DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

Hujamalizia hapo bana....ni King of all social network media:becky:

Haaaaa haaaaa Mjumbe wa kamati ya . . . . Mbunge Mtarajiwa Jimbo la . . . . Mutu ya Watu; Mutu ya Mabebs wa Ukweee . . . kama vipi ujipange upya! Haaaa haaaaa Smile upo?
 
Last edited by a moderator:
Heheheheh! Kudagadeki maadam mwanaizaya weye tena mwana mtoka pabaya utakuwepo, basi sina budi na sina jinsi ntalazimika kutia timu. Nisopokuwa makini utaniharibia wajukuu zangu hivi hivi nikiwa na nguvu zangu.


Yeah, vigezo na masharti vizingatiwe. Ijumaa ni siku ya kazi na kwa wengine pia Jumamosi ni siku ya kazi. Imagine utoke kupiga mtungi, afu ukakague kabinti kama amu au Paloma then kesho tena umpelekee mkoloni makalio.... Nani anataka mastarehe ya mashaka??? Bila kujalisha tarehe, ODM anapendekeza siku iwe Jumamosi ili jumapili tudamkie makanisani kutubu zambi za uzinzi na Mungu atusamehe na kuturehemu:becky::becky:

haya nenda kafanye editing ya post #1 wee mwenyewe sasa.
nakutumia psword kwenye pm sawa?? kubali kwaza kabla sijaituma
 
kamnyama kamekata kona bestito.
kaliona njia ni ndefu halafu kuna kajimlima ka kupanda, kakaona bora kakate kona kaangalie njia nyepesi isiyo na vilima akasahau ni bora mlima unaouona kuliko usioujua lol!

Mwambie njia hiyo haifai ina msitu Mkubwa! Ataliwa na Simba!
 
Heheheheh! Kudagadeki maadam mwanaizaya weye tena mwana mtoka pabaya utakuwepo, basi sina budi na sina jinsi ntalazimika kutia timu. Nisopokuwa makini utaniharibia wajukuu zangu hivi hivi nikiwa na nguvu zangu.


Yeah, vigezo na masharti vizingatiwe. Ijumaa ni siku ya kazi na kwa wengine pia Jumamosi ni siku ya kazi. Imagine utoke kupiga mtungi, afu ukakague kabinti kama amu au Paloma then kesho tena umpelekee mkoloni makalio.... Nani anataka mastarehe ya mashaka??? Bila kujalisha tarehe, ODM anapendekeza siku iwe Jumamosi ili jumapili tudamkie makanisani kutubu zambi za uzinzi na Mungu atusamehe na kuturehemu:becky::becky:

Na watu wote waseme Ameeeeeen!!!!
 
Last edited by a moderator:
azamu zitatufaa kwa wale ambao hatutagusa mvinyo..sijaona kamati ya ulinzi hapo kwa ajiri usalama wa wanajf,na kuhakikisha hakuna kuibiana ving'amuzi..

Hilo ntalibeba mwenyewe,

tunashukuru sana mkuu kwa hilo.
 
Wooooow
my boss don miss!

Hata mie napendekeza tarehe 26 ili nitoke huku na basi alfajiri by 2100hrs niwepo..... Si mnajua tena MKOLONI ana machungu January hii...... Hata ukiugua utalazimika kuja job tu!!!!!!!!!!!!!!
 
Wooooow
my boss don miss!

Mie tena.....

big
 
Heheheheh! Kudagadeki maadam mwanaizaya weye tena mwana mtoka pabaya utakuwepo, basi sina budi na sina jinsi ntalazimika kutia timu. Nisopokuwa makini utaniharibia wajukuu zangu hivi hivi nikiwa na nguvu zangu.


Yeah, vigezo na masharti vizingatiwe. Ijumaa ni siku ya kazi na kwa wengine pia Jumamosi ni siku ya kazi. Imagine utoke kupiga mtungi, afu ukakague kabinti kama amu au Paloma then kesho tena umpelekee mkoloni makalio.... Nani anataka mastarehe ya mashaka??? Bila kujalisha tarehe, ODM anapendekeza siku iwe Jumamosi ili jumapili tudamkie makanisani kutubu zambi za uzinzi na Mungu atusamehe na kuturehemu:becky::becky:
avatar59305_3.gif


Mambo huweza nitinga, niisakapo riziki,
Mkahisi nawatenga, mkahisi siwataki,
Juweni nasaka mpunga, ili niishinde dhiki,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Najua mnaumia, kwani hamwishi lalama,
Nami ninawasikia, huku moyo ‘kiniuma,
Najaribu kuzuia, kwa maneno ninasema,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Salamu kweli muhimu, daima kukumbukana,
Huleta mashamshamu, nayo mapenzi kufana,
Ukimya unayo sumu, kama utazidi sana,
Niwapo kimya wapendwa, msidhani siwapendi.

Nipo nanyi ndugu zangu wana JF, hakika nitakuja Dar siku hiyo ya MKODOBWE
 
Mwl gfsonwin japo ningependekeza hiwe tareh 26, lakini kama wengi wamechagua hiyo tareh 25 bila shaka ntajua cha kufanya nisikose!

Hapo kwenye mweka hazina( Mtambuzi) pametulia, naomba atoe utaratibu wa kutoa michango. na

kamati yote nimeikubali na hapo kwa mc lara 1 pametulia pia, Napendekeza deadline ya kupoke michango kuwa tareh 20.

Muda wa kuanza shughuli napendekeza saa kumi jioni lakini siyo ya kitanzania.

(Tafadhali azam cola zisikose)
NB: Maneno yangu si sheria!

mmhhh ni wewe au kuna mtu kaiba password??azam coke tena.
Eti si utanipitia??tukae wote kama siku ile sawa??
Mi nawaogopa watu kama wakina Asprin maana hakawii.
Sasa basi mpendekeze na id zenu zote ...
Maana kama Asprin yeye ndo Mwanamalundi na wale wote wenye mtazamo huo sitaki kuwatag mtaje na id zenu zote...
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahahahahahahahahaha
amu ni mimi mwenyewe hakuna wa kuniibia password! Azam cola nilipendekeza niliona kama unazipenda hata mimi natumia!

Mimi si mliki wa id zaidi ya hii ya Ruttashobolwa(jina langu)
bila shaka tutakuwa pamoja!
Babu Asprin yeye atakaa mbali si unajua amezeeka siku hizi!

mmhhh ni wewe au kuna mtu kaiba password??azam coke tena.
Eti si utanipitia??tukae wote kama siku ile sawa??
Mi nawaogopa watu kama wakina Asprin maana hakawii.
Sasa basi mpendekeze na id zenu zote ...
Maana kama Asprin yeye ndo Mwanamalundi na wale wote wenye mtazamo huo sitaki kuwatag mtaje na id zenu zote...
 
Last edited by a moderator:
mmhhh ni wewe au kuna mtu kaiba password??azam coke tena.
Eti si utanipitia??tukae wote kama siku ile sawa??
Mi nawaogopa watu kama wakina Asprin maana hakawii.
Sasa basi mpendekeze na id zenu zote ...
Maana kama Asprin yeye ndo Mwanamalundi na wale wote wenye mtazamo huo sitaki kuwatag mtaje na id zenu zote...
Nyie nimewaweka MMU kwa masaa 24 hata hamnishukuru?
Nimewakamataaaajeeee??
 
Back
Top Bottom