David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

Bado Seif na wapemba wenzake, mpaka Mbatia anyooke daadeki.
Chadema na nccr wote wako ukawa ila kahama nccr, ndo wenye akili kama Lipumba walishtuka.
hahahaha lengo la chadema ni kuviua CUF na NCCR
 
Kaenda kwa mkewe, sioni kama ita muimarisha yeye kisiasa bali ita msaidia mkewe zaidi.

Halafu kama wote NCCR na CDM ni UKAWA kuna haja gani ya Kafulila kuhama!? Au ndio umoja wa mashaka wenyewe!!
Tuchukukie mfano una nyumba kubwa yenye vyumba vingi (UKAWA)...
Kwanini ulale chumba kimoja miaka yote?
Kuna ubaya kuhamia chumba kingine ndani ya nyumba hiyohiyo moja?
 
aje tu maana [HASHTAG]#2020[/HASHTAG] tunataka tsunami sio mafuriko


[HASHTAG]#usifanyekosatena2020[/HASHTAG]
 
1481892979124.png
 
Mpango wa chadema kuua NCCR,CUF unaenda kwa kasi sana.Kama NCCR ni ukawa kwanini ahamie Chadema ambao ni washirika katika ukawa?
Kutoka chama kimoja cha upinzani kwenda kingine ndani ya ushirika ni strategy za kimapambano hizo.
Huna haja ya kuona ni habari kubwa
 
Back
Top Bottom