Kukaja Kununu
JF-Expert Member
- Mar 27, 2017
- 1,077
- 1,210
ahahaahKuna jamaa alidondosha simu mbele yangu akiwa anakimbia maeneo ninapoishi. Nikaiokota ile simu nikaifungua nikijaribu kutafuta contact ya karibu nimjulishe anitafute nimrudishie simu yake.
Ile simu ilifungukia whatsapp, mojawapo ya chats ilikuwa na DP ya mtoto mmoja mkali sana, nikajikuta nimefungua kuangalia picha zake nyingine. I was immediately hooked.
Niliichukua namba ile, nikaisave kwenye simu yangu for future use. Sikutaka kuipaparikia na sikutaka kufanya makosa.
Nikaukumbuka uzi wa RRONDO huu. Siku moja nikacheki nikaona DP ya graduation ya chuo, nikachapa muamala wa hela ndogo tu, less than 50k. Nikauacha ukae.
Masaa kadhaa baadae, nikamtext na kujitambulisha na kumfahamisha kuwa nimekosea kutuma pesa kwake. Akaconfirm. Nikamwambia naona umegraduate, congrats. Naomba huo muamala uwe zawadi yako ya graduation, if you are comfortable with it.
The rest is history.
Sent using kyala gwa maka
