naona kwa mbalii Mamvi na Kingunge wanachanga karata zao. Lengo kuuwa cuf, nccr, act na kutengeneza chama kimoja cha upinzani chenye nguvu. Taadhali wajue tu kwamba CCM ni chama dola, ni zaidi ya chama cha siasa. Kukiwa na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu kazi ni rahisi sana kwa CCM ku deal nacho.
Ukawa mnasalitiana sasa!
Kama machali alivyohamia CCMKweli siasa "SIHASA"
hahahaha Mbowe kamfanyia udukuzi Mbatia...Ruka jivu kanyaga moto.... Hahahaha,
Sema vitaongezeka, sio vingi vitaenda ukawa! Tena hivyo vya kuongezeka ni vya huko ufipa.2020 viti vingi vitaenda upinzani ila ikulu hatoki m2 ni mbele kwa mbele 2
Ukawa sio chama cha siasaKaenda kwa mkewe, sioni kama ita muimarisha yeye kisiasa bali ita msaidia mkewe zaidi.
Halafu kama wote NCCR na CDM ni UKAWA kuna haja gani ya Kafulila kuhama!? Au ndio umoja wa mashaka wenyewe!!
hahahahahahha...Gosh...kwani sasa hivi ambapo vipo 20 kuna ugumu gani?Kukiwa na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu kazi ni rahisi sana kwa CCM ku deal nacho.
yah tusubili nani kumfunga paka kengeleSema vitaongezeka, sio vingi vitaenda ukawa! Tena hivyo vya kuongezeka ni vya huko ufipa.
Ndugu, kama una id ya Yahaya Jameh naomba umcopy akufafanulie upungufu wa maneno yako!naona kwa mbalii Mamvi na Kingunge wanachanga karata zao. Lengo kuuwa cuf, nccr, act na kutengeneza chama kimoja cha upinzani chenye nguvu. Taadhali wajue tu kwamba CCM ni chama dola, ni zaidi ya chama cha siasa. Kukiwa na chama kimoja cha upinzani chenye nguvu kazi ni rahisi sana kwa CCM ku deal nacho.
Hahahahah Chadema Mungu ana waona ujue! Mbatia ana umwa nyie mnafanya usajili!!
Bado Seif na wapemba wenzake, mpaka Mbatia anyooke daadeki.
Chadema na nccr wote wako ukawa ila kahama nccr, ndo wenye akili kama Lipumba walishtuka.
Mbatia naye anakuja, Maalimu naye huko mtabaki na propesa
Mpango wa chadema kuua NCCR,CUF unaenda kwa kasi sana.Kama NCCR ni ukawa kwanini ahamie Chadema ambao ni washirika katika ukawa?
Watakwambia Ukawa ipo pale pale! Huku wanachukuliana wachezaji
Arudi tuHata zito atarudi chadema