David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

Ukawa sio chama cha siasa
Tunahitaji chama kimoja kikuu cha upinzani
Sawa sasa mshaurini Mbatia ahamishe chama kije kwenu, ila msinyofoe wana chama wake.
Kuwa chama kimoja ni wazo zuri kabisa ila pia lifanywe kwa utaratibu mzuri
 
Mpango wa chadema kuua NCCR,CUF unaenda kwa kasi sana.Kama NCCR ni ukawa kwanini ahamie Chadema ambao ni washirika katika ukawa?

Labda ungeanza kushangaa kwanza kwanini Lipumba ahamii CCM wakati ni mshirika wake
 
Mpango wa chadema kuua NCCR,CUF unaenda kwa kasi sana.Kama NCCR ni ukawa kwanini ahamie Chadema ambao ni washirika katika ukawa?

Ni sawa na mpango wa ccm kuangamiza Taifa kwa kukiuka katiba yetu ila sijui kama tutafanikiwa maana wananchi wako macho
 
HONGERA MAMA DAVID KAFULILA (Mhe. Jesca Kishoa mb)

Inawezekana kabisaa pasipo shaka Mhe. David Kafulila ukawa umeshawishiwa na Mkeo kuhamia Chadema chama chetu cha zamani ambacho mkeo ni mbunge wake. Kama ndivyo basi napenda kutumia fursa hii kumpongeza Mkeo Mhe Jesca Kishoa Mbunge kwa kukuweka mtu kati hadi ukaamua kurejea mahala ambapo kwa miaka mingi tangu 2009 ukisema sana kwa nyakati tofauti kwamba CDM hawaaminiki, hawafai na hawana shukrani. Pole na hongera kwa uamuzi huo. Vilevile hongereni sana akina mama kwani kupitia Mhe Jesca Kishoa imedhihirika kwamba mna nguvu hadi Mhe David Kafulila Kasarenda misimamo yake. Hongereni sana akina mama, ni wazi mna nguvu na mnaweza kuhamisha hata milima na visiki vya kila aina. Mhe Kafulila Kila laheri kwa kusarenda misimamo yako na Kila laheri ktk kuanza Maisha Mapya na ni haki yako kikatiba. Msalimie sana Shemeji yetu na watoto bila kusahau makamanda. Kwa mala nyingine hongereni akina Mama.

16/12/2016
 
Ni sawa na mpango wa ccm kuangamiza Taifa kwa kukiuka katiba yetu ila sijui kama tutafanikiwa maana wananchi wako macho
unayumba yumba sana,jikite kwenye hoja. Hakikisha kabla kuchangia hutumii viminika au mosho wenye ulevi dogo.
 
Jf tufikiri juu ya siasa za Kigoma , Jimbo LA Kafulila ,chama chake nafasi ya Kafulila nccr na. Familia ya Kafulila. Nccr ilishapotea na Mbatia ubunge kapatia Chadema na Mvatia anajua hill.Inawe,ekana pia kina maelewano. Sisi CCM tutawakabili na kushinda
 
Kaenda kwa mkewe, sioni kama ita muimarisha yeye kisiasa bali ita msaidia mkewe zaidi.

Halafu kama wote NCCR na CDM ni UKAWA kuna haja gani ya Kafulila kuhama!? Au ndio umoja wa mashaka wenyewe!!
Mkewe ndio nani
 
Rekebisho kidogo, David Kafulila hajahamia Chadema, bali amerejea Chadema, NCCR Mageuzi ndio alihamia na sasa amerejea nyumbani, ataisaidia sana Chadema kuziba pengo la ZZK kama ata team up na JJ. Mnyika. Kafulila is good so does JJMNYIKA na wengine wachache. Pengo la ZZK ndani ya Chadema halijazibwa so does pengo la Dr.Slaa, na Bavicha ya sasa haina big impact so does Bawacha.

Mimi kama ningekuwa mshauri wa Chadema ningemshauri Mbowe his time it's time up. Ameifanyia Chadema mengi na makubwa but amefikia optimum take. Kama night solution, it is a saturated solution, it can take no more than it can.

Chama makini kinatakiwa kuanza jana kujipanga kwa kesho, kwa uchaguzi wa 2020 hata yule jamaa yangu atakuwa ni spent force unless Chadema imeridhika kuendelea kuwa msindikizaji tuu na sio mshindani.

Hongera sana Kafulila, welcome back home kwako ulikotoka na kugeuka mwana mpotevu aliyerejea nyumbani kwa baba take.

Paskali
hivi hawa ng'ombe ccm kwa nn mbowe na lowasa hawatoki kwenye vinywa vyao wkt wamefungwa midomo na ccm na kuwadhibiti. Sasa wanatishika na nn? Kwa nn uogope kitu ambacho hakitishi na umeshakidhibiti? Alafu kuhama kafulila ni wivu wa kike unawasumbua. Mbona machali amehama lowasa akiwa mgonjwa lkn pia wanaccm waliosema atakufa wamekufa wao
 
Back
Top Bottom