Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

Status
Not open for further replies.
ALERT
CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabungeCROWN

ALERT
CCM wamemuandalia Halima Mdee press conference kesho na ajenda ni kama ifuatavyo:-
  • Kuwa alipewa baraka zote na Mbowe kwenda kuapishwa na wenzake covid 19
  • Aliruhusiwa na Mbowe aandae list na iende NEC
  • Atasema Mbowe alikuwa analazimisha mademu zake wawekwe na yeye akakataa ndiyo maana kafukuzwa
  • Ataongea kuwa CHADEMA walikubali na yeye kwa kuwa ni mwenyekiti wa BAWACHA akakataa kuweka watu wasio jenga chama
  • Atasema CHADEMA kuna mfumo dume ambao haupendi kuona wanachama wanakua kisiasa
  • Atasema kuwa barua ilipelekwa TUME/NEC na Katibu Mkuu
  • Atatangaza kuwa yeye bado ni Mwenyekiti wa BAWACHA na ile secretariat yao ya BAWACHA haijafukuzwa
*MWISHO atasema kuwa wamehukumiwa bila kusikilizwa

HAYO NDIO YANAYOPANGWA MUDA HUU HUKO CCM NA MDEE NA BULAYA

=====

Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na Chadema jana kwa tuhuma za usaliti, Kesho Jumapili Nov 29, 2020 wamepanga kuzungumza na waanahabari jijini Dar es Salaam.

Wabunge hao 19 ambao kwasasa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania Ibara 67(b) wamekosa sifa za kuwa wabunge
Crown of Patriotism bearers has turned to TRAITORS 😭😭😶😶😃😃
 
Hivi mbona kila mpango unaoandaliwa na CCM huwa unagonga ukuta na mwisho wanalazimisha ushindi kwa mabavu?

Ni upungufu wa watu wenye akili au ina viongozi wasio akili na wanawalazimisha wenye akili kufuata yao?
Mmoja wao aliwahi kusema tumekabidhi nchi kwa washamba,angalia wanamwita meko kwa kutumia mapesa na maguvu,akivaa magwanda ya jeshi mwangalie usoni.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom