DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

Yah, alirudi ikaendelea sehemu ya kuacha kazi ya jeshi .... blah blah ...... Imenoga sana lakini.

mmh! ile hadithi nimesoma ni nzuri sana ila sasa simulizi ilitakiwa iwe yenyewe sio katikati ya comments lol!
 
jamaniiii.................msiache varieties za manyamanya na madudedude ya baharini yawe marinated afu yachomwechomwe tusukumizie na masalad ya kufa na kuzika mtu!!!
sio ubwabwa maana kina sie ambao hatujazoea scotch on rocks tukirudisha chenji ni viubwabwa tuuu................khaaa

Im on but only if its on the 19th....
Paloma tumesema iwe 25th kwani iyo tarehe Asprin, na KakaKiiza watakuwa wote na udhuru. please please!
 
Last edited by a moderator:
Ukiweka viti watu watakuwa kama wamewekwa gundi kwenye viti!!!! Hawasimami kusalimiana wala kucheza! Wanakaa kumkodolea MC tu mwanzo mwisho!!!!!!!!!! Anaongea na huyohuyo aliekaa nae karibu!!!!!! Hapo itakuwa utratraaaaa!!!!!!!

bana viwepo vya kiushkaji lol!
mbona wenzio utawakata nyonga na michochomo yao?? ila kuna wengine hata kama viti vipo kwenye paty ni kusmama mwanzo mwisho manake hatukauki kucheza na kusalimiana lol!
 
shepu ya kuvalia skin taiti unayo?
yap
319798_253451821428681_1838545080_n.jpg
 
Aiseee nimepitwa na mambo humu eee???
Yule CHAI CHUNGU alinifanya nisije huku na story yake
Aisee ni tarehe ngapi???watu tukatafute kitu whiteeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:
Aiseee nimepitwa na mambo humu eee???
Yule CHAI CHUNGU alinifanya nisije huku na story yake
Aisee ni tarehe ngapi???watu tukatafute kitu whiteeeeeeeeeeee

ni tarehe 25/ 1 ma dia mchango ni sh 20000/= wewe utakuwa lady of usher sawa mamii.
 
Aiseee nimepitwa na mambo humu eee???
Yule CHAI CHUNGU alinifanya nisije huku na story yake
Aisee ni tarehe ngapi???watu tukatafute kitu whiteeeeeeeeeeee

hujambo mamito?
hivi hiyo simulizi imeisha!?!? maana nililog off kwa kuona nakosa kufaudu! watu8 amekonfirm attendance?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom