuchoma bangi.
Unajuaje kama ni yeye aliyewachoma Maafisa Usalama waliotumbuliwa??Huyo anajitetetea tu na lazima atumbuliwe
Huwa unahudhuria kama nani?Ndio!
Mjumbe!Huwa unahudhuria kama nani?
Amekuwa Mamlaka ya Nidhamu tangu lini??Mkuu wa wilaya ya Arumeru mh Jerry Muro amesema watendaji wa vijiji wamekuwa na tabia ya kuwataka wakuu wa wilaya watoke ofisini kwenda kuchoma moto mashamba ya bangi ilhali wao madc walishakatazwa na Rais Magufuli.
Muro amesema hayo wakati wa mkutano kati ya mkuu wa mkoa wa Arusha na viongozi wa wilaya ya Arumeru kuhusiana na mashamba ya bangi yaliyogunduliwa wilayani humo.
Source ITV habari
My take; Sikumbuki madc kukatazwa na Rais Magufuli kuchoma mashamba ya bangi
Maendeleo hayana vyama!
View attachment 1500603
Wewe mwenyewe umesomeshwa kwa hela za .... huko Oldonyo. Umewasahau wale ndugu zako waliokimbizwa Border ya Namanga wakatelekeza punda bila mizigo??Nyie ndio wale mnaojidai mmefanikiwa kimaisha kumbe mnapiga deal za bangi