Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,212
- 86,843
Mbombo ngafu 😹😹Nkamu
Watu wa serikali ya Mbinguni hao😆
Usicheze nao
Ila tayana ananipa burudani halafu yuko serious 🤣
Mbombo ngafu 😹😹Nkamu
Watu wa serikali ya Mbinguni hao😆
Usicheze nao
Nkamu Mungu ana nguvu sanaMbombo ngafu 😹😹
Ila tayana ananipa burudani halafu yuko serious 🤣
Ukiacha mapungufu ya ndani ya nchi, sababu nyingine kubwa ya kutokua na ajira in Sub-Saharan Africa, ni pamoja na sera za mabeberu na ukoloni mamboleo.Ndugu yangu nimezunguka nchi zilizoendelea wanaofaa kujiajiri ni less than 10 percent. Kujiajiri katika first world countries kuna changamoto kubwa kuliko kuajiriwa. Ajira ina faida nyingi kwa nchi kuliko wananchi.
Coca unacheka nini? 😁
Miaka 10 inaelekea huwa haiwatoshi, ndio maana marais wastaafu wanajaribu kuwa power behind the throne baada ya kuretire.Idea zako sio za maendeleo ukitaka kulimbikiza power kwa rais
Nimecheka 😅😅😅Saint Anne nkamu njoo umuone mtu wa stystem huku… 😹😹
HahahahahaNkamu
Watu wa serikali ya Mbinguni hao😆
Usicheze nao
HahahahahaMbombo ngafu 😹😹
Ila tayana ananipa burudani halafu yuko serious 🤣
HahahahahaSaint Anne nkamu njoo umuone mtu wa stystem huku… 😹😹
Ewaaaa wewe unaelewa mambo sasaNkamu
Watu wa serikali ya Mbinguni hao😆
Usicheze nao
No sio kavu ni 12 hrs tu .mfungo wa kawaida Ili kutembea mwendo mrefuNkamu Mungu ana nguvu sana
Acha watumishi wa Mungu wafunge 30 kavu😁
Yes Niko serious,mi ndo nilivyo na ndo maisha yangu..,Mbombo ngafu 😹😹
Ila tayana ananipa burudani halafu yuko serious 🤣
Mungu na akajibu maombi sawasawa na mapenzi yake,No sio kavu ni 12 hrs tu .mfungo wa kawaida Ili kutembea mwendo mrefu
OhYes Niko serious,mi ndo nilivyo na ndo maisha yangu..,
Once you're a first born mbona utajua tu kuomba na kufunga Kwa ajili ya familia ni masuala ya kawaida sn.
Tena Nina mwaka sijafast tangu issue ya mama kuuguza mpk kuzika nilipumzika tu.
SS nimerudi rasmi ndo maisha yangu
,wokovu mbona sio km unavyotafsiriwa kikubwa naepuka mijadala yenye mizaha Kwa Mungu,naishi maisha ya toba na kutunza utakatafu baasii
Mengine maisha ya kawaida, Haina maana tusitaniane,tusifurahi jmn 🤣 🙌
Sawa katibu ,mi ndo huyu SS
Nyie ndio dola ya mbinguni, Askari jeshi la Mbinguni.Ewaaaa wewe unaelewa mambo sasa
.sisi hatujui system za Dunia kwanza hatuziwezi.
😅😅
Wizo eti kutoka Arusha mjini mpk namanga how much, na pia namanga to Nairobi Kwa basi luxury how much?
Acheni dhambii😂Hahahahaha
Hahahaha,sawaAcheni dhambii😂