DC Hapi aagiza baa maarufu Jijini Dar, Corner bar ifungwe!

DC Hapi aagiza baa maarufu Jijini Dar, Corner bar ifungwe!

DC angefanya msako wa kuwakamata hao machangudoa.

Mwenye Bar atajuaje kama hawa ni wateja au hawa ni machangudoa.

Pia Inatakiwa wakawakamate wale wanaosimama barabarani kule OHIO STREET au KINONDONI.
 
Huyu ndie aliestahili ukuu wa mkoa sio yule bwana
 
Sasa mwenye bar ndio anayewaruhusu hat akina dada kujiuza? Hapo sasa serikali si inajikomoa yenyewe kwa kukosa mauzo ya bia, chakula kutoka hapo bar
 
Mimi binafisi hii naiona kama chuki binafsi, kama leo ni Corner bar kwanini unaiacha Ambiance ambayo madada poa wapo kila siku?? Hata huku tegeta wapo madada wanaojiuza na hata kama maafisa wa serikali hawafahamu wanifuate PM niwaelekeze wakawkamate, bar haina kosa lolote.
 
Serikali mbona wanajitoa kwenye majukumu yao,Kumbuka Dc hapi kuwafukuza sio vizuri bali watafutiwe njia nyingine ya kudhibitiwa kwani hapo inaonyesha yakuwa serikali imeshidwa kuicontrol iyo bar
 
Tatizo Elimu wanaposema Elimu mbovu ni pamoja na hayo wahitimu wa vyuo vikuu kuwa na utendaji wa mashaka mashaka.
 
Wanafungia cornee bar tuu??

Ambiance
Kangarooo
Rambo
Nk hv zimeacha yale mambo sipo dar kwa muda sana

Kimboka

Waache ufala kama hawawatumii hao wapo madomo sege wanafaid kinoma
 
Mmm uzushi tu ...kama biashara sio rasmi kwann walipie kodi...biashara inafanyika nje wala haimuhusu wa corner bar
 
Mkuu wa Wilaya hana mamlaka ya kumuagiza Afisa biashara wala Mkurugenzi. Hii miundo ya uongozi wa serikali inadidi iangaliwe upya
 
Mkuu hebu tueleze zaidi maana wengine ni wageni na hizi habari
Ma top ndyo sehemu zao hizo kwenda
Ndomana wakati wa bunge wale ---- huwa wana hamia dom

Ova
 
  • Thanks
Reactions: GUI
Back
Top Bottom