Dark days 17/03/20

Dark days 17/03/20

Yes Niko serious,mi ndo nilivyo na ndo maisha yangu..,
Once you're a first born mbona utajua tu kuomba na kufunga Kwa ajili ya familia ni masuala ya kawaida sn.
Tena Nina mwaka sijafast tangu issue ya mama kuuguza mpk kuzika nilipumzika tu.

SS nimerudi rasmi ndo maisha yangu
,wokovu mbona sio km unavyotafsiriwa kikubwa naepuka mijadala yenye mizaha Kwa Mungu,naishi maisha ya toba na kutunza utakatafu baasii
Mengine maisha ya kawaida, Haina maana tusitaniane,tusifurahi jmn 🤣 🙌
Sawa katibu ,mi ndo huyu SS
Au sio 😹😹
 
Back
Top Bottom