Hatimae suluhisho la muda mrefu limepatikanaUkipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo
Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu
Mkuu fatilia kuna uzi wake fulani aliweka anatafuta fundi wa GX 110 yake amehamia Tabata ila fundi wake alikua yupo kimara nadhani upo mule JF Garage hayo magari anayasoma tu kwenye googleYule jamaa ana ford ranger, range rover,gmc list inaendelea
Inawezekana. Haya mambo hayatabiriki. Unaweza ukajaribu sehemu unakuta hiyo siku dada kala kibuti huko yuko na majonzi. Au yuko katika mood nzuri tu na yupo yupo hana jamaa anaemuelewa, anaona kwanini asijaribu upande wa pili si unajua love can be found in a hopeless place pia.Kuna mdau mmoja hapo juu anasema kwake it worked eti cha msingi ni umfanye dada acheke.
I wish it were that simple...
Kweli kabisa...right place right timeInawezekana. Haya mambo hayatabiriki. Unaweza ukajaribu sehemu unakuta hiyo siku dada kala kibuti huko yuko na majonzi. Au yuko katika mood nzuri tu na yupo yupo hana jamaa anaemuelewa, anaona kwanini asijaribu upande wa pili si unajua love can be found in a hopeless place pia.
Bana weee em zuga zuga tu kivyovyote ili mradi me muamala niupate. Au nishamuagiza Atoto akupe afu ndo unipigie sasa after muamala. Muamala ndo wa muhimuHa ha ha namba yako inabidi niipate kwa third party ambae atasisitiza nisiseme kuwa ndio kanipa hio namba
Mie sijawahi kuhongwa hata sh.100/= taslimu za Kitanzania mkuu, hebu nihonge nione huwa inakuwaje..!!Inamaana ww na umri wako huo hukawahi kuhongwa 100k mamii
Yeah, only if muhusika akiamua kukuonyesha, sababu akiamua ku pretend hutokaa uote maisha yako yote kama unaigiziwa!!Ni kweli ila.. kunq muda unajua hapa naeleweka hapa sieleweki.
Yeah' this are words now.!! though wanaume wanapaswa warekebishe sana approach zao maana naamini asilimia kubwa ndo zinawafelisha, sometimes ladies ain't that complicated!!
Unazungumzia laki!! Si bora uninyonge
Bro, hii pata potea inaweza ikakuacha kwenye maumivu makali sana. Na pia vile vile inafanya kazi kwa wanawake wa kariba fulani tu.Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo
Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu

.Kila mbuzi anakula kwa urefu wa kamba yake. Umempigia mtu namba haijui atajuaje wewe pangu pakavu au don? Au miito ya simu inaonesha uwezo wa watu. Btw 200k ni mfano sio sheria kwamba ndio kiasi lazima utume. Jamaa wa Forex wanasema invest what you can afford to lose...im saying the same. Btw mtu huyu unakuwa ushamfahamu kidogo hadi umepewa namba yake na mtu anajua. Sizungumzii unatuma tu namba yoyote hata mtu hujawahi kumuona.Bro, hii pata potea inaweza ikakuacha kwenye maumivu makali sana. Na pia vile vile inafanya kazi kwa wanawake wa kariba fulani tu.
Na hata wanaume wenye uwezo kuchezea kiasi hiki cha pesa ni wachache sana. Na wengi wao kwanza hawaangaikagi kuwapata wanawake badala yake wanawake ndio wanawatafuta wao.
Asilimia kubwa ya wanaume wanakumbana na kadhia ya hili swali ni wanaume hoe hae hae wazee wa pangu pakavu.
Na hao hata kurusha buku 5 ni inshu sembuse 200k.
Kiufupi hii mbinu ni kujitengenezea mazingira ya kujitapeli mwenyewe.
VizuriHalafu kwanini upitie struggle zote hizo mpaka una risk hela zako kisa demu!?
Na demu mwenyewe unakuta hana kingine cha kukupa Zaidi ya UCHI.I am too reluctant now days to go through all those struggles just because of PUSSY
Vijana wasiotaka kuoa wanatakiwa kusoma hapa.Ukipewa namba na mtu mwingine ili kuepuka swali hili la kizushi (namba yangu umetoa wapi?) chakufanya mtumie muamala mfano 200,000/-
Baada ya dakika chache mpigie na kwa upole mwambie kuwa umekosea kutuma hela ukatuma kwenye namba yake. Mwambie unaomba akurudishie ILA katika hio 200,000 akurudishie 100,000 tu iliobaki abaki nayo kwa usumbufu uliotokea. Then harakati unaanzia hapo hachomoi huyo
Kwa kufanya hivi unakuwa umeonesha wewe ni mstaarabu na sio mbahili,sifa hizi zinawavutia Sana dada zetu
This is what we call maturityWhy utumie laki mbili kufahamiana tu na mtu?
mwambie tu ukweli nimeipata namba yako sababu nilikua nna shida kubwa ya kufahamiana na wewe
Akikataa..huwezi jua kitu gani kimekuepuka
