haya another suggestion?????????Well, on serious note, Tarehe 19/01 Sitakuwa available. Tarehe 25? Damn kalenda yangu inanionyesha tarehe 25 itakuwa Ijumaa siyo? Sitakuwa available. Ila Jumamosi tar 26/01 ntakuwa available kuanzia saa mbili usiku mpaka Liamba.
Anayenitaka hiyo siku anyooshe kidole juu.
madame B , nipo hapa getini nimekuletea zawadi zako. Ila usitoke kwanza, hadi ujibu hili, kwani tarehe 25/1 unataka ku kwepa?
Poa Poa Mheshimiwa Jaji. Kama vipi ile $ 800 nitumie. Baadaye naenda kumwona Smile. Kama vipi ajipange upya!
Le Mutuz; Le Baharia!
Kwa wale watakaotaka kuwasilisha michango yao watume kwa Tigo Pesa kwa namba hii +255 715 729292 na wasisau kutuma na majina yao nisije nikachakachua FUND......LOL
Kwa wale watakaotaka kuiwasilisha moja kwa moja kwangu wafike katika Hoteli ya Dar es Salaam Serena kwenye kijiwe changu cha Kahawa, wanipigie simu wakati wanakuja ili niwapokee.
Ni vyema michango ikawahishwa kwa ajili ya maandalizi............
Nawasilisha.
We nawe, mpaka utangaze, si ungeni PM mie ...............LOL
charminglady granted! Mko 3 sasa: Madame B; lara 1 na charminglady
Ukikosa mwenyeji niambie, unaweza kupata extension . . . . Pa kulala during your stay, pa kula, na usafiri including Treni ya Mwakyembe!
Haina kwefere...ntatumia ile service mpya kama vipi you know.....
Mbeb Smile inabidi ajipange maana bongo tambalaleeeeeez
Mwl gfsonwin japo ningependekeza hiwe tareh 26, lakini kama wengi wamechagua hiyo tareh 25 bila shaka ntajua cha kufanya nisikose!
Hapo kwenye mweka hazina( Mtambuzi) pametulia, naomba atoe utaratibu wa kutoa michango. na
kamati yote nimeikubali na hapo kwa mc lara 1 pametulia pia, Napendekeza deadline ya kupoke michango kuwa tareh 20.
Muda wa kuanza shughuli napendekeza saa kumi jioni lakini siyo ya kitanzania.
(Tafadhali azam cola zisikose)
NB: Maneno yangu si sheria!
Mwl gfsonwin japo ningependekeza hiwe tareh 26, lakini kama wengi wamechagua hiyo tareh 25 bila shaka ntajua cha kufanya nisikose!
Hapo kwenye mweka hazina( Mtambuzi) pametulia, naomba atoe utaratibu wa kutoa michango. na
kamati yote nimeikubali na hapo kwa mc lara 1 pametulia pia, Napendekeza deadline ya kupoke michango kuwa tareh 20.
Muda wa kuanza shughuli napendekeza saa kumi jioni lakini siyo ya kitanzania.
(Tafadhali azam cola zisikose)
NB: Maneno yangu si sheria!
Haaaa haaaa ile Service mpya ya kuleeeeee! Haaaaa haaaaa
Kama vipi Mbebs Smile asitoke leo basi ahairishe mitoko yote nimkute. Una meseji yoyote.
Le Big Show@DSM you know! King of all Bongo Social Networks!
kamnyama kamekata kona bestito.Kungwi gfsonwin mbona yule mutu haji kule? Mi namsubiri bado! Kama vipi mi naondoka zangu.
Heheheheh! Kudagadeki maadam mwanaizaya weye tena mwana mtoka pabaya utakuwepo, basi sina budi na sina jinsi ntalazimika kutia timu. Nisopokuwa makini utaniharibia wajukuu zangu hivi hivi nikiwa na nguvu zangu.Duh! Afadhali. Hakika Mungu si Athumani. Ungeniharibia sana!
Yeah, vigezo na masharti vizingatiwe. Ijumaa ni siku ya kazi na kwa wengine pia Jumamosi ni siku ya kazi. Imagine utoke kupiga mtungi, afu ukakague kabinti kama amu au Paloma then kesho tena umpelekee mkoloni makalio.... Nani anataka mastarehe ya mashaka??? Bila kujalisha tarehe, ODM anapendekeza siku iwe Jumamosi ili jumapili tudamkie makanisani kutubu zambi za uzinzi na Mungu atusamehe na kuturehemu:becky::becky: