DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

Kwa wale watakaotaka kuwasilisha michango yao watume kwa Tigo Pesa kwa namba hii +255 715 729292 na wasisau kutuma na majina yao nisije nikachakachua FUND......LOL

Kwa wale watakaotaka kuiwasilisha moja kwa moja kwangu wafike katika Hoteli ya Dar es Salaam Serena kwenye kijiwe changu cha Kahawa, wanipigie simu wakati wanakuja ili niwapokee.


Ni vyema michango ikawahishwa kwa ajili ya maandalizi............


Nawasilisha.
 
madame B , nipo hapa getini nimekuletea zawadi zako. Ila usitoke kwanza, hadi ujibu hili, kwani tarehe 25/1 unataka ku kwepa?

Halafu wako wengi manoah mboyoyo nyiingi then "white elephant" if you know wari I mean!
 
Last edited by a moderator:
kwaiyo badala ya manoah ninatumia real name eeh! Haya bwana yangu nitaituma badae kidogo
Kwa wale watakaotaka kuwasilisha michango yao watume kwa Tigo Pesa kwa namba hii +255 715 729292 na wasisau kutuma na majina yao nisije nikachakachua FUND......LOL

Kwa wale watakaotaka kuiwasilisha moja kwa moja kwangu wafike katika Hoteli ya Dar es Salaam Serena kwenye kijiwe changu cha Kahawa, wanipigie simu wakati wanakuja ili niwapokee.


Ni vyema michango ikawahishwa kwa ajili ya maandalizi............


Nawasilisha.
 
Superman count me in..... naja kuwakilisha MWANZA WING a.k.a THE ROCK CITY!!!!!!!

gfsonwin dada mkubwa, kwanza shikamoo dadaangu wa moyoni.... Hebu ngoja nikafanze booking ya fastjet mapeeeeeema. Hii si ya kukosa ati!!!!!!!

Jamani wakaka wa JF Dar wing natafta Mwenyeji Yeyote aliye tayari kidole juu!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Madame B unakumbuka wewe ndo uliye propose hili swala??
sasa basi naomba ulisimamie liishe kwanza lol!
sasa kama hutokuwepo unategemea nn wewe??
hatukuwa na hili wazo kabla ya wewe kusema atii.

Kama analeta ubishi wa kutohudhuria, basi nitamwambia Zinduna AMROGE ujinga umtoke, aaalaaaaaa.........!!!!!!!!
 
kwaiyo badala ya manoah ninatumia real name eeh! Haya bwana yangu nitaituma badae kidogo

Mtumie majina ya JF bana.
Kwa mfano labda wewe jina lako ni Kayanda Muyago, ambalo ndilo litakalotokea kwenye Tigo Pesa, inabidi unitumie SMS ukitaja jina ID yako ya JF.......
 
be siriaz basi haya bana utakuwa na mm kibibi lol!
Well, on serious note, Tarehe 19/01 Sitakuwa available. Tarehe 25? Damn kalenda yangu inanionyesha tarehe 25 itakuwa Ijumaa siyo? Sitakuwa available. Ila Jumamosi tar 26/01 ntakuwa available kuanzia saa mbili usiku mpaka Liamba.

Anayenitaka hiyo siku anyooshe kidole juu.
 
Superman count me in..... naja kuwakilisha MWANZA WING a.k.a THE ROCK CITY!!!!!!!

gfsonwin dada mkubwa, kwanza shikamoo dadaangu wa moyoni.... Hebu ngoja nikafanze booking ya fastjet mapeeeeeema. Hii si ya kukosa ati!!!!!!!

Jamani wakaka wa JF Dar wing natafta Mwenyeji Yeyote aliye tayari kidole juu!!!!!!!!!!!!

We nawe, mpaka utangaze, si ungeni PM mie ...............LOL
 
Hii party tukienda kuisherekea Arusha itanoga sana
 
Well, on serious note, Tarehe 19/01 Sitakuwa available. Tarehe 25? Damn kalenda yangu inanionyesha tarehe 25 itakuwa Ijumaa siyo? Sitakuwa available. Ila Jumamosi tar 26/01 ntakuwa available kuanzia saa mbili usiku mpaka Liamba.

Anayenitaka hiyo siku anyooshe kidole juu.

Sasa ODM, kila mtu akitaka tarehe yake si itakuwa vurugu....?
Jifanye mgonjwa basi kama ni mambo ya commitment za kazi...................LOL
 
Superman count me in..... naja kuwakilisha MWANZA WING a.k.a THE ROCK CITY!!!!!!!

gfsonwin dada mkubwa, kwanza shikamoo dadaangu wa moyoni.... Hebu ngoja nikafanze booking ya fastjet mapeeeeeema. Hii si ya kukosa ati!!!!!!!

Jamani wakaka wa JF Dar wing natafta Mwenyeji Yeyote aliye tayari kidole juu!!!!!!!!!!!!
charminglady granted! Mko 3 sasa: Madame B; lara 1 na charminglady

Ukikosa mwenyeji niambie, unaweza kupata extension . . . . Pa kulala during your stay, pa kula, na usafiri including Treni ya Mwakyembe!
 
Last edited by a moderator:
Well, on serious note, Tarehe 19/01 Sitakuwa available. Tarehe 25? Damn kalenda yangu inanionyesha tarehe 25 itakuwa Ijumaa siyo? Sitakuwa available. Ila Jumamosi tar 26/01 ntakuwa available kuanzia saa mbili usiku mpaka Liamba.

Anayenitaka hiyo siku anyooshe kidole juu.

Duh! Afadhali. Hakika Mungu si Athumani. Ungeniharibia sana!
 
Ayaaa! Si nilisema? Si nilisema mimi? mbwembwe nyiiingi mnaanza kujitoa mmoja mmoja! Aibu yetu aibu yenu?
COPY: gfsonwin, Madame B, Preta

wapiiiii aibu yenu itafanya sana.
Ila arusha mkiweka nitazuka si mnajua mie dar wing na arusha wing siku hizi kotekote nitazuka.
Unipm mwezi kabla niweke booking fast jet
 
Last edited by a moderator:
wana CC haya tena happy new kwa mara nyingine tena mabestito.
sasa kama isemavyo hapo juu, napenda kuwakumbushia kwamba last time tulipokutana LEO TUPO HAPA PUB tulikubaliana kwamba tutaukaribisha mwaka pamoja hapa Dar kama sehem ya kuendeleza undugu na umoja wetu.

sasa nafikiri Jan ndo hii, na hivyo tunahitaj kujipanga ili kufanikisha hii party. sasa hapa nakaribisha michango ya mawazo yenu juu ya kaufanikisha jambo hili.

yufuatayo ni mawazo ya serikali ya kichwa changu juu ya hii party sasa naomba tujadiliane vyema ili kuona tuaipanga vipi.

1)nafikiri kila memba atoe mchango wake ili siku hiyo aweze kula na kunywa huku tukkiserebuka. niliwaza hivi kama kila memba atakaye confirm kushiriki akitoa 20000/= basi aweze kupata sahan ya menu na vinywaji at least 2 local beers. hapa naomba msaidie mawazo nimetengeneza tu plat form.

2)Tutafute venue ambayo tutacheza na kajimziki kidogo huku tukiendelea kufuraia mwaka na kazi ya kutafuta venue hapa nitawaachia Asprin na KakaKiiza wao ni wazee wa mji zaidi.

3) tarehe ya makutano yetu iwe ni tarehe 19/01 wazo tu ila kwa anayetaka kupropose tofauti unakaribishwa.
4) kwa watakao confirm kushiriki basi kuna added task watakayopewa kuifanya kwa mwaka mzima kwajili ya wana jf wenzao na hii ni strictly kwamba baada ya mwaka watatakiwa kurudisha amana. ( hapa nisifunguke zaid manake snowhite kasema iwe ni suprise)

5) kwakua ni mwaka mwingine basi tungeweza pia kukaribisha memba wa wing nyingine kujumuika na sisi ila huyu yeye atakuja na nauli yake na mahal pa kulala ila kula na kunywa sisi tutampatia.

Haya mm nimetoa mawazo haya naoamba wengine mchangie ili kuweza kufanikisha siku hiyo.



CC Asprin, KakaKiiza, Madame B, cacico, Mtambuzi, watu8, fidel180, amu, Ruttashobolwa, Jiwe Linaloishi, Zion Daughter, Paloma, snowhite, Bishanga, Superman, KakaKiiza, Smile, Mentor, Mbimbinho, Billie, manoah, Prisoner 46664, lara 1 Ciello Thanda, Thando, Mwita Maranya ET AL

NB; uvaaji utakuwa ni wa nguo nyeupe kuonyesha furaha na umoja wetu.



Up dates:
aya hii hapa ndio kamati yenyewe kwaajili ya maandalizi

logistics gfsonwin na mwaJ

uhazini Mtambuzi

event planning and mgnt lara 1 na gfsonwin

menu cacico na snowhite

venue KakaKiiza na Asprin Madame B

vinjwaji Watu 8, figganigga na Madame B
Madame B kawa maeneo mawili nyeti kwajili ya ushapu wake na kujitolea kwake


event planning and managent!!!!!!
Date 25/01/2013
Venue hapo mtaisema

Decorations theme iwe: White cocktail!!!!!

Siitting arrangement: Its a cocktail party hamna viti kama harusini ni kusimama na kusocialize mwanzo mwsho!

Dj: Ninae ila sijui kama hela itatosha!!!!!!

Decor: Wapambaji jf mjitolee mjitangazie business

Menu: Snacks na bites

Drinks: Kila mtu aje na zake manake 20 ni kuonja bia tu! Au nichukue tenda ya kuuza pale nje nini?

Entertainment
: Bado nafanyia kazi kuhakikisha shughuli haiboi!

Ratiba: Iko jikoni!

Mgeni rasmi: gfsonwin fanya makarateka hapo!!!!!!

Bdo najipanga!!!!!!!! MAMBO MAKUBWA NDO TRADE MARK YANGU!!!!!!!!!! (Japo 20 ya kuchanga bado sijapata)

Ulinzi najitolea,
 
Back
Top Bottom