Sozo_
JF-Expert Member
- Jun 12, 2022
- 1,692
- 2,531
TunasubiriKwa heri "Dark Days 17/03/20.." Karibu " "The Shadow President"
===
Ahadi ni saa sita usiku nadhani wa kuelekea tarehe 07.12.2025.
TunasubiriKwa heri "Dark Days 17/03/20.." Karibu " "The Shadow President"
===
Ahadi ni saa sita usiku nadhani wa kuelekea tarehe 07.12.2025.
Think out of the box
Shida sio hao watu
Shida ni ngozi nyeusi
Bure kabisa
Siku ya MO29.Dah hii code anayeweza kui decode tafadhari. Walau kidogo.
Wagner ni Mosco au Bruesels?Born town bruesels finalizing deals?
Wagna
Yueii
Muamerika akita rasilimali hasubili vita hata makampuni yanayochimba madini na yanayomiriki vitalu vya madini ni ya wazungu wao wanakupiga mikataba hayo machafuko ni nyie wenyewe kama mkitendeana haki hakuna atayebeba sirahaInakuwaje kwenye Sehemu zenye rasilimali huwa kuna kuwa na waasi, vita na mapambano ya kila aina, angalia Sudan ya Khartoum, kundi moja ana fadhili Marekani, kundi la pili Saudi Arabia anafadhili, wanapiganishwa, huku hao mabwana zao wakichukua rasilimali za Wasudan kiulani
Chuga pia wanafanya hivo tangu jana, lakini machalii siunajuaga hawaelewekagiRisasi zitafyatuliwa kwa wingi angani ili kutisha Gen Z wasiandamane D9
Jamn kuna SMG mpya za kisasa kabisa msijaribu watu wanazifanyia mazoezi ya shabaha tulieni nyumban hayaChuga pia wanafanya hivo tangu jana, lakini machalii siunajuaga hawaelewekagi
Usiogope mama la mama hata ukitulia home utafuatwaJamn kuna SMG mpya za kisasa kabisa msijaribu watu wanazifanyia mazoezi ya shabaha tulieni nyumban haya
Af mm sio k futa kauli nimejaribu kuongea kwa upolee tuUsiogope mama la mama hata ukitulia home utafuatwa
Tatizo lako umelegeza sana sautiAf mm sio k futa kauli nimejaribu kuongea kwa upolee tu
Na anajipikilisha kila siku humu jf kuliko dada zake!Tatizo lako umelegeza sana sauti
Dah poaTatizo lako umelegeza sana sauti
Dah kumbe af mm nafanya kama burudani mzee ila ni wew na mtazamo wako mzeeNa anajipikilisha kila siku humu jf kuliko dada zake!
Mm sina mtizamo hasi kaka..Dah kumbe af mm nafanya kama burudani mzee ila ni wew na mtazamo wako mzee
Je ujaangalia upande wa fursa kupitia mtandaoni?Mm sina mtizamo hasi kaka..
Hata mm huwa napika sana, ila ukishaanza kuleta mapishi yako mitandaoni, baaaasiiii😀
AAh wapi wanakula wenyewe tu wapuuzi hawa hakuna cha uwakala wqla nnMmmmh,
Hao weusi si mawakala wao au?
Vipi Wag
Siku ya MO29.
pia huko kwa, Ccm mbele kwa mbele, tumeipenda wenye, changuo.....
Halafu hiyo hoja sijui kwa nini hata waandishi jana waliisahau kumuuliza Chalamila!Usiogope mama la mama hata ukitulia home utafuatwa
😁Yoga Bado masaa mawili tunaisubiri hyo Shadow president