Lete ushahidi jomba...lakini Kama ni story tu hata Mimi naweza kutunga nzuri na yenye mvuto kuliko hii yakoPole, upo gizani.
Lete ushahidi jomba...lakini Kama ni story tu hata Mimi naweza kutunga nzuri na yenye mvuto kuliko hii yakoPole, upo gizani.
Kama Ni suala la maadili mabovu basi lianze na Mbowe..ni kwanini alikuwa anawapa kibali kila hatua...na barua ikapelekwa NEC..Sasa hapa imekuwa shidaTumeshaelezwa utaratibu na mchakato wa kuwapata wabunge wa viti maalum CHADEMA. Utararatibu upo kiprinciple zaidi. Lazima kamati kuu ya chama ikae na kuthibitisha hayo majina kabla ya kupeleka tume. Hayo hayo hayakufanyika. Sasa wanataka kutuaminisha nini tena. Its now over. Hakuna kipindi cha mmomonyoko wa maadili kisiasa ambapo mambo yanaendeshwa ovyo as if hatujawahi kuwa sheria , katiba na kanuni kama kipindi hiki. Taifa limepoteza maadili kabisa. Wote tuliowaamini kama Icon wa nchi kukemea, kulaani, kuonya, kukosoa na namna mambo yalivyo ovyo hawasemi chochote. Vijana na wanasiasa wa kuijenga Tanzania ya kesho wanajifunza nini?. Tunatengeneza taifa gani baada ya haya yote?. Its a terrible moment!!!.
Haya nipeleke mwangani jombaPole, upo gizani.
Bora kujifunza Uganga wa kienyeji kuliko siasaWataenda mahakamani kupinga maamuzi ya kamati kuu
Kwa afya ya Nchi mwenyekiti wangu wa CCM akutane na hawa vyama rafiki ili maisha yaendelee. Tunachafuka sana sana.
Kama ilivyotokea kwa wale viti maalumu wa CUF CHADEMA watateua sasa wabunge halali wa viti maalumu na kuwasilisha majina yao.
CCM na Rais tutambue kwamba hivi vyama vingine ni muhimu kwa uhai wa Taifa lazma tuvijenge na pia.
Tuheshimu Viongozi wa vyama vyote kuna vitakataka ndani ya CCM eti vinamdharau Mbowe au Lissu au Maalim Seif. Hii ni laana.
CCM tumeiba tukashindishwa Sasa tutazame taifa linaenda wapi?!
Mzee Msekwa atafilisiwa mali zake, anakwamisha mipango ya yesu wa Chato.Uko sahihi. Mzee Msekwa amekwishasema kwa mujibu wa katiba akina Mdee siyo wabunge tena. Kuna watu bado wana akili zao.
Na chadema ni MboweMbowe ndio CHADEMA?
Halima aka mzee Mdee atawasaga ccm mpaka mkomeSIMUMEWAFUKUZA KWA MBWEMBWE NA VIFIJO, SASA YA NINI KUWEWESEKA NA KUWAFUATILIA HAO MASHUJA?? TULIENI WAWAPE ZA USOOO.
Hawakuwahi kumwandikia kuwa wamewachaguwa Akina Mdee hata fomu kutoka NEC zipo bado hazijajazwa.Bado ni wabunge hadi hapo chadema watakapomuandikia sipika barua kuwa Hawa si wanachama wetu
Kati ya Mdee na Dj nani wakuaminika,mm naona nafuu Mdee Hana matukio mengi ya kutengeneza,Hatuna imani nao tena watapotéza tu muda wao.