Dark days 17/03/20

Ndoto yako inamaanisha, awamu hii yatatumika mabomu (siyo yale ya machozi), mabomu kama mabomu ndiyo maana hadi ardhi ilikuwa inamomonyoka.

Waandamani wote, jiandaeni kupelekwa mbinguni kwa kurushiwa mvua ya mabomu.

Ova endi auti.
 

Kwa uzoefu wangu Ndoto ambazo ni maono hua ZINATIMIA kwahyo, kama unatabia ya kuota vitu na vikatimia basi ndo ujue kuna shida inakuja mbele
 
Ndoto yako inamaanisha, awamu hii yatatumika mabomu (siyo yale ya machozi), mabomu kama mabomu ndiyo maana hadi ardhi ilikuwa inamomonyoka.

Waandamani wote, jiandaeni kupelekwa mbinguni kwa kurushiwa mvua ya mabomu.

Ova endi auti.
Inaonekana wewe hukuisikiliza hotuba ya guys,hata wenye uniform walipitiwa na upepo wa isilaili MO9
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…