naa
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 1,765
- 3,790
Wanatuumiza vichwa 🥹Hahahahaha kuna kitu nimegundua
yoga yuko upande wa Mitano tena
Halafu hawa akina britanicca hawa ndio wako tofauti na mitano tena
Ni mchezo wa kwenye coridor huu
Wanatuumiza vichwa 🥹Hahahahaha kuna kitu nimegundua
yoga yuko upande wa Mitano tena
Halafu hawa akina britanicca hawa ndio wako tofauti na mitano tena
Ni mchezo wa kwenye coridor huu
Nakuelewa mtumishi ila nimeona ki jikitu hapaTunashukuru Mungu Hana upande ila anaenda na majira na nyakati zake, SS kujua hizi ni nyakati Gani, majira Gani kwenye nchi ni issue nyingine.,..
Hawa wako huko wanaongea kutokana na wanayoyaona huko....
Sisi hatuendi Kwa kuona.....asikiae na afahamu 🤣🤣🤣
Sina mwanasheria
Kwamba mbele bado kuna kiza kinene??? Vipi kuhusu PM, alilazimishwa lile tamko??? Vipi wazee wa kombati kuna lolote?? Ushungi atatoboa??Mtoto akililia wembe mpe!! Shughuli ndo inaaza
Najuwa kabisa huwezi kuchukua wewe 😆Ungejua!! 😂😂😂 Anyways mipango mizuri huchukua muda, so be calm, 👍
Umejua kuwazingua chakandumuz😂😂 kwenye hii kampuni, likija suala la meza ya bwana, yaani Mlo kamili, kamwe wa kuwagombanisha hayupo, as long as wamekubaliana! Sema ukijitia kiherehere sanaaa ndio wanakushugjulikia!! 😂😂😂
Watu washaa kaa meza Moja, huyu awe pale, wewe utakuwa pale, wewe ka simame kule.
washa sema huyu hatumtaki, yule apumzike, huyu anyamaze!! Huyu akiendelea sana tumshghulikie😀
Kiongozi kesha amua, sisi ni naniii!!
Sema wanakubliana kinafki, maana ukiambiwa "ndio" jua ni hapana na "hapana" ndio ndio!!
Washajua wateja wao wamelala usingizi mnene!!
Kwahiyo msisubiri ndege standi ya magufuli!! 😂
Tukutane December!!!
Asanteeeeee hata hivi tu freshIyo ataipata sema kuimaliza sasa😀😂😂
Karibu karibu nduguNakuelewa mtumishi ila nimeona ki jikitu hapa
Dah! Kumbe asali ya meza ya Bwana ina ladha tamu kiasi hiki hadi unaanza kuvuma kulingana na direction ya upepo? Msimamo wa mtu mzima unakuwa thabiti bana, si wa kupeperuka na upepo wa vyeo!😂😂 kwenye hii kampuni, likija suala la meza ya bwana, yaani Mlo kamili, kamwe wa kuwagombanisha hayupo, as long as wamekubaliana! Sema ukijitia kiherehere sanaaa ndio wanakushugjulikia!! 😂😂😂
Watu washaa kaa meza Moja, huyu awe pale, wewe utakuwa pale, wewe ka simame kule.
washa sema huyu hatumtaki, yule apumzike, huyu anyamaze!! Huyu akiendelea sana tumshghulikie😀
Kiongozi kesha amua, sisi ni naniii!!
Sema wanakubliana kinafki, maana ukiambiwa "ndio" jua ni hapana na "hapana" ndio ndio!!
Washajua wateja wao wamelala usingizi mnene!!
Kwahiyo msisubiri ndege standi ya magufuli!! 😂
Tukutane December!!!
Ndumuz mnapenda kusikia Mtakacho tuDah! Kumbe asali ya meza ya Bwana ina ladha tamu kiasi hiki hadi unaanza kuvuma kulingana na direction ya upepo? Msimamo wa mtu mzima unakuwa thabiti bana, si wa kupeperuka na upepo wa vyeo!
Endelea kufuatilia stori za Abunuasi kutoka kwa mama YogaNdumuz mnapenda kusikia Mtakacho tu
Bange tupu
Kibao kikihama Lazima mpake matopeEndelea kufuatilia stori za Abunuasi kutoka kwa mama Yoga
Ni copy & paste ya matukio yalitokea tyr( post-event stories), halafu anachomekea mafumbo na codes uchwara. Hakuna substance, ni burudani tu kwa wale wapenda udaku.Kibao kikihama Lazima mpake matope
But you enjoyed kusoma hasa zole pages 3 za mwanzo sio??Ni copy & paste ya matukio yalitokea tyr( post-event stories), halafu anachomekea mafumbo na codes uchwara. Hakuna substance, ni burudani tu kwa wale wapenda udaku.