David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

Akifika fasta ajiunge na timu Lowasa.
 
Mpango wa chadema kuua NCCR,CUF unaenda kwa kasi sana.Kama NCCR ni ukawa kwanini ahamie Chadema ambao ni washirika katika ukawa?
Wewe ulitakaje? Au umeshajisaulisha kwamba Kafulila alikuwa hana mahusiano mazuri na viongozi wake wa NCCR? Kuhamia CHADEMA ni kama mwanafunzi kubadili sehemu anayokaa darasani lakini bado yumo kwenye darasa lilelile!
 
Karudi nyumbani kwani kuna tatizo? Karibu tuchukue nchi 2020 maana magufuli tumemchoka tayari
 
Siasa zetu ndivyo zilivyo nothing new.
 
Kahamia kwa mkewe si unajua mkewe ni mbunge wa viti maalumu Chadema.Mama akiwa na kazi au nyumba mwanaume Ukawa huna kazi au nyumba kuhamia kwa mke ili maisha yaendelee si kitu cha ajabu.Na kila ukiamka huko ulikohamia lazima kila asubuhi umwamkie mke Shikamoo mke wangu maana ndie anakuweka mjini.
 
kwani huyu jamaa si aliitwa msaliti??inamaana usaliti wake kwa chadema umesafishika vipi??
 
Kahamia kwa mkewe si unajua mkewe ni mbunge wa viti maalumu Chadema.Mama akiwa na kazi au nyumba mwanaume Ukawa huna kazi au nyumba kuhamia kwa mke ili maisha yaendelee si kitu cha ajabu.Na kila ukiamka huko ulikohamia lazima kila asubuhi umwamkie mke Shikamoo mke wangu maana ndie anakuweka mjini.
 
David Kafulila ni mpinzani halisi na hana dalili yoyote ya kuwa na vinasaba na ukoo wa panya.. CCM.

Nakutakia HERI sana David..

Watawala wanaujua mziki na shuguli yako ndani ya bunge kwa reference ya sakata la ESCROW.
 
karibu nyumbani David...bado rafiki yako Zitto...Chadema imarika.
 
naona kwa mbalii Mamvi na Kingunge wanachanga karata zao. Lengo kuuwa cuf, nccr, act na kutengeneza chama kimoja cha upinzani chenye nguvu. Taadhali wajue tu kwamba CCM ni chama dola, ni zaidi ya chama cha siasa. Kukiwa na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu kazi ni rahisi sana kwa CCM ku deal nacho.
Mkuu ccm ni zaidi ya chama cha SIASA????
 
Kahamia kwa mkewe si unajua mkewe ni mbunge wa viti maalumu Chadema.Mama akiwa na kazi au nyumba mwanaume Ukawa huna kazi au nyumba kuhamia kwa mke ili maisha yaendelee si kitu cha ajabu.Na kila ukiamka huko ulikohamia lazima kila asubuhi umwamkie mke Shikamoo mke wangu maana ndie anakuweka mjini.
 
Kafulila alibisha eti Kwny Ubunge wake hakukuwa na Nguvu wala ushawishi wowote wa Zitto wakat ni Zitto huyo huyo alimpa mpaka Magari manne ya Kampeni 2010 lakin this time (2015) aliposhindwa akarudi kulaumu eti Zitto kachangia kushndwa kwake!
 
Back
Top Bottom