Dark days 17/03/20

Nikiwaelezee wale wasioelewa............ Nilimaanisha kusema,

Kampuni rasmi sasa ni nyumba iliyofungwa na funguo ziko mikononi mwa wachache. Kwa maneno mengine, madaraka yote ya kampuni yametangazwa mikononi mwa watu binafsi, na ukimya unabaki mlango. Ufalme unawatumikia walinzi wake, na kuuliza maswali kutachukuliwa kama uhalifu kuanzia sasa.

Ili kuwa salama kaa kimya!! Vinginevyo ni mwisho!!! Hakuna matumaini, hakuna mwanga, tu asili iwe inayoamua.
 
Duh!
 
Sawa, kama itawezekana kuwajaza barabarani kwasiku tatu tu mtafanikiwa, ila nakukumbusha kunakitu kinaitwa divide and rule
Kwa hii statement yako nahitimisha hata wewe huna uhakika , maana ile Kanuni ya divide and rule imeshafeli tayari

Poleni sana , kiufupi ni CCM has fallen kama empire na tawala zingine duniani
 
Kwa hii statement yako nahitimisha hata wewe huna uhakika , maana ile Kanuni ya divide and rule imeshafeli tayari

Poleni sana , kiufupi ni CCM has fallen kama empire na tawala zingine duniani
Hauwezi kuongoza familia ikiwa unapata resistance ndani ya familia na nje ya familia.

Mwendazake aliweza sababu ndani ya familia alikuwa na support, ndiyo maana aliweza kuwanyea mabeberu na wakafyata.

Ila this time karata hawajazichanga vizuri, resistance ya ndani inafanya hata wawekezaji na watalii wakimbie sababu ya uncertainity.
 
Umegusa kwenye mshono, Yoga ni propaganda mashine ambayo imeshafeli
 
Finally I verified huyu ni mwanamtandao.
 
Mambo rahisi kama haya kiongozi unashindwaje. Kweli kiburi kibaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…