DC aendelea na kuifanyia CCM kampeni Igunga

DC aendelea na kuifanyia CCM kampeni Igunga

Mkuu,
Nilidhani ni mtu mzima na unaakili za kutosha kumbe huna kitu huko kichwani. Nashawishika kusema hata masaburi unayotumia are like empty vaccum! Ndio maana ukakurupuka kuzungumzia katiba usiyoijua sasa umerudi na lingine!
Mgombea wa cdm, kama alivyo wa ccm kwasasa hawatumikii serikali kwakuwa wameomba likizo zisizo za malipo! Huyo dc wa igunga yupo likizo?
Kweli shule za kata zimetuharibia sana vijana! Mnakurupuka tu usingizini na kujibu hoja za msingi. Poor U!

kaka nimetoka Ofcni mda c mrefu... Kwa u2livu nikaanza kupitia híi thread, nikasoma post ya kilaza phila wat cjui... Nikaanza kutafuta inayofuata nione alivyojibu hoja ya katiba aliyozungumzia.... Jibu nliloliana dah.. sima mbavu, mpaka hm hapa wananishangaa hapa... Ikabdi niwaambie kuna Mazuzu yame2mwa Na NEPI kwenye social ntworks hopeles kabisa....
 
Hukumu ya kesi ikiwa 2016 huu ushahidi wako wa teke nyundo utakusaidia ni nini? Maana yake ninavyojua lolote lawezekana, hebu nikumbushe kesi za kupinga baadhi ya chaguzi za wabunge 2010 zimefikia wapi? Lazima nikiri ninatatizo la kuweka kumbukumbu ya mambo yanayokuwa in suspense kwa muda mrefu.

Mkuu taratibu tutafika wala usikate tamaaaaa kabisa kwani hata nchi za ng'ambo nao walianzia huko huko ila nasi tuko kwenye wakati tena mzuri wa ku recruit watu kwa kazi hizo.

Tuko kwenye vita kubwa sana tupambane tu kwa hali na mali tutawashinda hawa wanaojifanya leo kwenye viti ndio vyao hawajui kuwa kuna mwisho wake
 
Nyie magamba mkivuliwa mitandio mnasema mmeachwa uchi, hizo uchi zenu ziko usoni? Mmetumia kauli mbiu zote zimeisha sasa mnatumia dini. Aibu na ziwe juu yenu nyie wanamagamba.
 
Sasa ni afadhali kuwatumikia kina Nape kuliko kujifanya unaipenda Chadema wakati mtu mwenyewe hata siyo mchagga.

We mwita unatia hasira sana mabandiko yako yako kirambuza rambuza sana. Umesababisha nimepigwa ban ila nimekuja na I'd mpya kwa ajili yako.ss lazima ukiri kwamba ww ni dizaini.
 
Kwa kuwa hii ni serikali ya kiislamu kila mwislamu ana ruhusa kuvunja sheria bila kuchukuliwa hatua. Kazi kwenu wapenda amani.
 
Katiba ya nchi haimkatazi mkuu wa wilaya kushabikia na hata kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Tatizo wengi wenu magwanda ni wavivu wa kusoma.
Bila shaka wanaosikiliza propaganda zake na kumshabikia wana uwezo wa kufikiri unaofanana na wake. Sheria haimruhusu kutumia rasilimali za serikali kama ofisi, magari, muda au amali yoyote ya serikali kufanikisha ushabiki wake kisiasa! Tunafahamu cheo chenyewe ni cha kubumba na hupatikana kama "Takrima" ndiyo maana wenye akili timamu wote wanadai vyeo vya kishkaji na kifisadi kama hivyo vifutwe na kama ni lazima wawepo watu wa namna hii basi wapitie kwenye sanduku la kura.
Sasa ni wazi, ma DC na ma RC ni makuwadi wa ufisadi wa CCM na wanafanya hivyo kwa gharama ya kodi tunazolipa. Ndiyo maana tuliwasikia kina Makamba na Nape wakiapa kutumia vijana "Kuwalinda". Hilo likitekelezwa ni rahisi kutabiri kitakachotokea; nacho ni watu hawa kukabiliwa na hukumu ya umma. Labda itakapofika hapo CCM watakuwa wamejifunza.
 
Hicho ni kifungu gani cha katiba? Mgombea ubunge wa Magwanda wa Igunga ni Mratibu elimu! Au hiyo nafasi ni ya serikali magwanda?
Uliwahi ona wapi mzinzi akawa na akili timamu? Maana id yako inawakilisha jinsi ulivyo. Next time mods angalia na id hz maana zinadhalilisha jf. Huna muda wakusoma katiba,kwanza utaupata wapi wakati akili yote kwa mademu?
 
Ndugu yangu hicho ni kifungu gani nikisome, inaelekea mimi ni mbumbu wa katiba. Naomba kifungu tafadhari.

Wewe cheo cha DC ni political post na sio administrative post. Ndo maana yeyote anakuwa mkuu wa wilaya inategemea tu uko vipi na mteuaji, hvo ujue mteuliwa atakuwa accountable kwa aliyemteua (i.e. raisi) ili kulinda nafasi yake. Otherwise mbadilishe mfumo wa upatikanaji wa DC.
 
Wewe cheo cha DC ni political post na sio administrative post. Ndo maana yeyote anakuwa mkuu wa wilaya inategemea tu uko vipi na mteuaji, hvo ujue mteuliwa atakuwa accountable kwa aliyemteua (i.e. raisi) ili kulinda nafasi yake. Otherwise mbadilishe mfumo wa upatikanaji wa DC.
Tumia akili kukabiliana na hoja,DC siyo political post maana hawajibiki kwa chama bali kwa serikali. Tumia kaakili kako kidogo kama hata uliishia darasa la 7. Hili ni jukwaa la great thinkers and not bogus thinkers. Ukijibu hoja uwe na uhakika nayo na siyo unatoka usingizini unajibu tu.
 
ivi huyo mama ni muislam au anavaa kiislam maana hayo maneno yana maana tofauti. Uyo mama alivaa mtandio na inaonekana hata msikitini hapajui. BAKWATA wanatumiwa na MAGAMBA kwani ilo ni swala bnafs kati ya uyo mama na CDM na ndio maana lipo mahakamani sioni BAKWATA wnausika vp...wameuliwa waislam mwembechai lakini hawakuomba serikali iombe radhi...waulizeni bakwata je angekuwa muislam na kavaa kimini wangeingilia kwamba muislam kadhalilishwa??? mm ni muislam lkn cpendi huu mtindo wa sasa kugeuzwa mtaji wa kisiasa wa vyama vya siasa
 
na wewe kwa vile ni mvivu wa kufikiri acha nikujuze, katiba ilitungwa na wananchi na vipengele vingine viliwekwa bila hata wananchi kushirikishwa, hivi kwa upeo wako wa kufikiri mkuu wa wilaya anawatumikia wananchi wote au anatumikia CCM? hiki ndio kipengele cha kufuta kabisa ktk katiba na hata nafasi ya ukuu wa mkoa na wailaya ni ya kufuta wanatumia kodi za wananchi kwa maufaa yao huku wananchi wakibaki maskini,
ukiangalia garama za VX za wakuu wa mikoa na wilaya zingetumika kuongeza mahospitali,shule madawati nk wewe unawashabikia lakini si kosa lako kwa vile umelewa damu ya CCM bila kuangalia mustakbali wako na watoto wako. makatibu wakuu wa wialaya na mikoa wanatosha nchi zingine hakuna vyeo vya kijinga kama hivi kwanza vya nn? kuwaongezea mzigo wananchi.
Huyu DC wa Igunga akishabikia CCM je anaowaongoza ni CCM peke yao? kwa hivo nchi ni ya wana CCM tu basi,katiba ibadilishwe mapema yapo meengi ya kuangalia, pale wananchi watakapoamua kubadilika na kuitoa nchi mikononi mwa CCM mtaona mabadiliko ktk sector zetu na hii dhana ya kuwa nchi bila CCM haiwezekani itakuwa ndio mwisho wao,

Katiba ya nchi haimkatazi mkuu wa wilaya kushabikia na hata kuwa mwanachama wa chama chochote cha kisiasa. Tatizo wengi wenu magwanda ni wavivu wa kusoma.
 
Tangu sakata la kukamatwa kwa DC wa Igunga akihalifu sheria chama ca CCM kimekuwa kikifanya propaganda chafu sana,ya UDINI hapa Igunga mjini,jana wilayani Uyui Dc huyu alitoa laki moja hadharani na kulia machozi,huku akiwahamasisha waislama kuandamana kuipinga chadema et alivuliwa HIJAB.Huu ni mkakati mchafu wa ccm,na ni uwendawazimu,kimsingi chadema hatukumkamata huyu DC kwa dini yake,au rangi ya chama chake.tulimkamata kwa kuwa alihalifu sheria,na nguvu iliyotumika kumkamata inakubalika kisheria.
Dc huyu anaendela kuifanyia ccm kampeni,na usiku wa jana alikuwa n a wakinamama(wanawake)kwenye jengo la serikali anakoishi,anatumia kodi za wananchi kuifanyia ccm kampeni.

Mara nyingine huwa nafikiria, instead of dealing with state people should deal with individuals. DC, Mkurugenzi, Mwenyekiti NEC akivuruga uchaguzi kwa maslahi ya kulinda ajira yake na maisha ya familia yake, wananchi washughulike na maisha yake na wanafamilia wake. It may sound crazy but thats how should these people be fought. Vifo vilivyotokea Arusha kwenye sakata la umeya visingetokea kama Mkurugenzi angelisimamia sheria.
 
Hakuna DC ndani ya katiba usituletee upuuzi wee Mwita25
Article 36(1)....... Of "The constitution of The United Republic of Tanzania"
Section 15 of "The Regional administration act, 1997"
 
Ni mwanzo wa mwisho wa CCM. Bila shaka DC huyu ni wale waliochaguliwa na JK kwa ushauri wa mkewe, Bi Salma.
 
kama waislamu watakubali kununuliwa kwa hoja nyepesi namna hiyo...! Sintataka kujiunga na dini ya watu wasiofikiria. Labda wenyewe watueleze hapa iwapo wanakubaliana na hoja hiyo na sababu zake
 
Back
Top Bottom