David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

David Kafulila ahamia CHADEMA akitokea NCCR Mageuzi

Kahamia kwa mkewe si unajua mkewe ni mbunge wa viti maalumu Chadema.Mama akiwa na kazi au nyumba mwanaume Ukawa huna kazi au nyumba kuhamia kwa mke ili maisha yaendelee si kitu cha ajabu.Na kila ukiamka huko ulikohamia lazima kila asubuhi umwamkie mke Shikamoo mke wangu maana ndie anakuweka mjini.
Nyie si ndiyo waraghibishi wa hamsini kwa hamsini unashangaa nini sasa. Kama Kafulila anatunzwa na mkewe ambaye si dada ama mama yako tatizo lipo wapi?
 
Kafulila alibisha eti Kwny Ubunge wake hakukuwa na Nguvu wala ushawishi wowote wa Zitto wakat ni Zitto huyo huyo alimpa mpaka Magari manne ya Kampeni 2010 lakin this time (2015) aliposhindwa akarudi kulaumu eti Zitto kachangia kushndwa kwake!
Kujenga ni kazi kuliko kubomoa! Kwa ivo inawezekana kabisa Kafulila hakusaidiwa na Zitto kuwa mbunge lakini akafitiniwa na Zitto akaukosa Ubunge!!
 
Kafulila alibisha eti Kwny Ubunge wake hakukuwa na Nguvu wala ushawishi wowote wa Zitto wakat ni Zitto huyo huyo alimpa mpaka Magari manne ya Kampeni 2010 lakin this time (2015) aliposhindwa akarudi kulaumu eti Zitto kachangia kushndwa kwake!
Kafulila ameshindwa na dola maagizo toka juu,
 
Kujenga ni kazi kuliko kubomoa! Kwa ivo inawezekana kabisa Kafulila hakusaidiwa na Zitto kuwa mbunge lakini akafitiniwa na Zitto akaukosa Ubunge!!

Asiekuwa na ushawishi wa kuchaguliwa kwako anakuaje na ushawishi wa kutochaguliwa kwako? Hata kufukuzwa kwa Kafulila Chadema ni kutokana na kuwa kwake Mtiifu kwa Zitto na hatimae akaukwaa Uenyekt wa Bavicha Taifa kina Mbowe wakafuta Matokeo wakamfukuza Then wakaitisha tena Uchaguzi
 
wakuu
Kafulila ahama NCCR, ahamia Chadema
Dar es Saam. Mbunge wa zamani wa Kigoma Kusini, (NCCR-Mageuzi) David Kafulila, amekihama chama hicho huku akieleza kuwa anajiandaa kuhamia Chadema.

Kafulila alithibitisha taarifa hizo na kusema tayari ameshawasilisha barua ya kujivua uanachama wa NCCR na kujiunga Chadema leo.

“Nimewashukuru kwa kuwa pamoja katika kujenga chama na nafasi ya uenezi waliyonipa mara zote. Nimeweka wazi kuwa natarajia kujiunga na Chadema. Nimeona kuwa kuna mahitaji ya watu wenye nia ya mabadiliko kuwa katika chama kimoja ili kufupisha safari.” alisema

View attachment 446944

SOURCE: Mwananchi
wakuu hii haitaitiia dosari UKAWA?
 
Kafulila ameshindwa na dola maagizo toka juu,

Hata Lowassa si kashndwa na Dola maagizo toka juu! Kwan Jimbo gani Mmeshindwa kihalali yote so tunaambiwa kura zimebiwa?
Hakuna Uchaguzi mlioshindwa kihalali tangu 1995

Mlimtosa Slaa kuwa Hana Mbinu za kupambana na CCM na Matokeo yake mkamchukua mgombea wa Kina Kingunge mkadai wanaweza kudhibiti hujuma zote kwa kuwa wanazijua lakin baada ya Uchaguzi mkarudi tena kutuimbisha kuwa kura zimeibiwa
 
Baadae CCM watajuta kwanini wameunda mgogoro ndani ya CUF maana CUF (ya <Maalim Seif) ikihamia CHADEMA, mchezo wa bao utakuwa umeisha. Ukichanganya nguvu ya CUF ZNZ na CHADEMA Bara, utamu unakolea!
 
Kahamia kwa mkewe si unajua mkewe ni mbunge wa viti maalumu Chadema.Mama akiwa na kazi au nyumba mwanaume Ukawa huna kazi au nyumba kuhamia kwa mke ili maisha yaendelee si kitu cha ajabu.Na kila ukiamka huko ulikohamia lazima kila asubuhi umwamkie mke Shikamoo mke wangu maana ndie anakuweka mjini.
CCM bhana!! Mtu yuko kwenye ndoa yake na anaishi na familia yake amfuate mke wapi? Tumia akili kidogo wewe, mbona huwasemi Mwigamba na Machali umekalia umbea tu.Taarabu peleka Jahazi kule.
 
Tuchukukie mfano una nyumba kubwa yenye vyumba vingi (UKAWA)...
Kwanini ulale chumba kimoja miaka yote?
Kuna ubaya kuhamia chumba kingine ndani ya nyumba hiyohiyo moja?
Au tuchukulie mfano nyumbani kwako unakaa na wanawake watatu.. Mkeo, mdada wa kazi na mdogo wake mkeo!
Kuna haja gani kila siku ulale chumbani kwako tu wakati nyumba ina vyumba vingi
 
Baadae CCM watajuta kwanini wameunda mgogoro ndani ya CUF maana CUF (ya <Maalim Seif) ikihamia CHADEMA, mchezo wa bao utakuwa umeisha. Ukichanganya nguvu ya CUF ZNZ na CHADEMA Bara, utamu unakolea!
Hicho kitu hakiwezekani kamwe.
 
Baadae CCM watajuta kwanini wameunda mgogoro ndani ya CUF maana CUF (ya <Maalim Seif) ikihamia CHADEMA, mchezo wa bao utakuwa umeisha. Ukichanganya nguvu ya CUF ZNZ na CHADEMA Bara, utamu unakolea!

baada ya 2020 tutakuwa tunasema 2025 lazima tuwang'oe. Hizo nyimbo ni going concern!
 
Wakati huo huo machali anategemea atapewa cheo kwa kujiunga na magamba
 
Sasa nimehamia mtaa wa pili ile nyumba sio nyumba ilikuwa na mi....titiii tiriirriirrrr titi tiriiii

Nimejikuta naimba haka kawimbo ka enzi zetu
 
Back
Top Bottom