Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,801
- 43,177
Kasie hiyo kufinyiwa kwa ndani, una maanisha nini
Kiduku liko hana hata mia GX 110 yake ipo juu ya mawe..hahaha




Kumbe na wewe hujawahi kufinyiwa.....
Tuache hiyo, kuna kuwekwa nusu mlingoti huku unazungushwa.... Ukikutana na mkufunzi unasahau majina yako ya utoto aaaahahahhahahahaa
Kasie Mahaba Matata.
Ngoja arudi kutoka Sweden baada ya kupita Denmark na Norway watamkoma
Ngoja arudi kutoka Sweden baada ya kupita Denmark na Norway watamkoma
Mhhh!!! Mitego hii
nauli ya mwezi mzima bado hapo....Punguza sifuri moja
ndio mzee au uwamini?20,000?
Namna ulivyoelezea jinsi ya kulisonga hilo bada (ugali wa muhogo)...namna ya kulibana sufuria motoni lisicheze cheze kwa mafiga...hatari sana...Unategwa na nini sasa Watu? Na wewe huwa unapata kiu ya sukari japo wewe ndo supplier wake?
Shall we?
Namna ulivyoelezea jinsi ya kulisonga hilo bada (ugali wa muhogo)...namna ya kulibana sufuria motoni lisicheze cheze kwa mafiga...hatari sana...
Kwa utaalamu huo kiu kwa nini isiwepo...
aisee sisi huwa hatuna ubani na hela. we tegua tu. 😂😂😂😂😂😅Tega nikutege....
Inawezekana. Haya mambo hayatabiriki. Unaweza ukajaribu sehemu unakuta hiyo siku dada kala kibuti huko yuko na majonzi. Au yuko katika mood nzuri tu na yupo yupo hana jamaa anaemuelewa, anaona kwanini asijaribu upande wa pili si unajua love can be found in a hopeless place pia.