DAR WING -wa WHITE PARTY

DAR WING -wa WHITE PARTY

Orait mama, sasa Naona Mnajadiliana vingi lakini sijaona sehemu Mlikojadili kuwa Party Itaanza Muda gani.

hiyo ni rahisi sana manake itaanza muda wa jion hadi kukuche lol!
 
Once again heri ya mwaka tawi letu la Dar na wadau wote. gfsonwin nataka nikupe angalizo kuhusu DAR WING, they might speak out loudly but they might fail to implement (show-up). This is according to experience. Let's hope for the better 2013!
 
Last edited by a moderator:
Once again heri ya mwaka tawi letu la Dar na wadau wote. gfsonwin nataka nikupe angalizo kuhusu DAR WING, they might speak out loudly but they might fail to implement (show-up). This is according to experience. Let's hope for the better 2013!

thia time watakuja lets hope so.
 
Ukubwa jalala Tuanze event planning and managent!!!!!!

Venue hapo mtaisema

Decorations theme iwe: White cocktail!!!!!

Siitting arrangement: Its a cocktail party hamna viti kama harusini ni kusimama na kusocialize mwanzo mwsho!

Dj: Ninae ila sijui kama hela itatosha!!!!!!

Decor: Wapambaji jf mjitolee mjitangazie business

Menu: Snacks na bites

Drinks: Kila mtu aje na zake manake 20 ni kuonja bia tu! Au nichukue tenda ya kuuza pale nje nini?

Entertainment
: Bado nafanyia kazi kuhakikisha shughuli haiboi!

Ratiba: Iko jikoni!

Mgeni rasmi: gfsonwin fanya makarateka hapo!!!!!!

Bdo najipanga!!!!!!!! MAMBO MAKUBWA NDO TRADE MARK YANGU!!!!!!!!!! (Japo 20 ya kuchanga bado sijapata)
 
Last edited by a moderator:
huna lolote lile lol!
sasa mbona sijaona watutukijadili ishu za msingi hapa?

je tarehe iwe ipi?, venue je mbona sijaona commitment yako na Asprin?
la maana nililoona hapa ni Superman kuwalipia wadada 5 tu.

hebu kuwen siriaz bana semen.

Ningependa kunywa nanyi kwenye hiyo "pasaka" lakini bahati mbaya ntakuwa "MAN IN BLACK" hiyo siku nikishuhudia mdogo wangu akiapa kumiliki kijumla kikojoleo cha binti wa watu.
 
Last edited by a moderator:
Ningependa kunywa nanyi kwenye hiyo "pasaka" lakini bahati mbaya ntakuwa "MAN IN BLACK" hiyo siku nikishuhudia mdogo wangu akiapa kumiliki kijumla kikojoleo cha binti wa watu.
tarehe gani itakuwa ndo harusi?? sisi tumesogeza kufanyika tarehe 25/1
sema jingine.
 
Ukubwa jalala Tuanze event planning and managent!!!!!!

Venue hapo mtaisema

Decorations theme iwe: White cocktail!!!!!

Siitting arrangement: Its a cocktail party hamna viti kama harusini ni kusimama na kusocialize mwanzo mwsho!

Dj: Ninae ila sijui kama hela itatosha!!!!!!

Decor: Wapambaji jf mjitolee mjitangazie business

Menu: Snacks na bites

Drinks: Kila mtu aje na zake manake 20 ni kuonja bia tu! Au nichukue tenda ya kuuza pale nje nini?

Entertainment
: Bado nafanyia kazi kuhakikisha shughuli haiboi!

Ratiba: Iko jikoni!

Mgeni rasmi: gfsonwin fanya makarateka hapo!!!!!!

Bdo najipanga!!!!!!!! MAMBO MAKUBWA NDO TRADE MARK YANGU!!!!!!!!!! (Japo 20 ya kuchanga bado sijapata)

Nashauri kusiwe na mgeni rasmi....mkiiweka formal itakosa uhondo...

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
lara 1 jaman viti vya kukaa wengine na michuchumio mtatuua lol! tusimamae masaa 6 ama 7 daaah!

ila kutakuwa na entertainments nyingine nyingi na hata special tasks ambazo tutapeana za kufanya kwa mwaka mzima. lara 1 nitakuelekeza hizo zote wewe ukoodineti tu. anake mc wetu ni wewe na dj atapatikana tu hata mziki wa bar lol!
 
Last edited by a moderator:
Ukubwa jalala Tuanze event planning and managent!!!!!!

Venue hapo mtaisema

Decorations theme iwe: White cocktail!!!!!

Siitting arrangement: Its a cocktail party hamna viti kama harusini ni kusimama na kusocialize mwanzo mwsho!

Dj: Ninae ila sijui kama hela itatosha!!!!!!

Decor: Wapambaji jf mjitolee mjitangazie business

Menu: Snacks na bites

Drinks: Kila mtu aje na zake manake 20 ni kuonja bia tu! Au nichukue tenda ya kuuza pale nje nini?

Entertainment
: Bado nafanyia kazi kuhakikisha shughuli haiboi!

Ratiba: Iko jikoni!

Mgeni rasmi: gfsonwin fanya makarateka hapo!!!!!!

Bdo najipanga!!!!!!!! MAMBO MAKUBWA NDO TRADE MARK YANGU!!!!!!!!!! (Japo 20 ya kuchanga bado sijapata)
Umesahau usafiri!!!.....:shut-mouth:au kamati imesahaulika!?
 
Back
Top Bottom