DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

noted Madam, ntarudi majukumu yameanza nizidi mri.
Mi ntakuwepo ila tareh 19 ishajaa
 
lara 1 jaman viti vya kukaa wengine na michuchumio mtatuua lol! tusimamae masaa 6 ama 7 daaah!

ila kutakuwa na entertainments nyingine nyingi na hata special tasks ambazo tutapeana za kufanya kwa mwaka mzima. lara 1 nitakuelekeza hizo zote wewe ukoodineti tu. anake mc wetu ni wewe na dj atapatikana tu hata mziki wa bar lol!

Hahahaaaaa! U MC MIMI HAPANA!!!!!!!!! Hapa napanga niweje invicible party lote!!!!!! Sasa U MC wape kina Madame B banaaaa!
 
Last edited by a moderator:
thia time watakuja lets hope so.

Bravo gfsonwin! Ukipata washiriki wa kutosha (confirmed members) tujuvye huku JF HQ. I might come personally Note: Only serious members! Duh I wish ingesogezwa hadi VALENTINES DAY!
 
Last edited by a moderator:
lara 1 jaman viti vya kukaa wengine na michuchumio mtatuua lol! tusimamae masaa 6 ama 7 daaah!

ila kutakuwa na entertainments nyingine nyingi na hata special tasks ambazo tutapeana za kufanya kwa mwaka mzima. lara 1 nitakuelekeza hizo zote wewe ukoodineti tu. anake mc wetu ni wewe na dj atapatikana tu hata mziki wa bar lol!

Ukiweka viti watu watakuwa kama wamewekwa gundi kwenye viti!!!! Hawasimami kusalimiana wala kucheza! Wanakaa kumkodolea MC tu mwanzo mwisho!!!!!!!!!! Anaongea na huyohuyo aliekaa nae karibu!!!!!! Hapo itakuwa utratraaaaa!!!!!!!
 
Ticha gfsonwin asante kwa mwaliko wa pari, ila mie niko kijijin sitimbi bana, so mtanitumia hayo mautam through PM..,wengine tuna aleji na mjini!!!
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya kumwamini awe Mweka hazina wetu, hebu jaribu kumuuliza Kama ameshawalipia Ada za Shule watoto wake na Kodi ya Nyumba..........Risk hii. (.......Jst a JOKE.......)

Naamini Mtambuzi heshima yake kubwa hapa JF hivyo hawezi kuiharibu kwa kuchakachua vijisenti vya party!
 
Last edited by a moderator:
halafu wewe kwa ukaribu wako na town a(aaaaaaah shit kumbe uko mbpnde........lol!) ila nataka wewe na cacico mshughulikie menu na iwe ni bomba msosi bomba wa bei nzuri

jamaniiii.................msiache varieties za manyamanya na madudedude ya baharini yawe marinated afu yachomwechomwe tusukumizie na masalad ya kufa na kuzika mtu!!!
sio ubwabwa maana kina sie ambao hatujazoea scotch on rocks tukirudisha chenji ni viubwabwa tuuu................khaaa

Im on but only if its on the 19th....
 
tarehe gani itakuwa ndo harusi?? sisi tumesogeza kufanyika tarehe 25/1
sema jingine.

Jingine? Nichagulie mrembo atakayekuwa partner wangu hiyo siku. Awe tayari kukaguliwana babu.....

Vigezo na masharti kuzingatiwa.
 
Jingine? Nichagulie mrembo atakayekuwa partner wangu hiyo siku. Awe tayari kukaguliwana babu.....

Vigezo na masharti kuzingatiwa.

be siriaz basi haya bana utakuwa na mm kibibi lol!
 
Back
Top Bottom