haha haha hawa dawa yao kuondoa hicho kiti ili wapasuke vizazi!!
Mkuu nadhani unazungumzia katiba ya saccos ya mtaani kwenu na si katiba ya nchi! Katiba ya nchi inawakataza watendaji wote wa serikali kujishughulisha na shughuli za vyama vya siasa. Nadhani ni heri hao wavivu kufikiri kuliko wewe unayefikiri kwa kutumia masaburi!
Mimi naona Mzee wa Rula ndiyo ufanye utafiti au hujaelewa anacho kiongelea Filipo...DC anajishughulisha na kampeni za chama tawala kinyume na katiba hazungumzii kuwa mwanachama msome hapo kwenye nyekundu....au na wewe una malalamikio ya DC kuvuliwa ushugi....hahahahahaFilipo mkuu fanya research katika hili kuliko kuishia kulaumu.
Tangu sakata la kukamatwa kwa DC wa Igunga akihalifu sheria chama ca CCM kimekuwa kikifanya propaganda chafu sana,ya UDINI hapa Igunga mjini,jana wilayani Uyui Dc huyu alitoa laki moja hadharani na kulia machozi,huku akiwahamasisha waislama kuandamana kuipinga chadema et alivuliwa HIJAB.Huu ni mkakati mchafu wa ccm,na ni uwendawazimu,kimsingi chadema hatukumkamata huyu DC kwa dini yake,au rangi ya chama chake.tulimkamata kwa kuwa alihalifu sheria,na nguvu iliyotumika kumkamata inakubalika kisheria.
Dc huyu anaendela kuifanyia ccm kampeni,na usiku wa jana alikuwa n a wakinamama(wanawake)kwenye jengo la serikali anakoishi,anatumia kodi za wananchi kuifanyia ccm kampeni.
Kimsingi hali ya ccm hapa Igunga ni mahututi,hata baada ya kuleta lundo la viongozi bado umma wa Igunga umeonyesha dhahiri kuwa wapo tayari kwa mabadiliko
pamoja na vitisho kutoka kwa kundi haramu la green guard,ambalo Nape ameliruhusu kushambulia watu bado wanaIgunga wapo tayari kwa ukombozi.
Hili nilikuwa silikumbuki.....kweli mama yuko kikazi zaidiHatushangai mama huyu kufanya hayo. Aliletwa Igunga kwa ajili ìyo kwani Dc aliyemtangulia aliondolewa kwa sababu aliitii katiba; hakuwa akishabikia chama chochote!
Acha kubwabwaja kama kuku wa mayai wewe. Hao wameacha kazi kwa muda ili wapate nafasi ya kufanya kampeni zao lakini sheria ya nchi haimkatazi mtumishi wa serikali kujihusisha na siasa. Mfano mdogo huu utakusaidia kuondokana na utapiamlo wa mawazo; mawaziri wote ni watumishi wa serikali na wakati huo huo ni wanachama wa CCM. Tumia akili yako ikuzoee masaburi wewe.
Ni vyombo vya ulinzi na usalama tu ndiyo hawaruhusuriwi kuwa wanachama wa chama chochote, lakini wengine hawafungwi na katiba. Ndiyo maana katibu mkuu wa CCM wa sasa alikuwa katibu mkuu wa wizara gani sijui lakini akachaguliwa kuwa katibu mkuu wa chama. Kama angekuwa haruhusiwi basi ingebidi ajiunge na chama ndiyo achaguliwe.
Ibara sipo specific ni ibara ya ngapi lakini hilo nalijua vizuri kuwz ni vyombo vya ulinzi na usalama tu
Filipo mkuu fanya research katika hili kuliko kuishia kulaumu.
Kwa mtindo huo, hata suala la mabadiliko ya katiba litageuzwa kuwa la kidini! Itakuwa ni masikitiko makubwa na huzuni pale waislamu watakaporubuniwa na vibaka wa ccm kwa masilahi yao binafsi kwamba suala la mabadiliko ya katiba ni kwa ajili ya masilahi ya Wakristo au Chadema! Huko ndiko tunakoelekea! Bado tuna safari ndefu lakini tutafika tu!Kamateni tena makamanda, hao wanapewa pesa wakaandamane wanawakilisha matumbo yao kwa kujivika uislam, waislam tumetulia tunaangalia namna ya kuleta ustawi bora kwa taifa letu.
I can now bet with anybody on how ur mind is empty! I'm not a teacher but I can help u to get rid of ignorance which you've been fed by Tambwe Hiza and Makamba Sr!
Mtumishi yeyote wa serikali haruhusiwi kufanya kazi kwa ushabiki wa chama chochote cha siasa. Wala haijalishi kama ni mwanachama wa chama fulani au la. Rc, ras, dc, ded hata makatibu wa wizara pa1 na katibu kata wote hawaruhusiwi sio tu kukifanyia chama kampeni bali hata kukishabikia na kuonesha upendeleo. Ni makosha kisheria na mshindi katika huo uchaguzi anakuwa sio halali kisheria. Kwahiyo hata huyo dalali wenu anaweza kupokwa ushindi na mahakama kama ikithibitika mahakamani.
Ndio maana nakusisitiza kutumia ubongo maana hujui unachoandika hapa!
Katiba ya nchi haimkatazi mkuu wa wilaya kushabikia na hata kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Tatizo wengi wenu magwanda ni wavivu wa kusoma.